Font Size
Luka 12:8-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 12:8-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Msiionee Haya Imani Yenu
(Mt 10:32-33; 12:32; 10:19-20)
8 Ninawaambia, mkinikiri mbele za watu, ndipo nami[a] nitakiri kuwa ninyi ni wangu mbele za Mungu na malaika. 9 Na atakayenikataa mimi mbele za watu, nami nitamkataa mbele za Mungu na malaika.
Read full chapterFootnotes
- 12:8 nami Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Mtu” (Yesu Kristo).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International