Font Size
Marko 16:12-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 16:12-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Baada ya hayo, Yesu kwa namna tofauti akawatokea wanafunzi wake wawili walipokuwa wakitembea kuelekea mashambani. 13 Hawa kisha walirudi na wakawasimulia wengine wote, lakini nao hawakuwaamini.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International