Mathayo 21:16
Print
Wakamwuliza Yesu, “Unasikia wanayosema watoto hawa?” Akajibu, “Ndiyo. Maandiko yanasema, ‘Umewafundisha watoto wadogo na watoto wanyonyao kusifu.’ Hamjasoma Maandiko haya?”
“Unasikia hawa wanavyosema?” Akawajibu, “Nasikia. Kwani hamjasoma maneno haya, ‘Kutoka katika vinywa vya watoto wadogo na wale wanaonyonya umeleta sifa kamili’? ”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica