马可福音 12
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
凶狠的佃户
12 耶稣用比喻对他们说:“有人开辟了一个葡萄园,在四周筑起篱笆,又在园中挖了一个榨酒池,建了一座瞭望台,然后把葡萄园租给佃户,就出远门了。
2 “到葡萄成熟时,园主派一个奴仆去收取他该得的一份。 3 那些佃户却捉住那个奴仆,打了他一顿,使他空手而归。
4 “园主又差另一个奴仆去。这一次,佃户不但侮辱他,还把他打得头破血流。 5 园主再派一个奴仆前往,他们却把他杀掉了。园主后来派去的人不是挨打,就是被杀。 6 最后只剩下园主的爱子,园主就派他去,以为那些佃户会尊重他的儿子。 7 这班佃户却彼此商量说,‘这个就是园主的继承人。来吧!我们杀掉他,产业就归我们了。’
8 “于是他们抓住他,杀了他,把他抛到葡萄园外。 9 那么,园主会采取什么行动呢?他必定会来杀掉这些佃户,把葡萄园转给别人。 10 圣经上说,
“‘工匠丢弃的石头已成了房角石。
11 这是主的作为,
在我们看来奇妙莫测。’
你们没有读过这经文吗?”
12 他们听出这比喻是针对他们说的,就想逮捕耶稣,但又害怕百姓,只好先离开了。
纳税给凯撒的问题
13 后来,他们派了几个法利赛人和希律党人到耶稣那里,企图利用祂所说的话设计陷害祂。
14 他们上前对耶稣说:“老师,我们知道你诚实无伪,不看人的情面,因为你不以貌取人,而是按真理传上帝的道。那么,向凯撒纳税对不对呢? 15 我们该不该纳呢?”耶稣看破他们的阴谋,就说:“你们为什么试探我呢?拿一个银币来给我看。”
16 他们就拿来一个银币,耶稣问他们:“上面刻的是谁的像和名号?”
他们说:“凯撒的。”
17 耶稣说:“属于凯撒的东西应该给凯撒,属于上帝的东西应该给上帝。”
他们听了这话,都很惊奇。
论复活
18 撒都该人向来不相信有复活的事,他们来问耶稣: 19 “老师,摩西为我们写下律例,如果一个人死了,遗下妻子,又没有儿女,他的兄弟就当娶嫂嫂,替哥哥传宗接代。 20 有弟兄七人,老大结了婚,没有孩子就死了。 21 二弟把大嫂娶过来,也没有生孩子就死了,三弟也是一样, 22 七个人都没有留下孩子。最后,那女人也死了。 23 那么,到复活的时候,她将是谁的妻子呢?因为七个人都娶过她。”
24 耶稣说:“你们弄错了,因为你们不明白圣经,也不知道上帝的能力。 25 死人复活之后,将不娶也不嫁,就像天上的天使一样。 26 关于死人复活的事,你们没有读过摩西书有关火中荆棘的记载吗?上帝对摩西说,‘我是亚伯拉罕的上帝,以撒的上帝,雅各的上帝。’ 27 上帝不是死人的上帝,而是活人的上帝。你们大错了!”
最大的诫命
28 有一位律法教师听到他们的辩论,觉得耶稣的回答很精彩,就走过去问道:“诫命中哪一条最重要呢?”
29 耶稣回答道:“最重要的诫命是,‘听啊,以色列!主——我们的上帝是独一的主。 30 你要全心、全情、全意、全力爱主——你的上帝’; 31 其次就是‘要爱邻如己’。再也没有任何诫命比这两条更重要了。”
32 那位律法教师说:“老师,你说的对,上帝只有一位,除祂以外,别无他神。 33 我们要全心、全意、全力爱祂,又要爱邻如己。这样做比献什么祭都好。”
34 耶稣见他答得很有智慧,就告诉他:“你离上帝的国不远了。”此后,没人再敢问耶稣问题了。
基督的身份
35 耶稣在圣殿里教导的时候,问道:“律法教师为什么说基督是大卫的后裔呢? 36 大卫自己曾经受圣灵的感动,说,
“‘主对我主说,
你坐在我的右边,
等我使你的仇敌伏在你脚下。’
37 既然大卫自己称基督为主,基督又怎能是大卫的后裔呢?”百姓听得津津有味。 38 耶稣又教导他们,说:“你们要提防律法教师,他们爱穿着长袍招摇过市,喜欢人们在大街上问候他们, 39 又喜欢会堂里的上座和宴席中的首位。 40 他们侵吞寡妇的财产,还假意做冗长的祷告。这种人必受到更严厉的惩罚。”
穷寡妇的奉献
41 然后,耶稣走到圣殿的奉献箱对面坐下,看大家怎样奉献。很多财主奉献了大量的钱。 42 后来一个穷寡妇来了,投进了相当于一文钱的两个小铜钱。 43 耶稣叫门徒来,说:“我实在告诉你们,这位穷寡妇比其他人奉献的都多, 44 因为他们不过奉献了自己剩余的,但这穷寡妇却奉献了她赖以为生的。”
Marko 12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Atoa Simulizi Kuhusu Shamba la Mzabibu
(Mt 21:33-46; Lk 20:9-19)
12 Yesu alianza kuongea nao kwa simulizi zenye mafumbo: “Mtu mmoja alipanda mizabibu shambani. Akajenga ukuta kuizunguka, akachimba shimo kwa ajili ya kukamulia mizabibu na kisha alijenga mnara. Baadaye alilikodisha kwa baadhi ya wakulima na akaenda safari nchi ya mbali.
2 Yalipotimia majira ya kuvuna, alimtuma mtumishi wake kwa wakulima wale, ili kukusanya sehemu yake ya matunda ya mzabibu. 3 Lakini wakulima wale walimkamata mtumishi yule, wakampiga, na kumfukuza pasipo kumpa chochote. 4 Kisha akamtuma mtumishi mwingine kwao. Huyu naye wakampiga kichwani na kumtendea mambo ya aibu. 5 Yule mmiliki wa shamba la mzabibu akamtuma mtumishi mwingine, na wakulima wale wakamuua na yule pia. Baada ya hapo alituma wengi wengine. Wakulima wale waliwapiga baadhi yao na kuua wengine.
6 Hata hivyo mwenye shamba yule bado alikuwa na mmoja wa kumtuma, mwanaye mpendwa. Alimtuma akiwa mtu wa mwisho. Akasema, ‘nina hakika watamheshimu mwanangu!’
7 Lakini wakulima wale walisemezana wao kwa wao, ‘Huyu ndiye yule mrithi. Njooni tukamuue, na urithi utakuwa wetu!’ 8 Kwa hiyo wakamchukua na kumuua, kisha wakautupa mwili wake nje ya shamba la mizabibu.
9 Je! Mnadhani mwenye kumiliki lile shamba la mizabibu atafanya nini? Atakuja na kuwaua wakulima wale, na kukodisha shamba lile kwa watu wengine. 10 Je! Hamjayasoma maandiko haya:
‘Jiwe ambalo wajenzi wamelikataa
limekuwa jiwe kuu la msingi.
11 Hii imefanywa na Bwana
na ni ajabu kubwa kwetu kuona!’”(A)
12 Na viongozi wa kidini wakatafuta njia ya kumkamata Yesu, lakini waliogopa lile kundi la watu. Kwani walijua ya kwamba Yesu alikuwa ameisema simulizi ile yenye mafumbo ili kuwapinga. Kwa hiyo viongozi wa kidini wakamwacha na kuondoka.
Yesu Ajibu Swali Lenye Mtego
(Mt 22:15-22; Lk 20:20-26)
13 Viongozi wa Kidini wakamtumia baadhi ya Mafarisayo na Maherode ili kumkamata kama akisema chochote kimakosa. 14 Wale waliotumwa walifika na kumwambia, “Mwalimu tunajua, kwamba wewe ni mkweli, na tena hujali yale watu wanayoyafikiri kuhusu wewe, kwa sababu wewe hubabaishwi na wadhifa wa mtu. Lakini unafundisha ukweli wa njia ya Mungu. Tuambie ni haki kulipa kodi kwa Kaisari ama la? Je, tulipe au tusilipe?”
15 Lakini Yesu aliutambua unafiki wao na akawaambia, “Kwa nini mnanijaribu hivi? Mniletee moja ya sarafu ya fedha mnazotumia ili niweze kuiangalia.” 16 Hivyo wakamletea sarafu, naye akawauliza, “Je, sura hii na jina hili ni la nani?” Nao wakamwambia, “Ya Kaisari.”
17 Ndipo Yesu alipowaambia, “Mpeni Kaisari vilivyo vyake, na Mungu mpeni vilivyo vyake.” Wakastaajabu sana kwa hayo.
Baadhi ya Masadukayo Wajaribu Kumtega Yesu
(Mt 22:23-33; Lk 20:27-40)
18 Kisha Masadukayo wakamjia. (Hawa ni wale wanaosema hakuna ufufuo wa wafu.) Wakamwuliza, 19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ikiwa kaka wa mtu atafariki na kumwacha mke asiye na watoto, Basi yule kaka lazima aoe mke yule wa nduguye na kuzaa naye watoto kwa ajili ya kaka yake aliyefariki. 20 Palikuwepo na ndugu wa kiume saba. Wa kwanza alioa mke, naye alikufa bila kuacha mtoto yeyote. 21 Wa pili naye akamwoa yule mke wa nduguye wa kwanza aliyeachwa naye akafa bila kuacha watoto wowote. Ndugu wa tatu pia alifanya vivyo hivyo. 22 Ndugu wote wale saba walimwoa yule mwanamke na wote hawakupata watoto. Mwisho wa yote, yule mwanamke pia akafariki, 23 Katika ufufuo, pale wafu watakapofufuka toka katika kifo, Je, yeye atakuwa mke wa nani? Kwani wote saba walikuwa naye kama mke wao.”
24 Yesu akawaambia, “Hakika hii ndiyo sababu mmekosa sana: Hamyajui Maandiko wala uwezo wa Mungu. 25 Kwa kuwa wafu wanapofufuka toka katika wafu, hawaoi wala kuolewa. Badala yake wanakuwa kama malaika walioko Mbinguni. 26 Lakini kuhusu kufufuka kwa wafu, Je, hamjasoma katika kitabu cha Musa katika sura ile ya kichaka kinachoungua? Pale ndipo Mungu alipomwambia Musa, ‘Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.’(B) 27 Yeye si Mungu wa waliokufa, bali wa wale wanaoishi. Hivyo ninyi mmekosa sana.”
Amri ipi ni ya Muhimu Zaidi?
(Mt 22:34-40; Lk 10:25-28)
28 Mwalimu wa Sheria alifika naye aliwasikia wakijadiliana. Alipoona jinsi Yesu alivyowajibu vizuri sana, alimwuliza, “Je, amri ipi ni muhimu sana kuliko zote?”
29 Yesu akajibu, “Muhimu sana ni hii: ‘Sikiliza, Israeli, Bwana Mungu wetu ni mmoja. 30 Nawe unapaswa kumpenda Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa nafsi yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.’(C) 31 Amri ya pili ni hii: ‘mpende jirani yako[a] kama unavyojipenda mwenyewe.’(D) Hakuna amri nyingine kubwa kuliko hizi.”
32 Na mwalimu wa Sheria akamwambia, “Umejibu vema kabisa mwalimu. Upo sahihi kusema kuwa Mungu ni mmoja, na hakuna mwingine ila yeye. 33 Ni muhimu zaidi kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, kwa ufahamu wako wote, na kwa nguvu zako zote, na kumpenda jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe kuliko sadaka zote za kuteketezwa na matoleo tunayompa Mungu.”
34 Yesu alipoona kwamba yule mtu amejibu kwa busara, alimwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Baada ya hapo hakuwepo mtu mwingine aliyediriki kumwuliza maswali mengine zaidi.
Je, Masihi ni Mwana wa Daudi?
(Mt 22:41-46; Lk 20:41-44)
35 Yesu alipokuwa akifundisha katika mabaraza ya Hekalu, alisema, “Inawezekana vipi walimu wa Sheria kusema kwamba Kristo ni mwana wa Daudi? 36 Daudi mwenyewe kwa kupitia Roho Mtakatifu alisema,
‘Bwana Mungu alimwambia Bwana Mfalme wangu:
Keti karibu nami upande wangu wa kuume,
nami nitawaweka adui zako chini ya udhibiti wako.’[b](E)
37 Daudi anamwita Masihi ‘Bwana’. Itakuwaje tena Kristo awe yote Bwana na pia mwana wa Daudi?”
Hapo lilikuwepo kundi kubwa la watu liliokuwa likimsikiliza kwa furaha.
Yesu Anawakosoa Walimu wa Sheria
(Mt 23:6-7; Lk 11:43; 20:45-47)
38 Katika mafundisho yake alisema, “Jihadharini na walimu wa Sheria.” Wao wanapenda kutembea huko na huko katika mavazi yanayopendeza huku wakipenda kusalimiwa masokoni, 39 Hao wanapenda kukaa viti vya mbele katika masinagogi na kupewa sehemu muhimu zaidi za kukaa katika karamu za chakula. 40 Hawa huwadanganya wajane ili wazichukue nyumba zao na wanasali sala ndefu ili kujionesha kwa watu. Watu hawa watapata hukumu iliyo kubwa zaidi.
Mjane Aonesha Jinsi Ulivyo Utoaji wa Kweli
(Lk 21:1-4)
41 Yesu aliketi mahali kuvuka pale palipokuwepo na sanduku la matoleo, alitazama jinsi ambavyo watu walikuwa wakiweka sadaka zao sandukuni. Matajiri wengi waliweka fedha nyingi. 42 Kisha mjane maskini alikuja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba, ambazo zilikuwa na thamani ndogo sana.
43 Yesu aliwaita wanafunzi wake pamoja na kuwaambia, “Nawaambieni ukweli mjane huyu maskini ameweka sarafu mbili tu. Lakini ukweli ni kwamba ametoa zaidi ya matajiri wote wale.” 44 Kwa kuwa wote walitoa kile cha ziada walichokuwa nacho. Lakini yeye katika umasikini wake, aliweka yote aliyokuwa nayo. Na hiyo ilikuwa fedha yote aliyokuwa nayo kutumia wa maisha yake.
马可福音 12
Chinese New Version (Simplified)
佃户的比喻(A)
12 耶稣又用比喻对他们说:“有一个人栽种了一个葡萄园,四面围上篱笆,挖了一个压酒池,盖了一座瞭望台,然后租给佃户,就远行去了。 2 到了时候,园主派了一个仆人到佃户那里,向佃户收取葡萄园一部分的果子。 3 佃户抓住他,打了他,放他空手回去。 4 园主再派另外一个仆人到他们那里,他们打伤了他的头,并且侮辱他。 5 园主又派另一个去,他们就把他杀了。后来又派去许多仆人,有的给他们打了,有的给他们杀了。 6 还有一个,就是园主的爱子,最后园主派他到那里去,说:‘他们必尊敬我的儿子。’ 7 那些佃户却彼此说:‘这是继承产业的;来,我们杀了他,产业就是我们的了。’ 8 于是抓住他,把他杀了,扔在葡萄园外。 9 这样,葡萄园的主人要怎么办呢?他要来除掉那些佃户,把葡萄园租给别人。 10 你们没有念过这段圣经吗:
‘建筑工人所弃的石头,
成了房角的主要石头;
11 这是主所作的,
在我们眼中看为希奇。’”
12 他们知道他这比喻是针对他们说的,就想要捉拿他,但因为害怕群众,只好离开他走了。
以纳税的事问难耶稣(B)
13 后来,他们派了几个法利赛人和希律党的人到耶稣那里去,要找他的把柄来陷害他。 14 他们来到了,就对他说:“老师,我们知道你为人诚实,不顾忌任何人,因为你不徇情面,只照着真理把 神的道教导人。请问纳税给凯撒可以不可以?我们该纳不该纳呢?” 15 耶稣看出他们的假意,就对他们说:“你们为甚么试探我呢?拿一个银币来给我,让我看看。” 16 他们就拿来了。耶稣问他们:“这是谁的像,谁的名号?”他们回答他:“凯撒的。” 17 耶稣说:“凯撒的应当归给凯撒, 神的应当归给 神。”他们就对他十分惊奇。
人复活后不娶不嫁(C)
18 撒都该人向来认为没有复活的事,他们来到耶稣那里,问他: 19 “老师,摩西曾写给我们说:‘如果一个人死了,留下妻子,没有儿女,他的弟弟就应当娶他的妻子,为哥哥立后。’ 20 从前有兄弟七人,头一个娶了妻子,死了,没有留下孩子; 21 第二个娶了她,也没有留下孩子,就死了;第三个也是这样。 22 那七个人都没有留下孩子,最后那女人也死了。 23 到了复活的时候,他们都要复活,她是哪一个的妻子呢?因为七个人都娶过她。” 24 耶稣对他们说:“你们错了,不正是因为你们不明白圣经,也不晓得 神的能力吗? 25 因为人从死里复活以后,也不娶,也不嫁,而是像天上的天使一样。 26 关于死人复活的事,摩西的经卷中荆棘篇上, 神怎样对他说:‘我是亚伯拉罕的 神,以撒的 神,雅各的 神’,你们没有念过吗? 27 他不是死人的 神,而是活人的 神。你们是大错特错了!”
最重要的诫命(D)
28 有一个经学家,听到他们的辩论,觉得耶稣回答得好,就来问他:“诫命中哪一条是第一重要的呢?” 29 耶稣回答:“第一重要的是:‘以色列啊,你要听!主我们的 神是独一的主。 30 你要全心、全性、全意、全力,爱主你的 神。’ 31 其次是:‘要爱人如己。’再没有别的诫命比这两条更重要的了。” 32 那经学家对耶稣说:“老师,是的,你说的很对, 神是独一的,除了他以外再没有别的 神。 33 我们要用全心、全意、全力去爱他,并且要爱人如己,这就比一切燔祭和各样祭物好得多了。” 34 耶稣见他回答得有智慧,就对他说:“你距离 神的国不远了。”从此再也没有人敢问他了。
大卫称基督为主(E)
35 耶稣在殿里教训人,说:“经学家怎么说基督是大卫的子孙呢? 36 大卫自己被圣灵感动却说:
‘主对我的主说:
你坐在我的右边,
等我把你的仇敌放在你的脚下(有些抄本作“等我使你的仇敌作你的脚凳”)。’
37 大卫自己既然称他为主,他又怎么会是大卫的子孙呢?”群众都喜欢听他。
耶稣叫人提防经学家(F)
38 耶稣教导人的时候,说:“你们要提防经学家,他们喜欢穿长袍走来走去,喜欢人在市中心向他们问安, 39 又喜欢会堂里的高位,筵席上的首座。 40 他们吞没了寡妇的房产,又假装作冗长的祷告。这些人必受更重的刑罚。”
穷寡妇的奉献(G)
41 耶稣面对银库坐着,看着大家怎样把钱投入库中。许多有钱的人投入很多的钱。 42 后来,有一个穷寡妇来投入了两个小钱,就是一个铜钱。 43 耶稣把门徒叫过来,对他们说:“我实在告诉你们,这穷寡妇投入库里的,比众人投的更多。 44 因为他们都是把自己剩余的投入,这寡妇是自己不足,却把她一切所有的,就是全部养生的,都投进去了。”
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Chinese New Version (CNV). Copyright © 1976, 1992, 1999, 2001, 2005 by Worldwide Bible Society.