Font Size
                  
                
              
            
												                              Ufunuo 18:4                            
                                                        
                                                  Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Enyi watu wangu, tokeni katika mji huo, ili msishiriki katika dhambi zake. Ili msiteseke kwa adhabu yoyote kuu atakayoipata.
Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema, “Watu wangu, tokeni kwake msije mkashiriki dhambi zake mkapati kana na maafa yatakayompata;
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright ©  1989 by Biblica