Font Size
Marko 13:14
Wakati mtakapoliona chukizo la uharibifu likisimama mahali pasipotakiwa lisimame.” (Msomaji aelewe hii ina maana gani?) “Kisha wale waliopo katika Uyahudi wakimbilie milimani.
“Mtakapoona ile ‘sanamu ya chukizo’ imesimama mahali isipostahili - msomaji na aelewe maana yake -basi wale walioko Yudea wakimbilie milimani.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica