Font Size
Yohana 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Mnapozaa matunda kwa wingi Baba yangu anatukuzwa, na hivyo mnadhihirisha kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.
9 “Kama Baba alivyonipenda mimi, hivyo ndivyo mimi nilivy owapenda ninyi; dumuni katika pendo langu. 10 Mkizishika amri zangu mtakaa ndani ya pendo langu kama mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica