Font Size
Wagalatia 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Wagalatia 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu. 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumili vu, wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi. Hakuna sheria inayopinga mambo kama haya.
Read full chapter
Wagalatia 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Wagalatia 5:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu. 22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumili vu, wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi. Hakuna sheria inayopinga mambo kama haya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica