Warumi 8
Neno: Bibilia Takatifu
Maisha Ya Kiroho
8 Kwa hiyo basi, sasa hakuna tena hukumu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu. 2 Kwa maana sheria ya Roho wa uzima katika Kristo Yesu imeniweka huru kutokana na sheria ya dhambi na mauti. 3 Mungu amefanya lile ambalo sheria ilishindwa kufanya kwa sababu ya udhaifu wa mwili wetu wa asili. Mungu aliihukumu dhambi kwa kumtuma Mwana wake wa pekee katika hali ya mwili kama sisi, ili awe sadaka kwa ajili ya dhambi. 4 Kwa kufanya hivyo, Mungu ametutimizia matakwa ya haki ya sheria kwa kuwa sasa maisha yetu yanaongozwa na Roho na wala hatuishi tena kwa kufuata mata kwa ya mwili.
5 Kwa maana wale waishio kwa kuongozwa na asili yao ya dhambi, hukaza mawazo yao kwenye mambo ya mwili; bali wale waishio kwa kuongozwa na Roho hukaza mawazo yao katika mambo ya Roho. 6 Matokeo ya mawazo yaliyotawaliwa na tamaa za mwili ni kifo lakini mawazo yaliyotawaliwa na Roho huleta uzima na amani. 7 Watu wenye mawazo yaliyotawaliwa na mambo ya mwili ni adui wa Mungu. Watu kama hao hawakubali kutii sheria ya Mungu, na kwa kweli hawawezi. 8 Watu wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kum pendeza Mungu .
9 Lakini ninyi hamuishi kwa kufuata matakwa ya mwili, bali mnaongozwa na Roho; ikiwa kweli Roho wa Mungu anaishi ndani yenu. Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo. 10 Lakini kama Kristo anaishi ndani yenu, ingawa miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, roho zenu zinaishi kwa sababu mmek wisha kuhesabiwa haki. 11 Na ikiwa Roho wa Mungu ambaye alimfu fua Yesu kutoka kwa wafu anaishi ndani yenu, Mungu aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataipatia uzima miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya huyo Roho wake ambaye anaishi ndani yenu. 12 Kwa hiyo ndugu zangu, hatuwajibiki tena kuishi kama miili yetu inavyotaka. 13 Kwa maana mkiishi kama mwili unavyotaka mta kufa,lakini kama mkiangamiza matendo ya mwili kwa nguvu ya Roho, mtaishi.
14 Kwa maana wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni wana wa Mungu. 15 Hamkupewa Roho anayewafanya kuwa tena watumwa wa hofu. Lakini mmepokea Roho anayewafanya kuwa wana. Na kwa Roho huyo tunaweza kumwita Mungu, “Abba! Baba!” 16 Ni Roho mwenyewe anayeshuhudia pamoja na roho zetu kwamba sisi ni wana wa Mungu. 17 Na ikiwa sisi ni wana, basi tu warithi. Sisi ni warithi wa Mungu tutakaorithi pamoja na Kristo iwapo tutateseka pamoja naye ili pia tutukuzwe pamoja naye.
Utukufu Ujao
18 Nayahesabu mateso tunayopata sasa kuwa si kitu yakilin ganishwa na utukufu utakaodhihirishwa kwetu. 19 Viumbe vyote vinangoja kwa hamu kudhihirishwa kwa wana wa Mungu. 20 Kwa maana viumbe vilifanywa kuwa duni kabisa, si kwa kupenda kwake, bali kwa mapenzi ya Mungu; hata hivyo kulikuwa na matumaini 21 kwamba siku moja viumbe vyote vitawekwa huru kutoka katika utumwa wa kuharibika na vipewe uhuru na utukufu wa watoto wa Mungu.
22 Tunajua kwamba mpaka sasa viumbe vyote vimekuwa vikilia kwa uchungu mkali kama ule wa uzazi. 23 Na si hivyo tu, hata sisi ambao tuna matunda ya kwanza ya Roho tunalia kwa uchungu tukisu biri kwa hamu kufanywa kuwa wana wa Mungu, miili yetu itakapowek wa huru kabisa.
24 Kwa maana tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alichonacho? 25 Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatunacho, basi tunakingoja kwa subira.
26 Hali kadhalika Roho hutusaidia katika udhaifu wetu. Kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioelezeka kwa maneno. 27 Na Mungu ambaye ana chunguza mioyo yetu anafahamu mawazo ya Roho kwa maana Roho huwaombea watakatifu kufuatana na mapenzi ya Mungu. 28 Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hutenda kazi pamoja na wote wampendao, wale ambao wameitwa kufuatana na mapenzi yake. Mungu hufanya hivyo kwa faida yao. 29 Wale ambao Mungu alikwisha kuwachagua tangu mwanzo, pia aliwateua wafanane na Mwanae, ili Mwana awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi. 30 Na wale ambao Mungu aliwateua tangu awali pia ali waita; na wale aliowaita pia aliwahesabia haki; na wale aliowahesabia haki aliwapa utukufu wake.
Upendo Wa Mungu
31 Tuseme nini basi kuhusu haya yote? Ikiwa Mungu yuko upande wetu ni nani atakayetupinga? 32 Ikiwa Mungu hakumwacha Mwanae bali alimtoa kwa ajili yetu sote, hatatupatia pamoja na Mwanae, vitu vyote? 33 Ni nani atawashtaki wale ambao Mungu amewachagua? Ni Mungu mwenyewe ambaye anawahesabia kuwa hawana hatia. 34 Ni nani basi atakayewahukumu? Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyekufa, na zaidi ya hayo, yeye ndiye aliyefufuliwa akawa hai, na ambaye sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, naye anatuombea. 35 Ni nani atakayetutenganisha na upendo wa Kristo? Ni shida? Au taabu? Au mateso? Au njaa? Au umaskini? Au hatari? Au Kifo? Hapana. 36 Kama Maandiko yasemavyo: “Kwa aji li yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.” 37 Lakini katika mambo yote haya sisi ni washi ndi, naam, na zaidi ya washindi, tukiwa ndani yake yeye aliyetu penda. 38 Kwa maana nina hakika kuwa, si kifo wala uzima; si malaika wala mashetani; si mambo ya sasa wala mambo yajayo au mamlaka nyingineyo yote; 39 si mambo yaliyo juu wala yaliyo chi ni sana; wala hakuna kitu kingine cho chote kati ya vitu vyote alivyoumba Mungu kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu ulio ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu.
Romans 8
New Revised Standard Version, Anglicised Catholic Edition
Life in the Spirit
8 There is therefore now no condemnation for those who are in Christ Jesus. 2 For the law of the Spirit[a] of life in Christ Jesus has set you[b] free from the law of sin and of death. 3 For God has done what the law, weakened by the flesh, could not do: by sending his own Son in the likeness of sinful flesh, and to deal with sin,[c] he condemned sin in the flesh, 4 so that the just requirement of the law might be fulfilled in us, who walk not according to the flesh but according to the Spirit.[d] 5 For those who live according to the flesh set their minds on the things of the flesh, but those who live according to the Spirit[e] set their minds on the things of the Spirit.[f] 6 To set the mind on the flesh is death, but to set the mind on the Spirit[g] is life and peace. 7 For this reason the mind that is set on the flesh is hostile to God; it does not submit to God’s law—indeed it cannot, 8 and those who are in the flesh cannot please God.
9 But you are not in the flesh; you are in the Spirit,[h] since the Spirit of God dwells in you. Anyone who does not have the Spirit of Christ does not belong to him. 10 But if Christ is in you, though the body is dead because of sin, the Spirit[i] is life because of righteousness. 11 If the Spirit of him who raised Jesus from the dead dwells in you, he who raised Christ[j] from the dead will give life to your mortal bodies also through[k] his Spirit that dwells in you.
12 So then, brothers and sisters,[l] we are debtors, not to the flesh, to live according to the flesh— 13 for if you live according to the flesh, you will die; but if by the Spirit you put to death the deeds of the body, you will live. 14 For all who are led by the Spirit of God are children of God. 15 For you did not receive a spirit of slavery to fall back into fear, but you have received a spirit of adoption. When we cry, ‘Abba![m] Father!’ 16 it is that very Spirit bearing witness[n] with our spirit that we are children of God, 17 and if children, then heirs, heirs of God and joint heirs with Christ—if, in fact, we suffer with him so that we may also be glorified with him.
Future Glory
18 I consider that the sufferings of this present time are not worth comparing with the glory about to be revealed to us. 19 For the creation waits with eager longing for the revealing of the children of God; 20 for the creation was subjected to futility, not of its own will but by the will of the one who subjected it, in hope 21 that the creation itself will be set free from its bondage to decay and will obtain the freedom of the glory of the children of God. 22 We know that the whole creation has been groaning in labour pains until now; 23 and not only the creation, but we ourselves, who have the first fruits of the Spirit, groan inwardly while we wait for adoption, the redemption of our bodies. 24 For in[o] hope we were saved. Now hope that is seen is not hope. For who hopes[p] for what is seen? 25 But if we hope for what we do not see, we wait for it with patience.
26 Likewise the Spirit helps us in our weakness; for we do not know how to pray as we ought, but that very Spirit intercedes[q] with sighs too deep for words. 27 And God,[r] who searches the heart, knows what is the mind of the Spirit, because the Spirit[s] intercedes for the saints according to the will of God.[t]
28 We know that all things work together for good[u] for those who love God, who are called according to his purpose. 29 For those whom he foreknew he also predestined to be conformed to the image of his Son, in order that he might be the firstborn within a large family.[v] 30 And those whom he predestined he also called; and those whom he called he also justified; and those whom he justified he also glorified.
God’s Love in Christ Jesus
31 What then are we to say about these things? If God is for us, who is against us? 32 He who did not withhold his own Son, but gave him up for all of us, will he not with him also give us everything else? 33 Who will bring any charge against God’s elect? It is God who justifies. 34 Who is to condemn? It is Christ Jesus, who died, yes, who was raised, who is at the right hand of God, who indeed intercedes for us.[w] 35 Who will separate us from the love of Christ? Will hardship, or distress, or persecution, or famine, or nakedness, or peril, or sword? 36 As it is written,
‘For your sake we are being killed all day long;
we are accounted as sheep to be slaughtered.’
37 No, in all these things we are more than conquerors through him who loved us. 38 For I am convinced that neither death, nor life, nor angels, nor rulers, nor things present, nor things to come, nor powers, 39 nor height, nor depth, nor anything else in all creation, will be able to separate us from the love of God in Christ Jesus our Lord.
Footnotes
- Romans 8:2 Or spirit
- Romans 8:2 Here the Greek word you is singular number; other ancient authorities read me or us
- Romans 8:3 Or and as a sin-offering
- Romans 8:4 Or spirit
- Romans 8:5 Or spirit
- Romans 8:5 Or spirit
- Romans 8:6 Or spirit
- Romans 8:9 Or spirit
- Romans 8:10 Or spirit
- Romans 8:11 Other ancient authorities read the Christ or Christ Jesus or Jesus Christ
- Romans 8:11 Other ancient authorities read on account of
- Romans 8:12 Gk brothers
- Romans 8:15 Aramaic for Father
- Romans 8:16 Or 15 a spirit of adoption, by which we cry, ‘Abba! Father!’ 16 The Spirit itself bears witness
- Romans 8:24 Or by
- Romans 8:24 Other ancient authorities read awaits
- Romans 8:26 Other ancient authorities add for us
- Romans 8:27 Gk the one
- Romans 8:27 Gk he or it
- Romans 8:27 Gk according to God
- Romans 8:28 Other ancient authorities read God makes all things work together for good, or in all things God works for good
- Romans 8:29 Gk among many brothers
- Romans 8:34 Or Is it Christ Jesus . . . for us?
Римляни 8
Библия, ревизирано издание
Новият живот
8 (A)И така, сега няма никакво осъждане на тези, които са в Христос Исус, които ходят не по плът, но по Дух.
2 (B)Защото законът на животворящия Дух ме освободи в Христос Исус от закона на греха и на смъртта.
3 (C)Понеже това, което беше невъзможно за закона, поради това, че беше слаб чрез плътта, Бог го извърши, като изпрати Своя Син в плът, подобна на греховната плът, и в жертва за грях, и осъди греха в плътта,
4 (D)за да се изпълнят изискванията на закона в нас, които ходим не по плът, а по Дух.
5 (E)Защото тези, които са плътски, копнеят за плътското; а тези, които са духовни – за духовното.
6 (F)Понеже копнежът на плътта значи смърт, а копнежът на Духа значи живот и мир.
7 (G)Защото копнежът на плътта е враждебен на Бога, понеже не се покорява на Божия закон, нито пък може;
8 (H)и тези, които са плътски, не могат да угодят на Бога.
9 (I)Вие обаче не сте плътски, а духовни, ако живее във вас Божият Дух. Но ако някой няма Христовия Дух, той не е Негов.
10 Обаче ако Христос е във вас, то при все че тялото е мъртво поради греха, духът е жив поради правдата.
11 (J)И ако обитава във вас Духът на Този, Който е възкресил Исус от мъртвите, то Същият, Който възкреси Христос Исус от мъртвите, ще съживи и вашите смъртни тела чрез Духа Си, Който живее във вас.
12 (K)И така, братя, ние имаме длъжност, обаче не към плътта, за да живеем плътски.
13 (L)Защото ако живеете плътски, ще умрете; но ако чрез Духа умъртвявате порочните навици на тялото, ще живеете.
14 (M)Понеже които се управляват от Божия Дух, те са Божии синове.
15 (N)Защото не сте приели дух на робство, та пак да живеете[a] в страх, а сте приели дух на осиновение, чрез който и викаме: Авва, Отче!
16 (O)Така самият Дух свидетелства заедно с нашия дух, че сме Божии чеда.
17 (P)И ако сме деца, тогава сме и наследници – наследници на Бога и сънаследници с Христос; и ако страдаме с Него, да се и прославим заедно с Него.
Надеждата за спасение
18 (Q)Понеже смятам, че сегашните временни страдания не заслужават да се сравнят със славата, която има да се открие за нас.
19 (R)Защото творението с усърдно очакване копнее да види откриването ни като Божии синове.
20 (S)Понеже творението беше подчинено на немощ[b] не по своя воля, а чрез Този, Който го подчини,
21 с надежда, че и самото творение ще се освободи от робството на тлението и ще премине в славната свобода на Божиите деца.
22 (T)Понеже знаем, че цялото творение в съвкупност стене и се мъчи досега.
23 (U)И не само то, но и ние, които имаме първите плодове на Духа, и самите ние въздишаме в себе си и очакваме осиновението си, т. е. изкупването на нашето тяло.
24 (V)Защото с тази надежда ние се спасихме; а надежда, когато се вижда изпълнена, не е вече надежда; защото кой би се надявал за това, което вижда?
25 Но ако се надяваме за онова, което не виждаме, тогава с търпение го чакаме.
26 (W)Така също и Духът ни помага в нашата немощ – понеже не знаем да се молим както трябва; но самият Дух ходатайства в нашите неизговорими стенания;
27 (X)а Този, Който изпитва сърцата, знае какъв е умът на Духа, защото Той ходатайства за светиите по Божията воля.
28 (Y)Но знаем, че всичко съдейства за добро на тези, които обичат Бога, които са призовани според Неговото намерение.
29 (Z)Защото които предузна, тях и предопредели да бъдат съобразни с образа на Неговия Син, за да бъде Той първороден между много братя;
30 (AA)а които предопредели, тях и призова; а които призова, тях и оправда; а които оправда, тях и прослави.
Силата на Божията любов
31 (AB)И така, какво да кажем за това? Ако Бог е откъм нас, кой ще бъде против нас?
32 (AC)Онзи, Който не пожали Своя Син, но Го предаде за всички ни, как няма да ни подари заедно с Него и всичко?
33 (AD)Кой ще обвини Божиите избрани? Бог ли, Който ги оправдава?
34 (AE)Кой е онзи, който ще ги осъжда? Христос Исус ли, Който умря, а при това и беше възкресен от мъртвите, Който е от дясната страна на Бога и Който ходатайства за нас?
35 (AF)Кой ще ни отлъчи от Христовата любов? Скръб ли или утеснение, гонение или глад, голота, беда или меч?
36 (AG)Както е писано: „Убивани сме заради Тебе цял ден; смятани сме като овце за клане.“
37 (AH)Но във всичко това ставаме повече от победители чрез Този, Който ни е възлюбил.
38 (AI)Защото аз съм уверен, че нито смърт, нито живот, нито ангели, нито началства, нито сили, нито настояще, нито бъдеще,
39 нито височина, нито дълбочина, нито кое и да било друго създание ще може да ни отлъчи от Божията любов, която е в Христос Исус, нашия Господ.
Copyright © 1989 by Biblica
New Revised Standard Version Bible: Anglicised Catholic Edition, copyright © 1989, 1993, 1995 the Division of Christian Education of the National Council of the Churches of Christ in the United States of America. Used by permission. All rights reserved.
Copyright by © Българско библейско дружество 2015. Използвани с разрешение.
