马可福音 6
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
拿撒勒人厌弃耶稣
6 耶稣带着门徒离开那地方,回到自己的家乡。 2 到了安息日,祂开始在会堂里教导人,众人听了都很惊奇,说:“这个人从哪里学来这些本领?祂怎么会有这种智慧?祂怎么能行这样的神迹? 3 这不是那个木匠吗?祂不是玛丽亚的儿子吗?祂不是雅各、约西、犹大、西门的大哥吗?祂的妹妹们不也住在我们这里吗?”他们就对祂很反感。
4 耶稣对他们说:“先知到处受人尊敬,只有在本乡、本族、本家例外。” 5 耶稣不能在那里行任何神迹,只把手按在几个病人身上,医治了他们。 6 他们的不信令耶稣诧异,于是祂就去周围的村庄教导人。
差遣十二使徒
7 耶稣召集了十二个使徒,差遣他们两个两个地出去,赐给他们制服污鬼的权柄, 8 又吩咐他们除了手杖之外,不用带食物和背囊,腰包里也不要带钱, 9 只穿一双鞋子和一套衣服就够了。 10 祂说:“你们无论到哪里,就住在那些接待你们的人家里,一直住到离开。 11 如果某地方的人不接待你们,不听你们传的道,你们在离开之前要跺掉脚上的尘土,作为对他们的警告!”
12 使徒便出去传道,劝人悔改, 13 赶出许多鬼,为许多病人抹油,治好他们。
施洗者约翰遇害
14 耶稣声名远播,希律王也听说了祂的事。有人说:“施洗者约翰从死里复活了,所以能够行这些神迹。”
15 也有人说:“祂是先知以利亚。”
还有人说:“祂是个先知,跟古代的一位先知相似。”
16 希律听到这些议论,就说:“祂一定是被我斩了头的约翰从死里复活了。” 17 原来希律娶了他兄弟腓力的妻子希罗底,并为她的缘故而派人逮捕了约翰,把他关押在监牢里。 18 因为约翰屡次对希律说:“你娶弟弟的妻子不合法。”
19 希罗底对约翰怀恨在心,想要杀掉他,只是不能得逞。 20 因为希律知道约翰是个公义圣洁的人,所以敬畏他,并对他加以保护。尽管约翰所讲的道理令他困惑不安,他仍然喜欢听。
21 机会终于来了。希律在自己的生日那天设宴招待文武百官和加利利的显要。 22 希罗底的女儿进来跳舞,甚得希律和客人的欢心。王对她说:“你想要什么,只管说。” 23 王还对她起誓说:“无论你要什么,哪怕是我的半壁江山,我都会给你。”
24 她便出去问她母亲:“我应该要什么呢?”
她母亲说:“要施洗者约翰的头!”
25 她马上回去对王说:“愿王立刻把施洗者约翰的头放在盘子里送给我。”
26 王听了这个请求,感到十分为难,但因为在众宾客面前起了誓,就不好拒绝。 27 他立刻命令卫兵进监牢砍了约翰的头, 28 放在盘子里送给这女子,她又转送给她母亲。 29 约翰的门徒听到这个消息,就来把约翰的尸体领回去,安葬在坟墓里。
耶稣使五千人吃饱
30 使徒们聚集在耶稣身边,向祂报告事工和传道的经过。 31 耶稣对他们说:“你们私下跟我到僻静的地方去歇一会儿吧。”因为当时来来往往找他们的人实在太多,他们连吃饭的时间都没有。
32 他们乘船悄悄地到了一处僻静的地方。 33 可是有许多人看见他们离开,认出了他们,便从各城镇步行赶往那里,比他们先到达。 34 耶稣一下船,看见这一大群人好像没有牧人的羊,心里怜悯他们,于是教导了他们许多道理。
35 天色晚了,门徒过来对耶稣说:“时候已经不早了,这里又是荒郊野外, 36 请遣散众人,好让他们到周围的村庄去自己买些吃的。”
37 耶稣说:“你们给他们吃的吧。”
门徒说:“我们哪来这么多钱买东西给他们吃啊?”
38 耶稣说:“看看你们有多少饼。”
他们察看后,说:“有五个饼和两条鱼。”
39 耶稣吩咐门徒叫大家分组坐在草地上。 40 于是众人坐下,有的五十人一组,有的一百人一组。 41 耶稣拿起那五个饼、两条鱼,举目望着天祝谢后,掰开递给门徒,让他们分给众人。祂又照样把那两条鱼分给众人。 42 大家都吃了,并且吃饱了。 43 门徒把剩下的碎饼、碎鱼收拾起来,装满了十二个篮子。 44 当时吃饼的男人有五千。
耶稣在湖面上行走
45 随后,耶稣催门徒上船,叫他们先渡到湖对岸的伯赛大,祂则遣散众人。 46 祂辞别了众人后,就上山去祷告。 47 到了晚上,门徒的船在湖中心,耶稣独自留在岸上。 48 大约凌晨三点钟,祂看见门徒在逆风中摇橹,非常吃力,就从水面上朝门徒走去,想要从他们旁边经过。 49 门徒看见有人在湖面上走,以为是幽灵,吓得惊叫起来。 50 全船的人看见祂,都吓坏了,耶稣立刻对他们说:“放心吧,是我,不要怕!”
51 耶稣上了船,来到他们那里,风便停了。门徒心里十分惊奇, 52 因为他们仍然不明白耶稣分饼那件事的意义,心里还是愚顽。 53 他们渡到湖对岸,来到革尼撒勒,在那里靠岸, 54 刚一下船,众人立刻认出了耶稣。 55 他们跑遍那一带地方,用垫子把生病的人抬来,听到耶稣在哪里,就把病人抬到哪里。 56 耶稣不论到哪一个城市、乡镇和村庄,人们总是把病人抬到街市上,求耶稣让他们摸一摸祂衣裳的穗边,所有摸过的病人都好了。
Marko 6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aenda Kwenye Mji wa Kwao
(Mt 13:53-58; Lk 4:16-30)
6 Yesu akaondoka pale, na kwenda katika mji wa kwao; na wanafunzi wake wakamfuata. 2 Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sinagogi. Watu wengi walishangazwa walipomsikiliza. Wakasema, “Mtu huyu alipata wapi mambo haya? Alipata wapi hekima hii? Na anaifanyaje miujiza hii inayofanyika kwa mikono yake? 3 Je, yeye si yule seremala? Je, yeye si mwana wa Maria? Je, yeye si kaka yake Yakobo, Yusufu, Yuda, na Simoni? Je, dada zake hawaishi hapa katika mji wetu?” Kulikuwa na vikwazo vilivyowazuia wasimkubali.
4 Yesu akawaambia, “kila mtu humheshimu nabii isipokuwa watu wa mji wa kwao mwenyewe, jamaa zake mwenyewe na wale wa nyumbani mwake mwenyewe.” 5 Yesu hakuweza kufanya miujiza ya aina yoyote pale, isipokuwa aliweka mikono juu ya wagonjwa wachache na kuwaponya. 6 Naye akashangazwa na jinsi watu wa mji wa kwao mwenyewe walivyokosa kuwa na imani. Kisha Yesu alizunguka vijijini akiwafundisha watu.
Yesu Awatuma Kazi Mitume Wake
(Mt 10:1,5-15; Lk 9:1-6)
7 Akawaita kwake wanafunzi wake kumi na wawili, na akaanza kuwatuma wawili wawili. Akawapa uwezo wa kuwaweka huru watu kutoka pepo wachafu. 8 Akawapa amri kuwa wasichukue kitu chochote kwa ajili ya safari yao isipokuwa fimbo; hawakupaswa kuchukua mkate, mfuko, hata kubeba fedha kwenye mikanda yao. 9 Aliwaruhusu kuvaa makobazi lakini wasichukue kanzu ya pili. 10 Naye akawambia, “ikiwa mtu atawapa mahali pa kuishi mkae katika nyumba hiyo kwa muda wote mtakapokuwa katika mji ule msihamehame kutoka nyumba moja hadi nyingine. 11 Ikiwa hamtakaribishwa ama kusikilizwa katika mji wowote au mahali popote, kwa kuwaonya kunguteni mavumbi toka miguuni mwenu.”
12 Kwa hiyo mitume wakatoka na kuhubiri ili watu watubu. 13 Mitume wakafukuza mashetani wengi na kuwapaka mafuta ya mizeituni[a] wagonjwa wengi na kuwaponya.
Herode Adhani Yesu ndiye Yohana Mbatizaji
(Mt 14:1-12; Lk 9:7-9)
14 Mfalme Herode alisikia habari hii kwani umaarufu wa Yesu ulikuwa umeenea mahali pote. Watu wengine walisema, “Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana ana uwezo wa kufanya miujiza.”
15 Wengine wakasema, “Yeye ni Eliya.”
Wengine walisema, “Yeye ni nabii kama mmoja wa manabii wa zamani.”
16 Lakini Herode aliyasikia haya na kusema, “Yohana, yule mtu niliyemkata kichwa, amefufuka kutoka kifo.”
Yohana Mbatizaji Alivyouawa
17 Kwa kuwa Herode mwenyewe alikuwa ametoa amri ya kumkamata Yohana na kumweka gerezani. Alifanya hivi kwa sababu ya Herodia, mkewe Filipo kaka yake ambaye Herode alikuwa amemwoa. 18 Kwani Yohana alizidi kumwambia Herode, “Si halali kwako kisheria kumwoa mke wa kaka yako.” 19 Herodia alikuwa na kisa na Yohana. Hivyo alitaka auwawe, lakini hakuweza kumshawishi Herode kumuua Yohana. 20 Hii ni kwa sababu Herode alimhofu Yohana. Herode pia alifahamu ya kuwa Yohana alikuwa ni mtu mtakatifu na mwenye haki, hivyo akamlinda. Herode alimpomsikia Yohana, alisumbuka sana; lakini alifurahia kumsikiliza.
21 Lakini muda maalumu ukafika; katika siku ya kuzaliwa kwake. Herode aliandaa sherehe ya chakula cha jioni kwa maafisa mashuhuri wa baraza lake, maafisa wake wa kijeshi, na watu maarufu wa Galilaya. 22 Binti ya Herodia alipowasili ndani ya ukumbi alicheza na kumpendeza Herode na wageni aliowaalika katika sherehe hiyo.
Mfalme Herode akamwambia yule msichana, “Uniombe chochote unachotaka, nami nitakupa.” 23 Akamuahidi: “Nitakupa chochote utakachoniomba, hata nusu ya ufalme wangu!”
24 Naye akatoka na kumwambia mama yake, “Niombe kitu gani?”
Mama yake akasema, “Omba kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
25 Yule msichana mara moja aliharakisha kuingia ndani kwa mfalme na kuomba: “Nataka unipe sasa hivi kichwa cha Yohana Mbatizaji katika sinia.”
26 Mfalme alisikitika sana. Lakini kwa sababu ya viapo vyake alivyovifanya mbele ya wageni wake chakulani hakutaka kumkatalia ombi lake. 27 Kwa hiyo mfalme mara moja akamtuma mwenye kutekeleza hukumu za kifo akiwa na amri ya kukileta kichwa cha Yohana. Kisha akaenda kukikata kichwa cha Yohana, 28 na kukileta katika sinia na kumpa yule msichana, na msichana akampa mama yake. 29 Wanafunzi wa Yohana waliposikia haya walikuja na kuchukua mwili na kuuweka ndani ya kaburi.
Yesu Awalisha Watu Zaidi ya 5,000
(Mt 14:13-21; Lk 9:10-17; Yh 6:1-14)
30 Mitume walikusanyika kumzunguka Yesu, na wakamweleza yote waliyofanya na kufundisha. 31 Kisha Yesu akawaambia, “Njooni mnifuate peke yenu hadi mahali patulivu na palipo mbali na watu wengine ili mpumzike kidogo”, kwani pale walikuwepo watu wengi wakija na kutoka, nao hawakuwa na nafasi ya kula.
32 Kwa hiyo wakaondoka na mtumbwi kuelekea mahali patulivu na mbali na watu wakiwa peke yao. 33 Lakini watu wengi waliwaona wakiondoka na waliwafahamu wao ni kina nani; kwa hiyo walikimbilia pale kwa njia ya nchi kavu kutoka vitongoji vyote vilivyolizunguka eneo hilo wakafika kabla ya Yesu na wanafunzi wake. 34 Alipotoka katika mashua, Yesu aliona kundi kubwa, na akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji, Kwa hiyo akaanza kuwafundisha mambo mengi.
35 Kwa sasa ilikuwa imekwisha kuwa jioni sana. Kwa hiyo wanafunzi wake walimwijia na kusema, “Hapa ni mahali palipojitenga na sasa hivi saa zimeenda. 36 Uruhusu watu waende zao, ili kwamba waende kwenye mashamba na vijiji vinavyozunguka na waweze kujinunulia kitu cha kula.”
37 Lakini kwa kujibu aliwaambia, “Ninyi wenyewe wapeni kitu cha kula.”
Wao Wakamwambia, “Je, twende kununua mikate yenye thamani ya mshahara wa mtu mmoja[b] wa miezi minane na kuwapa wale?”
38 Yesu akawambia, “Ni mikate mingapi mliyonayo? Nendeni mkaone.”
Walienda kuhesabu, wakarudi kwa Yesu na kusema, “Tunayo mikate mitano na samaki wawili.”
39 Kisha akawaagiza wakae chini kila mmoja kwenye majani mabichi kwa vikundi. 40 Nao wakakaa kwa vikundi vya watu mia na mmoja na vya watu hamsini.
41 Akachukua ile mikate mitano na samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akashukuru na akaimega. Akawapa wanafunzi wake ili wawape watu. Pia aligawanya samaki wawili miongoni mwao wote.
42 Wakala na wote wakatosheka. 43 Wakachukua mabaki ya vipande vya mikate na samaki na kujaza vikapu kumi na viwili. 44 Na idadi ya wanaume waliokula ile mikate ilikuwa 5,000.
Yesu Atembea Juu ya Maji
(Mt 14:22-33; Yh 6:16-21)
45 Mara Yesu akawafanya wafuasi wake wapande kwenye mashua na wamtangulie kwenda Bethsaida upande wa pili wa ziwa, wakati yeye akiliacha lile kundi liondoke. 46 Baada ya Yesu kuwaaga wale watu, alienda kwenye vilima kuomba.
47 Ilipotimia jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, na Yesu alikuwa peke yake katika nchi kavu. 48 Naye akawaona wanafunzi wake wakihangaika kupiga makasia, kwani upepo uliwapinga. Kati ya saa tisa na saa kumi na mbili asubuhi Yesu aliwaendea akitembea juu ya ziwa. Yeye akiwa karibu kuwapita, 49 wanafunzi wake wakamwona akitembea juu ya ziwa,[c] na wakafikiri kuwa alikuwa ni mzimu, ndipo walipopiga kelele. 50 Kwa kuwa wote walimwona, na wakaogopa. Mara tu alizungumza nao na kuwaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Usiogope.” 51 Kisha alipanda kwenye mtumbwi pamoja nao, na upepo ukatulia. Wakashangaa kabisa, 52 kwa kuwa walikuwa bado hawajauelewa ule muujiza wa mikate. Kwani fahamu zao zilikuwa zimezibwa.
Yesu Awaponya Watu Wengi Wagonjwa
(Mt 14:34-36)
53 Walipolivuka ziwa, walifika Genesareti na wakaifunga mashua. 54 Walipotoka katika mashua, watu wakamtambua Yesu, 55 Wakakimbia katika lile jimbo lote na kuanza kuwabeba wagonjwa katika machela na kuwapeleka pale waliposikia kuwa Yesu yupo. 56 Na kila alipoenda vijijini, mijini na mashambani, waliwaweka wagonjwa kwenye masoko, na wakamsihi awaache waguse pindo la koti lake. Na wote walioligusa walipona.
Footnotes
- 6:13 kuwapaka mafuta ya mizeituni Mafuta ya mizeituni yalitumika kama dawa. Ilikuwa pia ni alama ya uponyaji wa Mungu aliopewa Yesu na baadaye wanafunzi wake na Roho Mtakatifu.
- 6:37 thamani ya mshahara wa mtu mmoja Kwa Kiyunani vipande 200 vya fedha vimelinganishwa na TKU kama kiasi cha mshahara wa mtu mmoja kwa miezi minane.
- 6:49 akitembea juu ya ziwa Watu zama za Marko waliamini kwamba mizimu isingeweza kutembea juu ya maji, lakini waliamini miungu wangeweza kutembea juu ya maji. Watu hao wangeshangaa kuona mitume wa Yesu wakiwa tayari kuamini kitu potovu kabla ya kuamini kuwa Yesu alisimama mbele yao ni Mungu kwani ametembea majini.
馬可福音 6
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
拿撒勒人厭棄耶穌
6 耶穌帶著門徒離開那地方,回到自己的家鄉。 2 到了安息日,祂開始在會堂裡教導人,眾人聽了都很驚奇,說:「這個人從哪裡學來這些本領?祂怎麼會有這種智慧?祂怎麼能行這樣的神蹟? 3 這不是那個木匠嗎?祂不是瑪麗亞的兒子嗎?祂不是雅各、約西、猶大、西門的大哥嗎?祂的妹妹們不也住在我們這裡嗎?」他們就對祂很反感。
4 耶穌對他們說:「先知到處受人尊敬,只有在本鄉、本族、本家例外。」 5 耶穌不能在那裡行任何神蹟,只把手按在幾個病人身上,醫治了他們。 6 他們的不信令耶穌詫異,於是祂就去周圍的村莊教導人。
差遣十二使徒
7 耶穌召集了十二個使徒,差遣他們兩個兩個地出去,賜給他們制伏污鬼的權柄, 8 又吩咐他們除了手杖之外,不用帶食物和背囊,腰包裡也不要帶錢, 9 只穿一雙鞋子和一套衣服就夠了。 10 祂說:「你們無論到哪裡,就住在那些接待你們的人家裡,一直住到離開。 11 如果某地方的人不接待你們,不聽你們傳的道,你們在離開之前要跺掉腳上的塵土,作為對他們的警告!」
12 使徒便出去傳道,勸人悔改, 13 趕出許多鬼,為許多病人抹油,治好他們。
施洗者約翰遇害
14 耶穌聲名遠播,希律王也聽說了祂的事。有人說:「施洗者約翰從死裡復活了,所以能夠行這些神蹟。」
15 也有人說:「祂是先知以利亞。」
還有人說:「祂是個先知,跟古代的一位先知相似。」
16 希律聽到這些議論,就說:「祂一定是被我斬了頭的約翰從死裡復活了。」 17 原來希律娶了他兄弟腓力的妻子希羅底,並為她的緣故而派人逮捕了約翰,把他關押在監牢裡。 18 因為約翰屢次對希律說:「你娶弟弟的妻子不合法。」
19 希羅底對約翰懷恨在心,想要殺掉他,只是不能得逞。 20 因為希律知道約翰是個公義聖潔的人,所以敬畏他,並對他加以保護。儘管約翰所講的道理令他困惑不安,他仍然喜歡聽。
21 機會終於來了。希律在自己的生日那天設宴招待文武百官和加利利的顯要。 22 希羅底的女兒進來跳舞,甚得希律和客人的歡心。王對她說:「你想要什麼,只管說。」 23 王還對她起誓說:「無論你要什麼,哪怕是我的半壁江山,我都會給你。」
24 她便出去問她母親:「我應該要什麼呢?」
她母親說:「要施洗者約翰的頭!」
25 她馬上回去對王說:「願王立刻把施洗者約翰的頭放在盤子裡送給我。」
26 王聽了這個請求,感到十分為難,但因為在賓客面前起了誓言,就不好拒絕。 27 他立刻命令衛兵進監牢砍了約翰的頭, 28 放在盤子裡送給這女子,她又轉送給她母親。 29 約翰的門徒聽到這個消息,就來把約翰的屍體領回去,安葬在墳墓裡。
耶穌使五千人吃飽
30 使徒們聚集在耶穌身邊,向祂報告事工和傳道的經過。 31 耶穌對他們說:「你們私下跟我到僻靜的地方去歇一會兒吧。」因為當時來來往往找他們的人實在太多,他們連吃飯的時間都沒有。
32 他們乘船悄悄地到了一處僻靜的地方。 33 可是有許多人看見他們離開,認出了他們,便從各城鎮步行趕往那裡,比他們先到達。 34 耶穌一下船,看見這一大群人好像沒有牧人的羊,心裡憐憫他們,於是教導了他們許多道理。
35 天色晚了,門徒過來對耶穌說:「時候已經不早了,這裡又是荒郊野外, 36 請遣散眾人,好讓他們到周圍的村莊去自己買些吃的。」
37 耶穌說:「你們給他們吃的吧。」
門徒說:「我們哪來這麼多錢買東西給他們吃啊?」
38 耶穌說:「看看你們有多少餅。」
他們察看後,說:「有五個餅和兩條魚。」
39 耶穌吩咐門徒叫大家分組坐在草地上。 40 於是眾人坐下,有的五十人一組,有的一百人一組。 41 耶穌拿起那五個餅、兩條魚,舉目望著天祝謝後,掰開遞給門徒,讓他們分給眾人。祂又照樣把那兩條魚分給眾人。 42 大家都吃了,並且吃飽了。 43 門徒把剩下的碎餅、碎魚收拾起來,裝滿了十二個籃子。 44 當時吃餅的男人有五千。
耶穌在湖面上行走
45 隨後,耶穌催門徒上船,叫他們先渡到湖對岸的伯賽大,祂則遣散眾人。 46 祂辭別了眾人後,就上山去禱告。 47 到了晚上,門徒的船在湖中心,耶穌獨自留在岸上。 48 大約凌晨三點鐘,祂看見門徒在逆風中搖櫓,非常吃力,就從水面上朝門徒走去,想要從他們旁邊經過。 49 門徒看見有人在湖面上走,以為是幽靈,嚇得驚叫起來。 50 全船的人看見祂,都嚇壞了,耶穌立刻對他們說:「放心吧,是我,不要怕!」
51 耶穌上了船,來到他們那裡,風便停了。門徒心裡十分驚奇, 52 因為他們仍然不明白耶穌分餅那件事的意義,心裡還是愚頑。 53 他們渡到湖對岸,來到革尼撒勒,在那裡靠岸, 54 剛一下船,眾人立刻認出了耶穌。 55 他們跑遍那一帶地方,用墊子把生病的人抬來,聽到耶穌在哪裡,就把病人抬到哪裡。 56 耶穌不論到哪一個城市、鄉鎮和村莊,人們總是把病人抬到街市上,求耶穌讓他們摸一摸祂衣裳的穗邊,所有摸過的病人都好了。
馬 可 福 音 6
Chinese New Testament: Easy-to-Read Version
耶稣回到家乡
6 耶稣离开那里,回到家乡,门徒们跟随他去了。 2 安息日到了,耶稣开始在犹太会堂里讲道。许多人听了,非常惊讶,他们说∶“这个人是从哪知道这些事情的?谁赐给了他如此的智慧?他从哪里获得行奇迹 [a]的力量? 3 他不就是个木匠吗?难道他不是马利亚的儿子吗?难道他不是雅各、约瑟、犹大和西门的兄弟吗?他的姐妹不是和我们一起在这里吗?”他们都难以接受耶稣。
4 耶稣对他们说∶“先知 [b]无论在哪里都受到尊敬,唯独在自己的故乡,他的乡亲和在自己家里得不到尊敬。” 5 在家乡,耶稣除了把手放在一些病人身上治愈他们外,没能行其它奇迹。 6 乡亲们没有信仰,让耶稣很吃惊,然后耶稣便到当地的其它村庄去传教。
耶稣派遣使徒传教
7 耶稣召集起十二使徒,派他们每两人结伴出去,并赐给他们制服邪灵的权力。 8 耶稣嘱咐门徒们:“旅行时,除了一根手杖之外,不要带任何东西,不要带面包、背包和钱。 9 你们可以穿鞋,但不要带多余的衣服。 10 你们无论走进哪一家,就在那一家住下,一直住到你们离开那里为止。 11 如果有哪个城镇不欢迎你们,或不听你们的,就离开那里,并且抖掉你们脚上的尘土 [c],做为对他们的警告。”
12 门徒们出去了,向人们传道说他们应该悔改。 13 他们赶走了许多鬼,给许多病人涂橄榄油 [d],治好了他们的病。
希律认为耶稣是施洗者约翰
14 耶稣的名声传遍了四方,就连希律 [e]王也听说了。有些人说∶“他是施洗者约翰,他肯定是死而复活了,所以他才能行这些奇迹。”
15 也有些人说∶“他是以利亚。”
其他一些人则说∶“他是先知, 他就像很久以前的一位先知。”
16 希律王听说了有关耶稣的事,便说∶“被我砍头的那个人约翰如今从死里复活了。”
施洗者约翰之死
17 以前,希律王亲自下令逮捕约翰并把他投进了监狱。他这么做是为了取悦妻子希罗底。她曾是希律的兄弟腓力的妻子,可是希律娶了这个女子。 18 约翰一直就告诉希律∶“你娶兄弟的妻子是不对的。” 19 希罗底因此忌恨约翰,一直想杀害他,只是无法杀他。 20 希律害怕杀害约翰,他知道约翰是个正直的圣人,所以把约翰保护起来。希律喜欢听约翰传道,但是约翰的传道令希律感到困惑。
21 然后,希罗底导致约翰死亡的机会来了。希律过生日那天,宴请文武群臣和加利利的显贵人物。 22 席间希罗底的女儿进来献舞,希律和宾客们都很开心。
于是希律对女孩说∶“你想要什么,我都给你。” 23 他对女孩发誓说∶“你要什么我都给你,哪怕是半壁江山都行!”
24 女孩出去问她母亲∶“我该要什么呢?”
她妈妈说∶“你去要施洗礼者约翰的人头。”
25 女孩急忙跑回希律身边,说∶“我要您立刻就把施洗者约翰的人头盛在盘子里端给我。”
26 希律王很难过,但是因为他当着客人的面对她发过誓,所以他不打算拒绝她。 27 希律立刻命令警卫去取约翰的人头。警卫到监狱里砍下约翰的头, 28 放在盘子里端给了女孩,女孩又把盘子端给母亲。 29 约翰的门徒们闻讯而来,为约翰收尸下葬。
耶稣让五千多人吃饱饭
30 耶稣派出去传道的使徒们回来了。他们聚在耶稣身边,向他讲述了自己所做和所教的一切。 31 因为许多人来来往往,让他们连吃饭的时间都没有。耶稣便对他的门徒们说∶“你们单独跟我来,咱们到一个安静的地方休息一下。”
32 所以,他们就上船到一个荒无人烟的地方去了。 33 但是很多人看见他们离开,并认出了他们。于是人们便急忙从各个城镇步行赶到那里,并且比他们先到了那里。 34 耶稣下船上岸后,看到一大群人,心中充满了怜悯,因为他们就像没有牧羊人的羊群,于是,他开始教导给他们很多道理。
35 天色已晚,门徒们来到他身边,对他说∶“这个地方很偏僻,而且天色已晚。 36 打发这些人走吧,以便他们能到附近的村村寨寨去买些东西吃。”
37 但是耶稣对他们说∶“你们给他们一些吃的东西。”
他们对耶稣说∶“要我们花一个月的工钱去买面包好给他们吃吗?”
38 耶稣说∶“你们去看看还有多少面包。”
门徒们数过之后,回来说∶“我们有五块面包和两条鱼。”
39 然后耶稣吩咐他们把人们分成一组、一组地坐在草地上, 40 于是人们按五十人或一百人一组地坐下。 41 耶稣拿起五块面包和两条鱼,举目望天,感谢上帝赐给的食物,然后他掰开面包,交给门徒,让他们分给大家。耶稣又把两条鱼分给了人们。
42 所有的人都吃饱了。 43 然后,他们把剩下的零碎面包和鱼收拾起来足足装满了十二筐。 44 在那里吃饭的人大约有五千个男人。
在水面上行走
45 然后,耶稣立刻叫门徒们上船,先到湖对岸的伯赛大去,他随后会过去,同时他解散了众人。 46 辞别了他们后,耶稣来到山上祈祷。
47 那天晚上,船已经驶到湖心,耶稣仍然独自呆在岸上。 48 他看见门徒们逆风划船非常吃力。大约在凌晨三到六点钟之间,耶稣向门徒们走来。他在水面上走来,几乎都要超过他们了。 49 但是当他们看见耶稣在水面上行走时,以为是鬼魂,都大叫起来。 50 他们都看见了他,吓得毛骨悚然,但是,耶稣对他们说∶“别担心!是我!不要害怕。” 51 然后耶稣上了他们的船,这时风也停了。门徒们都惊呆了, 52 因为他们连面包的事还没弄明白呢。他们还没有开窍。
耶稣治愈很多病人
53 他们渡过了湖,在革尼撒勒上了岸,拴好船。 54 一下船,人们就认出了耶稣。 55 整个地区的人奔走相告,无论耶稣走到哪里,当人们得知后,便用垫子抬着病人闻讯而来。 56 凡耶稣去的地方,不论是乡村城镇还是农场,人们把病人带到集市上,请求耶稣允许病人只摸一摸他的衣服。凡是摸过他衣服的病人都痊愈了。
Footnotes
- 馬 可 福 音 6:2 奇迹: 凭上帝的力量所行的惊人的事迹。
- 馬 可 福 音 6:4 先知: 上帝的代言人,常预测未来要发生的事。
- 馬 可 福 音 6:11 抖掉你们鞋上的尘土: 警告,表示不再对这些人讲话。
- 馬 可 福 音 6:13 橄榄油: 被用作医药。
- 馬 可 福 音 6:14 希律: 希律安提波斯是加利利和皮利的统治者。希律的儿子。
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Copyright © 2004 by World Bible Translation Center