Font Size
Tito 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Tito 1:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Ninakuandikia wewe Tito, mwanangu halisi katika imani tunayoshiriki pamoja. Ninakutakia neema na amani kutoka kwa Mungu
Kazi Ya Tito Kule Krete
5 Nilikuacha huko Krete kusudi urekebishe mambo yote yal iokuwa hayakunyooka na uchague wazee wa kanisa katika kila mji, kama nilivyokuagiza. 6 Mzee wa kanisa asiwe na lawama yo yote; awe mume wa mke mmoja; awe ni mtu ambaye watoto wake ni waamini na wala sio jeuri au wasiotii.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica