Add parallel Print Page Options

10 Kaka na dada zangu, ninalotamani zaidi ni kwamba Waisraeli wote waokolewe. Hayo ndiyo maombi yangu kwa Mungu. Naweza kusema hili juu yao: Kwa hakika wana bidii sana ya kumtii Mungu, lakini hawaijui njia iliyo sahihi. Hawakuelewa kile ambacho Mungu alifanya ili kuwaokoa watu. Hivyo walijaribu kwa njia yao wenyewe kupata kibali kwa Mungu kwa kuishika sheria. Na wakakataa kuifuata njia ya Mungu ya kuwaokoa watu. Sheria ilifikia mwisho wake wakati Kristo alipolikamilisha kusudi lake. Sasa kila mtu anayeiweka imani yake kwake anahesabiwa haki mbele za Mungu.

Musa anaandika juu ya kuhesabiwa haki kwa kuifuata sheria. Anasema: “Ili kupata uzima katika sheria imempasa mtu kuzitii.”(A) Lakini Maandiko yanasema haya kuhusu kuhesabiwa haki kwa njia ya imani: “Usiyaseme haya kwako wewe mwenyewe, ‘Nani atapanda kwenda mbinguni?’” (Hii inamaanisha “Nani atapanda mbinguni kumchukua Kristo na kumleta chini duniani?”) “Na usiseme, ‘Nani atashuka hadi ulimwengu uliopo chini huko?’” (Hii inamaanisha “Nani atashuka chini na kumchukua Kristo na kumfufua kutoka mauti?”)

Hivi ndivyo Maandiko yanavyosema: “Mafundisho ya Mungu yako karibu nawe; yako katika kinywa chako na katika moyo wako.”(B) Ni mafundisho ya imani tunayowaambia watu. Ukikiri wazi kwa kinywa chako, kwamba “Yesu ni Bwana” na kuamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua kutoka mauti, utaokolewa. 10 Ndiyo, tunamwamini Yesu mioyoni mwetu, na Mungu hutukubali kuwa wenye haki. Na tunakiri wazi wazi kwa vinywa vyetu kwamba tunamwamini Mungu na yeye anatuokoa.

11 Ndiyo, Maandiko yanasema, “Yeyote anayemwamini hataaibika.”(C) 12 Yanasema hivi kwa sababu hakuna tofauti kati ya Wayahudi na wasio Wayahudi. Bwana yule yule ndiye Bwana wa watu wote. Naye humbariki sana kila amwombaye akitaka msaada. 13 Ndiyo, “kila mtu anayemwita Bwana[a] ili kupata msaada, ataokolewa.”[b]

14 Lakini watu watawezaje kumwita Bwana na kupata msaada wake ikiwa hawamwamini yeye? Na watawezaje kumwamini Bwana ikiwa hawajawahi kuzisikia habari zake? Na watawezaje kuzisikia habari zake ikiwa hayupo mtu wa kuwaambia? 15 Na mtu atawezaje kwenda na kuwaambia habari hizo ikiwa hajatumwa? Haya, hii ndiyo sababu Maandiko yanasema, “Ni jambo la kufurahisha kumwona mtu anayepeleka Habari Njema!”(D)

16 Lakini si watu wote walizipokea Habari Njema hizo. Na hii ndiyo sababu Isaya alisema, “Bwana, nani aliyeamini yale tuliyowaeleza?”(E) 17 Kwa hiyo imani hupatikana kutokana na kusikia Habari Njema. Na watu husikia Habari Njema wakati mtu anapowaeleza kuhusu Kristo.

18 Lakini nauliza, “Je, watu hao walizisikia Habari Njema?” Ndio Kwa kweli walizisikia kama Maandiko yanavyosema,

“Sauti zao zilitoka na kuenea duniani kote.
    Maneno yao yakaenda kila mahali ulimwenguni.”(F)

19 Lakini tena nauliza, “Je, watu wa Israeli hawakuelewa?” Ndiyo, walielewa. Musa alikuwa wa kwanza kujibu swali hili. Na anasema haya kwa ajili ya Mungu:

“Nitawatumia wale ambao siyo Taifa halisi ili liwafanye muone wivu.
    Nitalitumia taifa ambalo halielewi ili mkasirike.”(G)

20 Kisha Isaya ana ujasiri wa kutosha kusema haya kwa ajili ya Mungu:

“Watu walionipata mimi hawakuwa wakinitafuta.
    Nilijitambulisha kwa watu ambao hawakuwa wakinitafuta.”(H)

21 Lakini kuhusu watu wa Israeli Mungu anasema,

“Kutwa nzima nilisimama nikiwa tayari kuwakubali watu hawa,
    lakini ni wakaidi na wamekataa kunitii.”(I)

Footnotes

  1. 10:13 anayemwita Bwana Kihalisia, “anayeliita jina la Bwana”, ikimaanisha kuonesha imani katika yeye kwa kumwabudu au kumwomba yeye msaada.
  2. 10:13 Yoe 2:32. Tazama pia Kut 2:23-25.

Righteousness by Faith Alone

10 Brothers, my heart’s desire and prayer to God concerning them[a] is for their salvation! I can testify about them that they have zeal for God,(A) but not according to knowledge. Because they disregarded the righteousness from God(B) and attempted to establish their own righteousness, they have not submitted themselves to God’s righteousness. For Christ is the end[b] of the law for righteousness(C) to everyone who believes.(D) For Moses writes about the righteousness that is from the law: The one who does these things will live by them.(E)[c] But the righteousness that comes from faith(F) speaks like this: Do not say in your heart, “Who will go up to heaven?”(G)[d] that is, to bring Christ down or, “Who will go down into the abyss?”(H)[e] that is, to bring Christ up from the dead.(I) On the contrary, what does it say? The message is near you, in your mouth and in your heart.(J)[f] This is the message of faith that we proclaim: If you confess with your mouth, “Jesus is Lord,”(K) and believe in your heart(L) that God raised Him from the dead,(M) you will be saved. 10 One believes with the heart, resulting in righteousness, and one confesses with the mouth, resulting in salvation. 11 Now the Scripture says, Everyone who believes on Him will not be put to shame,(N)[g] 12 for there is no distinction between Jew and Greek,(O) since the same Lord(P) of all(Q) is rich to all who call on Him. 13 For everyone who calls on the name of the Lord will be saved.(R)[h]

Israel’s Rejection of the Message

14 But how can they call on Him they have not believed in? And how can they believe without hearing about Him?(S) And how can they hear without a preacher?(T) 15 And how can they preach unless they are sent? As it is written: How beautiful[i] are the feet of those[j] who announce the gospel of good things!(U)[k] 16 But all did not obey the gospel.(V) For Isaiah says, Lord, who has believed our message?(W)[l] 17 So faith comes from what is heard,(X) and what is heard comes through the message about Christ.[m](Y) 18 But I ask, “Did they not hear?” Yes, they did:

Their voice has gone out to all the earth,
and their words to the ends of the inhabited world.(Z)[n]

19 But I ask, “Did Israel not understand?” First, Moses said:

I will make you jealous
of those who are not a nation;(AA)
I will make you angry by a nation
that lacks understanding.(AB)[o]

20 And Isaiah says boldly:

I was found
by those who were not looking for Me;
I revealed Myself
to those who were not asking for Me.(AC)[p]

21 But to Israel he says: All day long I have spread out My hands to a disobedient and defiant people.(AD)[q]

10 Brothers and sisters, my heart’s desire(A) and prayer to God for the Israelites is that they may be saved. For I can testify about them that they are zealous(B) for God, but their zeal is not based on knowledge. Since they did not know the righteousness of God and sought to establish their own, they did not submit to God’s righteousness.(C) Christ is the culmination of the law(D) so that there may be righteousness for everyone who believes.(E)

Moses writes this about the righteousness that is by the law: “The person who does these things will live by them.”[a](F) But the righteousness that is by faith(G) says: “Do not say in your heart, ‘Who will ascend into heaven?’”[b](H) (that is, to bring Christ down) “or ‘Who will descend into the deep?’”[c](I) (that is, to bring Christ up from the dead).(J) But what does it say? “The word is near you; it is in your mouth and in your heart,”[d](K) that is, the message concerning faith that we proclaim: If you declare(L) with your mouth, “Jesus is Lord,”(M) and believe(N) in your heart that God raised him from the dead,(O) you will be saved.(P) 10 For it is with your heart that you believe and are justified, and it is with your mouth that you profess your faith and are saved. 11 As Scripture says, “Anyone who believes in him will never be put to shame.”[e](Q) 12 For there is no difference between Jew and Gentile(R)—the same Lord is Lord of all(S) and richly blesses all who call on him, 13 for, “Everyone who calls on the name of the Lord(T) will be saved.”[f](U)

14 How, then, can they call on the one they have not believed in? And how can they believe in the one of whom they have not heard? And how can they hear without someone preaching to them? 15 And how can anyone preach unless they are sent? As it is written: “How beautiful are the feet of those who bring good news!”[g](V)

16 But not all the Israelites accepted the good news.(W) For Isaiah says, “Lord, who has believed our message?”[h](X) 17 Consequently, faith comes from hearing the message,(Y) and the message is heard through the word about Christ.(Z) 18 But I ask: Did they not hear? Of course they did:

“Their voice has gone out into all the earth,
    their words to the ends of the world.”[i](AA)

19 Again I ask: Did Israel not understand? First, Moses says,

“I will make you envious(AB) by those who are not a nation;
    I will make you angry by a nation that has no understanding.”[j](AC)

20 And Isaiah boldly says,

“I was found by those who did not seek me;
    I revealed myself to those who did not ask for me.”[k](AD)

21 But concerning Israel he says,

“All day long I have held out my hands
    to a disobedient and obstinate people.”[l](AE)

Footnotes

  1. Romans 10:5 Lev. 18:5
  2. Romans 10:6 Deut. 30:12
  3. Romans 10:7 Deut. 30:13
  4. Romans 10:8 Deut. 30:14
  5. Romans 10:11 Isaiah 28:16 (see Septuagint)
  6. Romans 10:13 Joel 2:32
  7. Romans 10:15 Isaiah 52:7
  8. Romans 10:16 Isaiah 53:1
  9. Romans 10:18 Psalm 19:4
  10. Romans 10:19 Deut. 32:21
  11. Romans 10:20 Isaiah 65:1
  12. Romans 10:21 Isaiah 65:2