Font Size
Luka 9:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Herode Achanganyikiwa Kuhusu Yesu
(Mt 14:1-12; Mk 6:14-29)
7 Herode, mtawala wa Galilaya alisikia mambo yote yaliyokuwa yanatokea. Alichanganyikiwa kwa sababu baadhi ya watu walisema, “Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka kwa wafu.” 8 Wengine walisema, “Eliya amekuja kwetu,” na baadhi ya watu wengine walisema “Mmoja wa manabii wa kale amefufuka kutoka kwa wafu”. 9 Herode alisema, “Nilimkata kichwa Yohana. Sasa, mtu huyu ninayesikia habari zake ni nani?” Herode aliendelea kutaka kumwona Yesu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International