Marko 13:14
Print
Wakati mtakapoliona chukizo la uharibifu likisimama mahali pasipotakiwa lisimame.” (Msomaji aelewe hii ina maana gani?) “Kisha wale waliopo katika Uyahudi wakimbilie milimani.
“Mtakapoona ile ‘sanamu ya chukizo’ imesimama mahali isipostahili - msomaji na aelewe maana yake -basi wale walioko Yudea wakimbilie milimani.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica