Font Size
Luka 20:41-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 20:41-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Je, Masihi ni Mwana wa Daudi?
(Mt 22:41-46; Mk 12:35-37)
41 Kisha Yesu akasema, “Kwa nini watu husema kwamba Masihi ni Mwana wa Daudi? 42 Katika kitabu cha Zaburi, Daudi mwenyewe anasema,
‘Bwana Mungu alimwambia Bwana wangu:
Keti karibu nami upande wangu wa kulia,
43 na nitawaweka adui zako chini ya mamlaka yako.’[a](A)
44 Hivyo ikiwa Daudi anamwita Masihi, ‘Bwana’. Inawezekanaje Masihi awe mwana wa Daudi?”
Read full chapterFootnotes
- 20:43 chini ya mamlaka yako Kwa maana ya kawaida, “mpaka nitakapowafanya maadui zako kuwa kiti cha kuweka miguu yako”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International