Add parallel Print Page Options

Petro na Kornelio

10 Kulikuwa mtu aliyeitwa Kornelio katika mji wa Kaisaria. Mtu huyu alikuwa ofisa wa kikosi kilichoitwa “Kikosi cha Kiitalia” katika jeshi la Rumi. Alikuwa mcha Mungu. Yeye na watu wengine wote walioishi katika nyumba yake walikuwa wanamwabudu Mungu wa kweli. Alitoa pesa zake nyingi kuwasaidia maskini miongoni mwa Wayahudi na daima alimwomba Mungu kwa kufuata utaratibu kama ilivyokuwa. Mchana mmoja yapata saa tisa, kwa uwazi na dhahiri Kornelio aliona maono. Alimwona malaika kutoka kwa Mungu akimwendea na akamwambia, “Kornelio!”

Akiwa anashangaa na kuogopa, Kornelio akasema, “Unataka nini, bwana?”

Malaika akamwambia, “Mungu amesikia maombi yako na ameona sadaka zako unazowapa maskini. Anakukumbuka kwa yote uliyotenda. Tuma baadhi ya watu sasa waende katika mji wa Yafa wakamlete mtu anayeitwa Simoni, ambaye pia anaitwa Petro. Anakaa kwa mtu ambaye naye pia anaitwa Simoni, mtengenezaji wa ngozi ambaye nyumba yake iko kwenye ufukwe wa bahari.” Malaika aliyeongea na Kornelio akaondoka. Ndipo Kornelio aliita watumishi wake wawili na askari mmoja. Askari alikuwa mcha Mungu, mmoja wa wasaidizi wake wa karibu. Kornelio akawaelekeza kila kitu watu hawa watatu kisha akawatuma kwenda Yafa.

Siku iliyofuata wakati wa adhuhuri walipokuwa wanaukaribia mji wa Yafa, Petro alipanda juu ya paa[a] kuomba. 10 Alihisi njaa na akataka chakula. Lakini walipokuwa wanamwandalia chakula ili ale, aliona maono. 11 Aliona mbingu zikifunguka na kitu kama shuka kubwa kikishushwa chini kutoka mbinguni kwa pembe nne. 12 Ndani yake mlikuwa aina zote za wanyama, watambaao na ndege. 13 Kisha sauti ikamwambia, “Petro simama uchinje chochote hapa kisha ule.”

14 Lakini Petro akasema, “Siwezi kufanya hivyo, Bwana! Sijawahi kula kitu chochote kisicho safi au kisicho stahili kutumiwa kwa chakula.”

15 Lakini sauti ikamwambia tena, “Mungu amekwisha vitakasa vitu vyote hivi. Usiseme havistahili kuliwa.” 16 Hili lilimtokea mara tatu. Kisha likachukuliwa mbinguni. 17 Petro alijiuliza maono haya yalikuwa na maana gani.

Watu ambao Kornelio aliwatuma walishaiona nyumba ya Simoni na walikuwa wamesimama mlangoni. 18 Waliuliza, “Je, Simoni Petro yuko hapa?”

19 Petro akiwa bado anafikiri kuhusu maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Sikiliza, kuna watu watatu wanakutafuta. 20 Inuka na ushuke chini. Nenda nao, usisite, kwa sababu nimewatuma.” 21 Hivyo Petro akashuka chini na kuwaambia, “Nafikiri mimi ndiye mnayemtafuta. Kwa nini mmekuja hapa?”

22 Wale watu wakasema, “Malaika mtakatifu amemwambia Kornelio akualike nyumbani mwake. Ni mtu mwema na hutenda kwa haki, na anamwabudu Mungu na Wayahudi wote wanamheshimu. Malaika alimwambia akualike nyumbani kwake ili asikilize yale utakayosema.” 23 Petro akawakaribisha ndani watu wale ili walale usiku huo.

Siku iliyofuata Petro alijiandaa na kuondoka na wale watu watatu. Baadhi ya waamini katika mji wa Yafa walikwenda pamoja naye. 24 Siku iliyofuata walifika katika mji wa Kaisaria. Kornelio alikuwa anawasubiri na alikuwa amewakusanya jamaa na rafiki zake wa karibu nyumbani mwake.

25 Petro alipoingia ndani ya nyumba, Kornelio alimlaki kisha akaanguka miguuni kwa Petro na akamwabudu. 26 Lakini Petro akamwambia asimame. Petro akasema, “Simama! Mimi ni mtu tu kama wewe.” 27 Petro aliendelea kuzungumza na Kornelio. Ndipo Petro akaingia ndani na kuona kundi kubwa la watu wamekusanyika pale.

28 Petro akawaambia watu wale kuwa, “Mnaelewa kuwa ni kinyume na sheria yetu kwa Myahudi kushirikiana au kumtembelea mtu ambaye si Myahudi. Lakini Mungu amenionyesha kuwa nisimchukulie mtu yeyote kuwa yu kinyume na desturi za Kiyahudi. 29 Ndiyo sababu sikubisha watu wenu waliponiambia kuja hapa. Sasa, tafadhali niambieni kwa nini mmeniita hapa.”

30 Kornelio akasema, “Siku nne zilizopita, kama saa tisa mchana nilikuwa ninaomba ndani ya nyumba yangu. Ghafla akawepo mtu mmoja amesimama mbele yangu amevaa mavazi meupe yanayong'aa. 31 Akasema, ‘Kornelio, Mungu amesikia maombi yako na ameona sadaka zako kwa maskini. Anakukumbuka wewe na yote uliyofanya. 32 Hivyo tuma baadhi ya watu kwenye mji wa Yafa na wamwambie Simoni Petro kuja. Anakaa na mtu mwingine anayeitwa Simoni, mtengenezaji wa ngozi ambaye nyumba yake iko pembeni mwa bahari.’ 33 Hivyo nikawatuma kwako haraka. Imekuwa vizuri sana umekuja hapa. Sasa sote tupo hapa mbele za Mungu na tuko tayari kusikia kila kitu ambacho Bwana amekwamuru utuambie.”

Petro Ahubiri Katika nyumba ya Kornelio

34 Petro akaanza kwa kusema: “Hakika sasa ninaelewa ni kwa nini Mungu hawachukulii kundi fulani la watu kuwa bora kuliko wengine. 35 Anamkubali yeyote anayemwabudu na anayetenda haki. Haijalishi wanatoka katika taifa lipi. 36 Mungu amezungumza na watu wa Israeli. Aliwaletea Habari Njema kwamba amani imekuja kupitia Yesu Kristo ambaye ndiye Bwana wa watu wote.

37 Mnafahanu kilichotokea katika Uyahudi yote. Kilianzia Galilaya baada ya Yohana kuwaambia watu kuwa inawapasa kubatizwa. 38 Mnajua kuhusu Yesu kutoka Nazareti. Mungu alimfanya Masihi kwa kumpa Roho Mtakatifu na nguvu. Yesu alikwenda kila mahali akiwatendea mema watu. Akawaponya wale waliokuwa wakitawaliwa na yule Mwovu, akionyesha kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.

39 Tuliona yote ambayo Yesu alitenda katika Uyahudi na katika mji wa Yerusalemu. Lakini aliuawa. Walimpigilia kwenye msalaba uliotengenezwa kwa mti. 40 Lakini siku ya tatu baada ya kifo chake, Mungu alimfufua na kumfanya aonekane wazi wazi. 41 Hakuonekana kwa Wayahudi wote, lakini alionekana kwetu sisi tu, ambao Mungu tayari alikwisha kutuchagua tuwe mashahidi. Tulikula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuliwa kutoka kwa wafu.

42 Yesu alitwambia twende na kuwaeleza watu. Alituagiza tuwaeleza kwamba yeye ndiye ambaye Mungu amemchagua kuwa mwamuzi wa wote walio hai na wote walio kufa. 43 Na ya kwamba kila atakayemwamini Yesu, atasamehewa dhambi zake kupitia nguvu jina Lake. Manabii wote wanakubali kuwa jambo hili ni la kweli.”

Roho Mtakatifu Awashukia Watu Wasio Wayahudi

44 Petro alipokuwa bado anazungumza, Roho Mtakatifu aliwashukia wote waliokuwa wanamsikiliza. 45 Waamini wa Kiyahudi waliofuatana na Petro walishangaa kwamba Roho Mtakatifu amemiminwa kama zawadi hata kwa watu wasio Wayahudi. 46 Waliwasikia wakiongea lugha mbalimbali na kumsifu Mungu. Ndipo Petro akasema, 47 “Je, mtu yeyote anawezaje kuzuia watu hawa wasibatizwe katika maji? Wamempokea Roho Mtakatifu kama sisi tulivyompokea!” 48 Hivyo Petro akawaambia wambatize Kornelio pamoja na jamaa zake na rafiki zake katika jina la Yesu Kristo. Kisha wakamwomba Petro akae nao kwa siku chache.

Footnotes

  1. 10:9 paa Nyakati za Biblia, nyumba zilikuwa na paa zilizosawa kama sakafu, zilizotumika kama vyumba vya ziada au sehemu za kufanyia mazungumzo.

Петър и стотникът Корнилий

10 Имаше в Цезарея един човек на име Корнилий, стотник от така наречения Италийски полк.

(A)Той беше благочестив и се боеше от Бога с целия си дом, раздаваше много милостини на хората и непрестанно се молеше на Бога.

(B)Около деветия час през деня той видя ясно във видение един ангел от Бога, който влезе при него и му каза: Корнилий!

А Той, като се взря в него, уплашен каза: Какво има, Господи? И ангелът му каза: Твоите молитви и твоите милостини се издигнаха пред Бога за спомен.

И сега изпрати човеци в Йопия да повикат Симон, когото наричат още Петър.

(C)Той гостува у един кожар Симон, чиято къща е край морето, той ще ти каже какво трябва да правиш.

И като си отиде ангелът, който му говореше, той повика двама от слугите си и един благочестив войник от тези, които редовно му служеха;

и като им разказа всичко, прати ги в Йопия.

(D)А на следващия ден, когато те пътуваха и наближаваха града, около шестия час Петър се качи на покрива на къщата да се помоли.

10 И като огладня, поиска да яде; но докато приготвяха, той се отнесе духом

11 (E)и видя небето отворено и някакъв съд да слиза като голямо платнище, спускано за четирите краища към земята.

12 (F)В него имаше всякакви земни четирикраки, зверове и небесни птици.

13 И дойде глас към него: Стани, Петре, заколи и яж.

14 (G)А Петър каза: В никакъв случай, Господи, защото никога не съм ял нищо мръсно и нечисто.

15 (H)И пак дойде към него втори път глас: Което Бог е очистил, ти не го смятай за мръсно.

16 И това стана три пъти, след което съдът се вдигна веднага на небето.

17 А докато Петър беше в недоумение какво значеше видението, което бе видял, ето, изпратените от Корнилий човеци, като бяха разпитали за Симоновата къща, застанаха пред вратата

18 и като повикаха отвън, попитаха: Тук ли гостува Симон, когото наричат Петър?

19 (I)И докато Петър още размишляваше за видението, Духът му каза: Ето, трима човека те търсят.

20 (J)Стани, слез и иди с тях; и никак не се съмнявай, защото Аз съм ги изпратил.

21 И така, Петър слезе при човеците и каза: Ето, аз съм онзи, когото търсите. Защо дойдохте?

22 (K)А те казаха: Стотникът Корнилий, човек праведен и който се бои от Бога и е с добро име между целия юдейски народ, бе уведомен от Бога чрез един свят ангел да те повика в своя дом и да чуе думи от тебе.

23 (L)Тогава той ги покани вътре и ги нагости. И на сутринта той стана и излезе с тях; а някои от братята от Йопия го придружиха.

24 И на другия ден влязоха в Цезарея; а Корнилий ги чакаше, като беше свикал роднините си и близките си приятели.

25 И когато Петър влезе, Корнилий го посрещна, падна пред него и се поклони.

26 (M)А Петър го вдигна, като каза: Стани; и аз самият съм човек.

27 И като разговаряше с него, той влезе и намери мнозина събрани.

28 (N)И им каза: Вие знаете колко е незаконно за юдеин да се събира или да дружи с другоплеменник; Бог обаче ми показа, че не бива да наричам никого мръсен или нечист.

29 Затова, щом ме повикахте, дойдох, без да възразявам; и така, питам ви, защо ме повикахте?

30 (O)И Корнилий каза: Преди четири дни прекарвах деветия час в молитва у дома; и ето, пред мене застана човек със светло облекло, който каза:

31 (P)Корнилий, твоята молитва е чута и твоите милостини се помнят пред Бога.

32 А сега, прати в Йопия да повикат Симон, когото наричат Петър; той гостува в дома на един кожар Симон край морето, той, като дойде, ще ти говори.

33 И така, начаса пратих до теб и ти си направил добре, че дойде. И така, ние всички присъстваме тук пред Бога, за да чуем всичко, което ти е заповядано от Господа.

Проповедта на Петър в дома на Корнилий

34 (Q)А Петър отвори уста и каза: Наистина, виждам, че Бог не гледа на лице;

35 (R)но във всеки народ онзи, който се бои от Него и върши правото, Му е угоден.

36 (S)Словото, което Той изпрати на израилтяните и им благовестяваше мир чрез Исус Христос (Който е Господар на всички),

37 (T)това слово вие знаете, което след кръщението, проповядвано от Йоан, се разпространи по цяла Юдея, като започна от Галилея;

38 (U)как Бог помаза със Святия Дух и със сила Исус от Назарет, Който обикаляше да прави благодеяния и да изцелява всички угнетявани от дявола; защото Бог беше с Него.

39 (V)И ние сме свидетели на всичко, което извърши Той и в Юдейската земя, и в Йерусалим; Когото те убиха, като Го повесиха на дърво.

40 (W)Него Бог възкреси на третия ден и Му даде да се яви

41 (X)не на целия народ, а на нас – предварително избраните от Бога свидетели, които ядохме и пихме с Него, след като възкръсна от мъртвите.

42 (Y)И ни заповяда да проповядваме на народа и да свидетелстваме, че Той е определеният от Бога Съдия на живите и мъртвите.

43 (Z)За Него свидетелстват всички пророци, че всеки, който повярва в Него, ще получи чрез Неговото име прощение на греховете си.

Езичници приемат Святия Дух

44 (AA)Докато Петър още говореше тези думи, Святият Дух слезе на всички, които слушаха словото.

45 (AB)И обрязаните вярващи, които бяха дошли с Петър, се смаяха, че дарът на Святия Дух се изля и на езичниците,

46 (AC)защото ги чуваха да говорят чужди езици и да величаят Бога. Тогава Петър проговори:

47 (AD)Може ли някой да забрани водата, за да не се кръстят тези, които приеха Святия Дух, както и ние?

48 (AE)И заповяда да бъдат кръстени в името на Исус Христос. Тогава му се примолиха да остане няколко дни у тях.

Cornelius Calls for Peter

10 At Caesarea(A) there was a man named Cornelius, a centurion in what was known as the Italian Regiment. He and all his family were devout and God-fearing;(B) he gave generously to those in need and prayed to God regularly. One day at about three in the afternoon(C) he had a vision.(D) He distinctly saw an angel(E) of God, who came to him and said, “Cornelius!”

Cornelius stared at him in fear. “What is it, Lord?” he asked.

The angel answered, “Your prayers and gifts to the poor have come up as a memorial offering(F) before God.(G) Now send men to Joppa(H) to bring back a man named Simon who is called Peter. He is staying with Simon the tanner,(I) whose house is by the sea.”

When the angel who spoke to him had gone, Cornelius called two of his servants and a devout soldier who was one of his attendants. He told them everything that had happened and sent them to Joppa.(J)

Peter’s Vision(K)

About noon the following day as they were on their journey and approaching the city, Peter went up on the roof(L) to pray. 10 He became hungry and wanted something to eat, and while the meal was being prepared, he fell into a trance.(M) 11 He saw heaven opened(N) and something like a large sheet being let down to earth by its four corners. 12 It contained all kinds of four-footed animals, as well as reptiles and birds. 13 Then a voice told him, “Get up, Peter. Kill and eat.”

14 “Surely not, Lord!”(O) Peter replied. “I have never eaten anything impure or unclean.”(P)

15 The voice spoke to him a second time, “Do not call anything impure that God has made clean.”(Q)

16 This happened three times, and immediately the sheet was taken back to heaven.

17 While Peter was wondering about the meaning of the vision,(R) the men sent by Cornelius(S) found out where Simon’s house was and stopped at the gate. 18 They called out, asking if Simon who was known as Peter was staying there.

19 While Peter was still thinking about the vision,(T) the Spirit said(U) to him, “Simon, three[a] men are looking for you. 20 So get up and go downstairs. Do not hesitate to go with them, for I have sent them.”(V)

21 Peter went down and said to the men, “I’m the one you’re looking for. Why have you come?”

22 The men replied, “We have come from Cornelius the centurion. He is a righteous and God-fearing man,(W) who is respected by all the Jewish people. A holy angel told him to ask you to come to his house so that he could hear what you have to say.”(X) 23 Then Peter invited the men into the house to be his guests.

Peter at Cornelius’s House

The next day Peter started out with them, and some of the believers(Y) from Joppa went along.(Z) 24 The following day he arrived in Caesarea.(AA) Cornelius was expecting them and had called together his relatives and close friends. 25 As Peter entered the house, Cornelius met him and fell at his feet in reverence. 26 But Peter made him get up. “Stand up,” he said, “I am only a man myself.”(AB)

27 While talking with him, Peter went inside and found a large gathering of people.(AC) 28 He said to them: “You are well aware that it is against our law for a Jew to associate with or visit a Gentile.(AD) But God has shown me that I should not call anyone impure or unclean.(AE) 29 So when I was sent for, I came without raising any objection. May I ask why you sent for me?”

30 Cornelius answered: “Three days ago I was in my house praying at this hour, at three in the afternoon. Suddenly a man in shining clothes(AF) stood before me 31 and said, ‘Cornelius, God has heard your prayer and remembered your gifts to the poor. 32 Send to Joppa for Simon who is called Peter. He is a guest in the home of Simon the tanner, who lives by the sea.’ 33 So I sent for you immediately, and it was good of you to come. Now we are all here in the presence of God to listen to everything the Lord has commanded you to tell us.”

34 Then Peter began to speak: “I now realize how true it is that God does not show favoritism(AG) 35 but accepts from every nation the one who fears him and does what is right.(AH) 36 You know the message(AI) God sent to the people of Israel, announcing the good news(AJ) of peace(AK) through Jesus Christ, who is Lord of all.(AL) 37 You know what has happened throughout the province of Judea, beginning in Galilee after the baptism that John preached— 38 how God anointed(AM) Jesus of Nazareth with the Holy Spirit and power, and how he went around doing good and healing(AN) all who were under the power of the devil, because God was with him.(AO)

39 “We are witnesses(AP) of everything he did in the country of the Jews and in Jerusalem. They killed him by hanging him on a cross,(AQ) 40 but God raised him from the dead(AR) on the third day and caused him to be seen. 41 He was not seen by all the people,(AS) but by witnesses whom God had already chosen—by us who ate(AT) and drank with him after he rose from the dead. 42 He commanded us to preach to the people(AU) and to testify that he is the one whom God appointed as judge of the living and the dead.(AV) 43 All the prophets testify about him(AW) that everyone(AX) who believes(AY) in him receives forgiveness of sins through his name.”(AZ)

44 While Peter was still speaking these words, the Holy Spirit came on(BA) all who heard the message. 45 The circumcised believers who had come with Peter(BB) were astonished that the gift of the Holy Spirit had been poured out(BC) even on Gentiles.(BD) 46 For they heard them speaking in tongues[b](BE) and praising God.

Then Peter said, 47 “Surely no one can stand in the way of their being baptized with water.(BF) They have received the Holy Spirit just as we have.”(BG) 48 So he ordered that they be baptized in the name of Jesus Christ.(BH) Then they asked Peter to stay with them for a few days.

Footnotes

  1. Acts 10:19 One early manuscript two; other manuscripts do not have the number.
  2. Acts 10:46 Or other languages