Ufunuo 12:15
Print
Kisha joka lilitoa maji kama mto kutoka katika kinywa chake kuelekea kwa mwanamke ili mafuriko yamchukue.
Lile joka likamwaga maji kama mto kutoka kinywani mwake, mafuriko yakamfuata huyo mama ili yamchukue.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica