Font Size
Ufunuo 12:12
Hivyo furahi, ewe mbingu na wote waishio humo! Lakini ole kwa nchi na bahari, kwa sababu Ibilisi ameshuka kwako. Amejaa ghadhabu. Anajua ana muda mchache.”
Kwa hiyo furahini ninyi mbingu, na wote wakaao mbinguni! Bali ole wenu nchi na bahari maana shetani amekuja kwenu akiwa amejaa ghadhabu, kwa maana anajua kuwa muda wake ni mfupi!”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica