Font Size
Mathayo 23:6-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 23:6-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Watu hawa wanapenda kukaa sehemu za heshima kwenye sherehe na kwenye viti muhimu zaidi katika masinagogi. 7 Wanapenda kuitwa ‘Mwalimu’ Na kusalimiwa kwa heshima na watu kwenye masoko.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International