Font Size
                  
                
              
            
Mathayo 10:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:30-32
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
30 Mungu anafahamu idadi ya nywele katika vichwa vyenu. 31 Hivyo msiogope. Mna thamani kuliko kundi kubwa la ndege.
Msiionee Haya Imani Yenu
(Lk 12:8-9)
32 Iwapo mtawaambia watu wengine kuwa mnaniamini, nitamwambia Baba yangu aliye mbinguni kuwa ninyi ni wangu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International