Font Size
Ufunuo 18:10
Wataogopa mateso yake na kukaa mbali sana. Watasema: “Inatisha! Inatisha sana, Ee mji mkuu, ee Babeli, mji wenye nguvu! Adhabu yako imekuja katika saa moja!”
Watasimama mbali kwa hofu ya mateso yake na kusema, “Ole wako! Ole wako, mji mkuu, Babiloni, mji wenye nguvu! Hukumu yako imekuja katika saa moja!”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica