Lucas 12
Ang Pulong Sang Dios
Mag-andam sa mga Tawo nga Pakita-kita lang ang Ila Ginahimo(A)
12 Sang nagdugok ang linibo-libo nga mga tawo kay Jesus kag nagaginutok sila, nagsiling si Jesus sa iya mga sumulunod, “Mag-andam kamo, kay basi malatnan kamo sang batasan[a] sang mga Pariseo nga puro pakita-kita lang. 2 Pero wala sing tinago nga indi mahibaluan sa ulihi. 3 Gani, bisan ano ang inyo ginahambal sa madulom, mabatian sa masanag, kag ang inyo ginahutik sa sirado nga kuwarto, mahibaluan sang tanan.”
Ang Dapat Kahadlukan(B)
4 “Mga abyan, indi kamo magkahadlok sa mga tawo nga makapatay lang sang inyo lawas, kag pagkatapos wala na sila sing mahimo pa sa inyo. 5 Sugiran ko kamo kon sin-o ang inyo kahadlukan: kahadlukan ninyo ang Dios, kay pagkatapos nga mapatay niya ang lawas sang tawo may gahom pa gid siya sa paghaboy sang iya kalag sa impyerno. Amo gani nga ginapaandaman ko kamo nga ang Dios dapat ninyo kahadlukan. 6 Indi bala nga barato lang ang pispis nga maya? Pero wala sing isa sa ila nga ginakalimtan sang Dios. 7 Gani labi pa gid kamo, kay bisan ang inyo mga buhok naisip niya tanan. Gani indi kamo magkahadlok, kay mas mahal pa kamo sang sa madamo nga mga maya.”
Ang Pagkilala kay Jesus(C)
8 Nagsiling pa gid si Jesus sa ila, “Ang bisan sin-o nga nagakilala sa akon sa atubangan sang mga tawo nga ako iya Ginoo, ako nga Anak sang Tawo magakilala man sa iya sa atubangan sang mga anghel sang Dios. 9 Pero ang wala nagakilala sa akon sa atubangan sang mga tawo, indi ko man pagkilalahon sa atubangan sang mga anghel sang Dios. 10 Ang bisan sin-o nga maghambal sing malain kontra sa akon nga Anak sang Tawo mapatawad; pero ang maghambal sing malain kontra sa Espiritu Santo indi gid mapatawad.
11 “Kon tungod sa inyo pagtuo pagadal-on kamo sa simbahan sang mga Judio ukon sa mga manugdumala sang banwa agod imbistigaron, indi kamo magpalibog kon ano ang inyo isabat. 12 Kay sa sina nga tion tudluan kamo sang Espiritu Santo kon ano ang inyo dapat ihambal.”
Ang Paanggid Parte sa Manggaranon nga Nagsalig sa Iya Manggad
13 May tawo didto nga nagsiling, “Manunudlo, silinga ang akon magulang nga lalaki nga partihan niya ako sang amon palanublion.” 14 Nagsiling si Jesus sa iya, “Ano ako, huwis ukon manugpartida sang inyo pagkabutang?” 15 Dayon naghambal si Jesus sa mga tawo, “Mag-andam kamo sa tanan nga klase sang pagkamainangkunon, kay ang matuod nga pagkabuhi wala nagadepende sa madamo nga manggad.” 16 Kag ginsugiran niya sila sang isa ka paanggid, “May isa ka tawo nga manggaranon nga may duta nga madamo gid ang patubas. 17 Gani nagsiling siya sa iya kaugalingon, ‘Ano ang akon himuon? Wala na ako butangan sang akon patubas! 18 Maayo pa siguro nga ipaguba ko ang akon mga bodega kag ipatindog ang mas dako pa gid, kag dira ko ibutang ang akon mga patubas kag mga pagkabutang. 19 Kag tungod kay madamo na ang akon natipon para sa palaabuton nga mga tinuig, mapahuway-huway lang ako anay, magkaon, mag-inom, kag magpangalipay!’ 20 Pero nagsiling ang Dios sa iya, ‘Buang-buang! Karon nga gab-i bawion ko sa imo ang imo kabuhi. Ti sin-o ang magapulos sang imo gintipon nga manggad?’ 21 Amo man ina ang matabo sa tawo nga nagatipon sang manggad para lang sa iya kaugalingon pero pobre sa atubangan sang Dios.”
Magsalig sa Dios(D)
22 Dayon nagsiling si Jesus sa iya mga sumulunod, “Gani nagasiling ako sa inyo nga indi kamo magpalibog sa inyo pagpangabuhi, kon ano ang inyo kaunon kag kon ano ang inyo bayuon. 23 Kay kon ginhatagan kamo sang Dios sang kabuhi kag lawas, indi mahimo nga indi niya kamo paghatagan sing pagkaon kag bayo. 24 Tan-awa ninyo ang mga uwak: wala sila nagatanom, wala nagaani, kag wala sila sang bodega nga ginatipunan sang ila pagkaon, pero ginapakaon sila sang Dios. Indi bala mas labaw pa kamo sang sa mga pispis? 25 Sin-o sa inyo ang makapalawig sang inyo kabuhi bisan diutay lang paagi sa inyo pagpalibog? Wala gid! 26 Gani, tungod nga wala man kamo sang may mahimo sa pagpalawig sang inyo kabuhi, ngaa magpalibog pa gid kamo sang iban nga mga butang? 27 Talupangda ninyo kon paano nagatubo ang mga bulak; wala sila nagapangabudlay ukon nagahimo sang ila bayo. Ang matuod, bisan ang bantog kag manggaranon nga hari nga si Solomon, ang iya mga bayo indi makatupong sa katahom sang bisan isa lang sa sini nga mga bulak. 28 Kon ginapatahom sang Dios ang mga hilamon nga buhi subong, pero sa ulihi malaya kag tutdan man lang, indi bala nga mas labi pa gid nga pabayuan niya kamo? Kadiutay sang inyo pagtuo! 29 Indi kamo magpalibog kon ano ang inyo kaunon kag imnon. 30 Amo ina ang ginapalibugan sang mga tawo nga wala nakakilala sa Dios. Pero nakahibalo ang inyo Amay sa langit nga kinahanglan ninyo ina nga mga butang. 31 Gani unaha ninyo ang pagpasakop sa paghari sang Dios kag ihatag gid niya ang inyo mga kinahanglanon.”
Mga Manggad sa Langit(E)
32 “Kamo nga nagasunod sa akon pila lang gid,[b] pero indi kamo magkahadlok kay ginbuot sang inyo Amay nga paharion kamo sa iya ginharian. 33 Ibaligya ninyo ang inyo pagkabutang, kag ihatag ang kuwarta sa mga imol agod makatipon kamo sang manggad didto sa langit. Ini indi gid mabuhinan ukon madunot, tungod nga wala didto sing makawat nga makapalapit kag wala man sing mga sapat-sapat nga makaut-ot. 34 Kay kon diin ang inyo manggad didto man ang inyo tagipusuon.”
Ang Masaligan nga mga Suluguon
35-36 Nagsiling pa gid si Jesus sa ila, “Magpreparar kamo sa tanan nga tion agod indi kamo makibot sa pagbalik sang inyo Ginoo. Sunda ninyo ang mga suluguon nga nagahulat sa pagbalik sang ila agalon nga nagtambong sa punsyon. Nagabantay sila kag wala nila ginapatay ang ila mga suga. Gani bisan ano nga oras mag-abot ang ila agalon, kon magpanuktok, mabuksan nila dayon ang puwertahan. 37 Bulahan ato nga mga suluguon nga maabtan sang ila agalon nga nagabugtaw kag nagabantay sa iya pag-abot. Ang matuod, magapreparar ang ila agalon sa pagserbisyo sa ila. Papungkuon niya sila sa iya lamisa kag siya mismo ang magaserbi sa ila. 38 Bulahan gid sila kon maabtan sila nga nakapreparar sa iya pag-abot bisan sa tungang gab-i ukon kaagahon. 39 Tandai ninyo ini: kon nahibaluan sang tagbalay kon ano nga oras maabot ang makawat, bantayan gid niya agod indi makasulod ang makawat sa iya balay. 40 Gani magbantay gid kamo, kay sa oras nga wala ninyo ginapaabot, ako nga Anak sang Tawo magaabot.”
Ang Masaligan kag ang Indi Masaligan nga Suluguon(F)
41 Nagpamangkot si Pedro, “Ginoo, para bala kay sin-o ang paanggid nga ina, sa amon bala ukon sa tanan?” 42 Ginsabat siya ni Jesus paagi sa isa ka paanggid, “Indi bala nga kon sin-o ang masaligan kag maalam nga suluguon amo ang ginapili sang agalon nga magdumala sa iya kaupod nga mga suluguon? Siya ang nagahatag sa ila sang ila pagkaon sa husto nga oras. 43 Bulahan ato nga suluguon nga sa pagbalik sang iya agalon maabtan siya nga nagahimo sang iya buluhaton. 44 Sa pagkamatuod, padumalahon siya sa tanan nga pagkabutang sang iya agalon. 45 Pero kaluluoy ang suluguon nga sa paglakat sang iya agalon magahunahuna siya nga madugay pa siya magbalik, gani magasugod siya sa pagpamintas sa iya kaupod nga mga suluguon, lalaki kag babayi man, kag magapagusto siya sang kaon, inom kag pahubog. 46 Magaabot ang iya agalon sa oras nga wala gid niya ginahunahuna, kag grabe ang silot nga iya agumon.[c] Ibutang siya sa isa ka lugar upod sa mga tawo nga indi gid masaligan.
47 “Ang suluguon nga nakahibalo kon ano ang luyag sang iya agalon pero wala nagatuman, madamo nga hanot ang iya pagaagumon. 48 Kag ang suluguon nga wala nakahibalo kon ano ang luyag sang iya agalon kag nakahimo sang mga butang nga indi maayo hanuton man, pero diutay lang. Kay ang bisan sin-o nga ginhatagan sang madamo, madamo man ang ginapaabot sa iya. Mas madamo ang ginapaabot sa tawo nga gintugyanan sang madamo.”
Si Jesus ang Kabangdanan sang Pagbinahin-bahin(G)
49 Nagsiling pa gid si Jesus sa ila, “Nagkadto ako diri sa kalibutan sa pagdala sang silot nga daw kalayo, kag luyag ko nga magdabdab na ini. 50 Pero sa wala pa ini matabo madamo anay nga mga pag-antos ang akon maagihan. Kag indi gid ako mapahamtang samtang wala pa ini matapos.
51 “Nagahunahuna bala kamo nga nagkadto ako diri sa kalibutan agod mangin maayo ang relasyon sang isa kag isa? Ang matuod, nagkadto ako diri agod magbinahin-bahin ang mga tawo. 52 Kay halin subong, tungod sa akon, may lima ka tawo sa pamilya nga magabinahin-bahin. Ang tatlo kontra sa duha kag ang duha kontra sa tatlo. 53 Ang amay kag ang iya anak nga lalaki magakontrahanay. Ang iloy kag ang iya anak nga babayi magakontrahanay, kag ang ugangan nga babayi kag ang iya umagad nga babayi magakontrahanay.”
Panilagi Ninyo ang mga Nagakalatabo Karon(H)
54 Dayon nagsiling si Jesus sa mga tawo, “Kon makita ninyo ang gal-om sa nakatundan nagasiling kamo nga magaulan, kag amo gani ang matabo. 55 Kag kon maghuyop na ang habagat nagasiling kamo nga magainit, kag amo man ang matabo. 56 Mga hipokrito! Makahibalo kamo magpakot kon ano ang matabo paagi sa inyo pagtan-aw sa duta kag sa langit, pero ngaa indi kamo makapakot sang mga nagakalatabo subong?”
Magpasag-uli ka sa Imo Kaaway(I)
57 “Ngaa wala gid ninyo ginabinagbinag kon ano ang husto? 58 Kon may mag-akusar sa imo, tinguhai gid sa pagpakighusay samtang nagapakadto pa lang kamo sa korte. Kay basi piliton gid niya ikaw nga dal-on sa huwis kag itugyan ka dayon sang huwis sa pulis agod prisohon. 59 Kag indi ka gid makaguwa kon indi mo anay mabayaran ang tanan mo nga multa.”[d]
Luka 12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Msiwe Kama Mafarisayo
12 Maelfu wengi wa watu walikusanyika. Walikuwepo watu wengi sana kiasi ambacho walikuwa wakikanyagana. Kabla Yesu hajaanza kuzungumza na watu wale, aliwaambia wafuasi wake, “Iweni waangalifu dhidi ya chachu ya Mafarisayo. Ninamaanisha kuwa hao ni wanafiki. 2 Kila kitu kilichofichwa kitawekwa wazi, na kila kitu kilicho sirini kitajulikana. 3 Mnachokisema sirini kitasemwa mbele za watu. Na mliyonong'onezana katika vyumba vyenu, yatahubiriwa sehemu za wazi ambako kila mtu atasikia.”
Mwogopeni Mungu, Siyo Watu
(Mt 10:28-31)
4 Kisha Yesu akawaambia watu, “Ninawaambia ninyi, rafiki zangu, msiwaogope watu. Wanaweza kuua mwili, lakini baada ya hilo hawawezi kufanya chochote cha kuwaumiza. 5 Mwogopeni Mungu maana Yeye ndiye mwenye nguvu ya kuwaua na kuwatupa Jehanamu. Ndiyo, mnapaswa kumwogopa yeye.
6 Ndege wanapouzwa, ndege watano wadogo wanagharimu senti mbili tu za shaba. Lakini Mungu hasahau hata mmoja wao. 7 Ndiyo, Mungu anajua hata idadi ya nywele mlizonazo kwenye vichwa vyenu. Msiogope ninyi ni wa thamani kuliko ndege wengi.
Msiionee Haya Imani Yenu
(Mt 10:32-33; 12:32; 10:19-20)
8 Ninawaambia, mkinikiri mbele za watu, ndipo nami[a] nitakiri kuwa ninyi ni wangu mbele za Mungu na malaika. 9 Na atakayenikataa mimi mbele za watu, nami nitamkataa mbele za Mungu na malaika.
10 Kila asemaye neno kinyume na Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini atakayesema kinyume na Roho Mtakatifu hatasamehewa.
11 Watakapowapeleka ninyi katika masinagogi mbele ya viongozi na wenye mamlaka, msihangaike mtasema nini. 12 Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Yesu Aaonya Kuhusu Ubinafsi
13 Mmoja wa watu katika kundi akamwambia Yesu, “Mwalimu, baba yetu amefariki hivi karibuni na ametuachia vitu, mwambie kaka yangu anigawie baadhi ya vitu hivyo!”
14 Lakini Yesu akamwambia, “Nani amesema mimi ni mwamuzi wa kuwaamulia namna ya ninyi wawili kugawana vitu vya baba yenu?” 15 Ndipo Yesu akawaambia, “Iweni waangalifu na jilindeni dhidi ya kila aina ya ulafi. Maana uhai wa watu hautokani na vitu vingi wanavyomiliki.”
16 Kisha Yesu akawaambia mfano huu: “Alikuwepo tajiri mmoja aliyekuwa na shamba. Shamba lake lilizaa mazao sana. 17 Akasema moyoni mwake, ‘Nitafanya nini? Sina mahali pa kuyaweka mazao yangu yote?’
18 Kisha akasema, ‘Ninajua nitakachofanya. Nitabomoa ghala zangu na kujenga ghala kubwa zaidi! Nitahifadhi nafaka zangu zote na vitu vingine vizuri katika ghala zangu mpya. 19 Kisha nitajisemea mwenyewe, nina vitu vingi vizuri nilivyotunza kwa ajili ya kutumia kwa miaka mingi ijayo. Pumzika, kula, kunywa na furahia maisha!’
20 Lakini Mungu akamwambia yule mtu, ‘Ewe mpumbavu! Leo usiku utakufa. Sasa vipi kuhusu vitu ulivyojiandalia? Nani atavichukua vitu hivyo?’
21 Hivi ndivyo itakavyokuwa kwa mtu anayeweka vitu kwa ajili yake yeye peke yake. Mtu wa namna hiyo si tajiri kwa Mungu.”
Utangulizeni Kwanza Ufalme wa Mungu
(Mt 6:25-34,19-21)
22 Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivyo ninawaambia, msisumbuke juu ya vitu mnavyohitaji kwa ajili ya kuishi, mtakula nini au mtavaa nini. 23 Maisha ni muhimu zaidi ya chakula mnachokula na mwili ni zaidi ya mavazi mnayovaa. 24 Waangalieni kunguru, hawapandi, hawavuni au kuweka katika majumba au ghala, lakini Mungu huwalisha. Ninyi ni wa thamani sana kuliko ndege. 25 Hakuna mmoja wenu anayeweza kujiongezea muda katika maisha yake kwa kujihangaisha na maisha. 26 Na ikiwa hamwezi kufanya mambo madogo, kwa nini mnajihangaisha kwa mambo makubwa?
27 Yatafakarini maua yanavyoota. Hayafanyi kazi wala kujitengenezea mavazi. Lakini ninawaambia hata Sulemani, mfalme mkuu na tajiri, hakuvikwa vizuri kama maua haya. 28 Ikiwa Mungu huyavika vizuri namna hii majani ya porini, mnadhani atawafanyia nini ninyi? Hilo ni jani tu, siku moja li hai na siku inayofuata linachomwa moto. Lakini Mungu huyajali kiasi cha kuyapendezesha. Hakika atafanya zaidi kwa ajili yenu. Imani yenu ni ndogo!
29 Hivyo daima msijihangaishe na kile mtakachokula ama mtakachokunywa. Msisumbukie mambo haya. 30 Hayo ndiyo mambo ambayo watu wote wasiomjua Mungu huyafikiria daima. Lakini Baba yenu anajua ya kuwa mnayahitaji mambo haya. 31 Mnapaswa kufikiri kuhusu ufalme wa Mungu. Naye Mungu atawapa mambo mengine yote mnayohitaji.
Msitumainie Fedha
32 Msiogope, enyi kundi dogo. Kwa kuwa imempendeza Baba yenu kuwapa ninyi ufalme wake. 33 Uzeni vitu mlivyo navyo, wapeni fedha wale wanaohitaji. Hii ni njia pekee mnayoweza kufanya utajiri wenu usipotee. Mtakuwa mnaweka hazina isiyoisha mbinguni, mahali ambapo wezi hawawezi kuiba na hakuna wadudu wa kuharibu. 34 Kwa kuwa mahali ilipo hazina yako, ndipo roho yako itakapokuwa.
Iweni Tayari Daima
(Mt 24:42-44)
35 Iweni tayari! Vaeni kikamilifu na taa zenu zikiwaka. 36 Iweni tayari kama watumishi wanaomngojea bwana wao anayerudi kutoka kwenye sherehe ya harusi. Bwana wao anaporudi na kubisha mlangoni, watumishi huweza kumfungulia mlango haraka. 37 Bwana wao atakapoona kuwa wako tayari na wanamsubiri, itakuwa siku ya furaha kwa watumishi hao. Ninawaambia bila mashaka, bwana wao atavaa nguo, atawakaribisha kwenye chakula kisha atawahudumia. 38 Watumishi hao wanaweza kumsubiri bwana wao mpaka usiku wa manane. Lakini watafurahi sana kwa sababu aliporudi aliwakuta bado wanamsubiri.
39 Mwenye nyumba angefanya nini ikiwa angejua ni lini mwizi atakuja? Mnajua kuwa asingeruhusu mwizi akavunja na kuingia ndani. 40 Hivyo, iweni tayari ninyi nanyi, kwa kuwa Mwana wa Adamu atakuja wakati msiotarajia!”
Mtumwa Mwaminifu ni Yupi?
(Mt 24:45-51)
41 Petro akasema, “Bwana, mfano ule ulikuwa kwa ajili yetu au kwa ajili ya watu wote?”
42 Bwana akamjibu, “Fikiria kuhusu mtumishi mwenye hekima na mwaminifu, ambaye bwana wake anamwamini na kumweka kuwa msimamizi wa kuwapa watumishi wengine chakula kwa wakati uliokubalika? Mtumishi huyo ataoneshaje kuwa yeye ni msimamizi makini na anayeweza kujisimamia? 43 Mkuu[b] wake atakaporudi na kumkuta akifanya kazi aliyompa, siku hiyo itakuwa siku ya furaha sana kwa mtumishi huyo. 44 Ninawaambia ukweli bila mashaka yo yote, mkuu wake atamweka kuwa msimamizi wa vitu vyake vyote anavyomiliki.
45 Lakini itakuwaje ikiwa mtumishi huyo ni mwovu na akadhani bwana wake hatarudi mapema? Ataanza kuwapiga watumishi wengine, wanaume na wanawake. Atakula na kunywa mpaka atalewa. 46 Ndipo bwana wa mtumishi huyo atakuja wakati usiotarajiwa, wakati ambapo mtumishi hajajiandaa. Ataadhibiwa bila huruma[c] na bwana wake na kumpeleka anakostahili, mahali waliko watumishi wengine wasiotii.
47 Mtumishi huyo alijua kitu ambacho bwana wake alimtaka afanye. Lakini hakuwa tayari kufanya au kujaribu kufanya kile bwana wake alichotaka. Hivyo mtumishi huyo ataadhibiwa sana! 48 Lakini vipi kuhusu mtumishi asiyejua kile ambacho bwana wake anataka? Yeye pia anafanya mambo yanayostahili adhabu, lakini ataadhibiwa kidogo kuliko mtumishi aliyejua alichotakiwa kufanya. Yeyote aliyepewa vingi atawajibika kwa vingi. Hivyo vingi vitategemewa kutoka kwa yule aliyepewa vingi zaidi.”
Kumfuata Yesu Kunaleta Matatizo
(Mt 10:34-36)
49 Yesu aliendelea kusema: “Nimekuja kuleta moto ulimwenguni. Ninatamani ungekuwa unawaka tayari! 50 Kuna aina ya ubatizo[d] ambao ni lazima niupitie na niteseke. Ninajisikia kusumbuka mpaka pale utakapotimizwa. 51 Mnadhani nilikuja kuleta amani ulimwenguni? Hapana, nilikuja kuugawa ulimwengu! 52 Kuanzia sasa, familia ya watu watano itagawanyika, watatu watakuwa kinyume cha wawili, na wawili kinyume cha watatu.
53 Kina baba watakuwa kinyume cha wana wao:
na wana nao watakuwa kinyume cha baba zao.
Kina mama watakuwa kinyume cha binti zao:
na binti nao watakuwa kinyume cha mama zao.
Mama wakwe watakuwa kinyume cha wake za wana wao,
na wake za wana wao watakuwa kinyume cha mama wakwe zao.”[e]
Kuzielewa Nyakati
(Mt 16:2-3)
54 Ndipo Yesu akawaambia watu, “Mnapoona wingu likikua upande wa magharibi, mnasema, ‘Mvua inakuja,’ na muda si mrefu huanza kunyesha. 55 Mnapoona upepo unaanza kuvuma kutoka kusini mnasema, ‘Kutakuwa joto,’ na huwa hivyo. 56 Enyi wanafiki! Mnaweza kuiona nchi na anga na mkajua hali ya hewa itakavyokuwa. Kwa nini hamwelewi kinachotokea sasa?
Malizeni Matatizo Yenu
(Mt 5:25-26)
57 Kwa nini ninyi wenyewe hamwezi kujiamulia ninyi wenyewe kilicho haki? 58 Ikiwa mtu anakushtaki na ninyi nyote mnaongozana kwenda mahakamani. Jitahidi kadri inavyowezekana kupatana naye mkiwa njiani. Usipopatana naye, atakupeleka kwa hakimu. Na hakimu atakutia hatiani na maofisa wa mahakama watakutupa gerezani. 59 Ninawaambieni, hautatoka humo, mpaka ulipe kila senti unayodaiwa.”
Footnotes
- 12:8 nami Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Mtu” (Yesu Kristo).
- 12:43 Mkuu Yaani, “bwana wake”. Si Bwana ikimaanisha Yesu Kristo.
- 12:46 Ataadhibiwa bila huruma Kwa maana ya kawaida, “Kukatwa nusu”.
- 12:50 ubatizo Neno hili ambalo maana yake ni kuzamishwa katika maji, limetumika hapa likiwa na maana maalumu ya tofauti, yaani kufunikwa au “kuzikwa” katika matatizo.
- 12:53 Tazama Mik 7:6.
Luka 12
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Awaonya Na Kuwafariji Wanafunzi
12 Wakati huo, maelfu ya watu walipokuwa wamekusanyika hata wakawa wanakanyagana, Yesu alizungumza na wanafunzi wake kwanza, akawaambia: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo, yaani, unafiki wao.
2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi. 5 Lakini nitawaambia nani wa kumwogopa: mwogopeni yule ambaye baada ya kumwua mtu ana mamlaka ya kumtupa motoni. Naam: huyo, mwogopeni! 6 Mnajua kwamba mbayuwayu watano huuzwa kwa bei ndogo sana. Lakini Mungu anamjali kila mmoja wao. 7 Mungu anafahamu hata idadi ya nywele zilizoko katika vichwa vyenu. Kwa hiyo msiogope: ninyi mna thamani zaidi kuliko mbayuwayu wengi. 8 “Ninawaambia, kila atakayenikiri mbele za watu, pia mimi Mwana wa Adamu nitamkiri mbele ya malaika wa Mungu. 9 Lakini kila anayenikana mbele za watu, pia mimi Mwana wa Adamu nitamkana mbele ya malaika wa Mungu. 10 Na kila atakayesema neno baya kunihusu mimi Mwana wa Adamu atasamehewa. Lakini mtu anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa. 11 “Na watakapowapeleka katika masinagogi mbele ya watawala na mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu mtakavyojitetea au mtakavyosema: 12 kwa maana wakati huo Roho Mtakatifu atawafundisha mnachopaswa kusema.”
Mtakatifu atawafundisha mnachopaswa kusema.”
13 Na mtu mmoja katika umati akasema, “Bwana, mwambie ndugu yangu anigawie urithi aliotuachia baba yetu.” 14 Yesu akamwam bia, Rafiki, ni nani aliyenifanya mimi niwe hakimu wenu au mga wanyaji wa urithi wenu?” 15 Ndipo akawaambia, “Jihadharini na jilindeni na aina zote za choyo. Kwa maana uhai wa mtu hautokani na wingi wa mali aliyo nayo.”
16 Kisha akawaambia mfano, “Shamba la tajiri mmoja lilizaa sana. 17 Akawaza moyoni mwake, ‘Nifanye nini? Maana sina mahali pa kuweka mavuno yangu.’ 18 Kisha akasema, ‘Nitafanya hivi: nitabomoa maghala yangu na kujenga maghala makubwa zaidi na huko nitaweka mavuno yangu yote na vitu vyangu. 19 Na nitasema moy oni, ‘Hakika nina bahati! Ninayo mali ya kunitosha kwa miaka mingi. Sasa nitapumzika: nile, ninywe na kustarehe.’ 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Mjinga wewe! Usiku huu huu utakufa! Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea vitakuwa vya nani?’ 21 Hivi ndivyo itakavy okuwa kwa mtu ye yote anayehangaika kujikusanyia utajiri duniani lakini si tajiri mbinguni kwa Mungu.”
22 Kisha akawaambia wanafunzi wake, “Kwa hiyo ninawaambia, msihangaikie maisha yenu, kwamba mtakula nini; au miili yenu kwamba mtavaa nini. 23 Uhai ni zaidi ya chakula; na mwili ni zaidi ya mavazi. 24 Chukueni mfano wa kunguru! Wao hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala po pote pa kuweka nafaka, lakini Mungu anawalisha. Ninyi ni bora zaidi kuliko ndege! 25 Na ni nani kati yenu ambaye kwa kujihangaisha anaweza kujiongezea urefu wa maisha yake hata kwa saa moja? 26 Kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo; kwa nini basi mhangaikie hayo mengine? 27 Yata zameni maua yanavyostawi: hayafanyi kazi, wala kujitengenezea nguo; lakini ninawaambia, hata Sulemani katika ufahari wake wote, hakuwahi kuvishwa vizuri kama ua mojawapo! 28 Ikiwa Mungu huyav isha hivi majani ambayo leo yapo shambani na kesho yanachomwa moto; ataachaje kuwavisha ninyi hata zaidi? Mbona mna imani ndogo! 29 Wala msihangaike mtakula nini au mtakunywa nini. Msiwe na wasiwasi juu ya haya. 30 Watu wasiomjua Mungu huhan gaika sana juu ya vitu hivi. Lakini Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnavihitaji. 31 Basi, tafuteni Ufalme wa Mungu; na hivyo vyote atawapatia.”
32 “Ninyi kundi dogo, msiogope kwa maana Mungu amependa mtawale naye katika ufalme wake. 33 Uzeni mali zenu muwape mas kini; ili mjipatie mikoba isiyochakaa, na kujiwekea hazina mbin guni ambapo mwizi hafiki wala nondo haharibu. 34 Kwa maana unapoiweka akiba yako ndipo na moyo wako utakapokuwa.”
Kukesha
35 “Muwe tayari mkiwa mmevaa, na taa zenu zikiwaka. 36 Muwe kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka haru sini, ili atakapokuja na kugonga mlango wamfungulie mara moja. 37 Itakuwa ni heri kwa wale watumishi ambao bwana wao akija ata wakuta wanamngoja. Nawaambieni kweli, atajiandaa na kuwaketisha karamuni awahudumie. 38 Itakuwa ni furaha kubwa kwao ikiwa ata wakuta tayari hata kama atakuja usiku wa manane au alfajiri.
39 Fahamuni kwamba kama mwenye nyumba angalijua ni saa ngapi mwizi atakuja, angalijiandaa asiiachie nyumba yake ivunjwe. 40 Kwa hiyo, ninyi pia mkae tayari, kwa maana mimi Mwana wa Adamu nita kuja saa ambayo hamnitegemei.”
Mtumishi Mwaminifu Na Asiye mwaminifu
41 Ndipo Petro akamwambia, “Bwana, mfano huu unatuambia sisi peke yetu au watu wote?” 42 Yesu akamwambia, “Ni yupi wakili mwaminifu na mwenye busara? Ni yule ambaye bwana wake atamfanya mtawala juu ya nyumba yake yote naye awape watumishi wengine chakula chao wakati unaofaa. 43 Itakuwa ni furaha kwa mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo. 44 Ninawahakikishia kwamba atampa mamlaka juu ya vyote alivyo navyo. 45 Lakini kwa mfano, kama yule mtumishi atawaza moyoni mwake, ‘Bwana wangu anachelewa kurudi,’ halafu aanze kuwa piga wale watumishi wa kiume na wa kike, na kula na kunywa na kulewa, 46 bwana wake atarudi siku ambayo hakumtazamia, na saa asiyoijua. Huyo bwana wake atamwadhibu vikali pamoja na wote wasiotii. 47 Na mtumishi ambaye anafahamu mapenzi ya bwana wake na asijiandae wala kufanya kama apendavyo bwana wake, pia ataad hibiwa vikali. 48 Lakini mtumishi ambaye hafahamu anachotakiwa kufanya na akafanya kitu kinachostahili adhabu, atapata adhabu ndogo. Mungu atatarajia vingi kutoka kwa mtu aliyepewa vipawa vingi; na mtu aliyekabidhiwa vingi zaidi, atadaiwa zaidi pia.”
49 “Nimekuja kuleta moto duniani! Laiti kama dunia inge kuwa tayari imeshawaka! 50 Lakini kuna ubatizo ambao lazima niu pokee na dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo utakapokamilika.
51 “Mnadhani nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambieni sivyo; nimekuja kuleta mafarakano. 52 Kuanzia sasa, katika nyumba ya watu watano kutakuwa na mgawanyiko: watatu wakipingana na wawili, na wawili wakipingana na watatu. 53 Baba atapingana na mwanae na mwana atapingana na babaye; mama atapingana na bin tiye na binti atapingana na mamaye; mama mkwe atapingana na mke wa mwanae ambaye naye atapingana na mama mkwe wake.”
Kutambua majira
54 Kisha Yesu akawaambia watu, “Mkiona wingu likitokea mag haribi, mara moja mnasema, ‘Mvua hiyo inakuja!’ na inakuwa hivyo. 55 Na mnapouona upepo wa kusi ukivuma, mnasema, ‘Kutakuwa na joto!’ Na linakuwepo. 56 Enyi wanafiki! Mnaweza kutambua dalili za hali ya hewa; kwa nini basi hamtambui maana ya mambo yanayoto kea sasa? 57 Kwa nini hamuamui lililo haki kutenda? 58 Kama mtu akikushtaki mahakamani, jitahidi sana kupatana na mshtaki wako wakati mkiwa mnaenda mahakamani, ili asikufikishe mbele ya hakimu, na hakimu akakukabidhi kwa polisi, na polisi wakakutia gerezani. 59 Nakuhakikishia kwamba, hutatoka huko gerezani mpaka umelipa faini yote.”
Luke 12
New International Version
Warnings and Encouragements(A)
12 Meanwhile, when a crowd of many thousands had gathered, so that they were trampling on one another, Jesus began to speak first to his disciples, saying: “Be[a] on your guard against the yeast of the Pharisees, which is hypocrisy.(B) 2 There is nothing concealed that will not be disclosed, or hidden that will not be made known.(C) 3 What you have said in the dark will be heard in the daylight, and what you have whispered in the ear in the inner rooms will be proclaimed from the roofs.
4 “I tell you, my friends,(D) do not be afraid of those who kill the body and after that can do no more. 5 But I will show you whom you should fear: Fear him who, after your body has been killed, has authority to throw you into hell. Yes, I tell you, fear him.(E) 6 Are not five sparrows sold for two pennies? Yet not one of them is forgotten by God. 7 Indeed, the very hairs of your head are all numbered.(F) Don’t be afraid; you are worth more than many sparrows.(G)
8 “I tell you, whoever publicly acknowledges me before others, the Son of Man will also acknowledge before the angels of God.(H) 9 But whoever disowns me before others will be disowned(I) before the angels of God. 10 And everyone who speaks a word against the Son of Man(J) will be forgiven, but anyone who blasphemes against the Holy Spirit will not be forgiven.(K)
11 “When you are brought before synagogues, rulers and authorities, do not worry about how you will defend yourselves or what you will say,(L) 12 for the Holy Spirit will teach you at that time what you should say.”(M)
The Parable of the Rich Fool
13 Someone in the crowd said to him, “Teacher, tell my brother to divide the inheritance with me.”
14 Jesus replied, “Man, who appointed me a judge or an arbiter between you?” 15 Then he said to them, “Watch out! Be on your guard against all kinds of greed; life does not consist in an abundance of possessions.”(N)
16 And he told them this parable: “The ground of a certain rich man yielded an abundant harvest. 17 He thought to himself, ‘What shall I do? I have no place to store my crops.’
18 “Then he said, ‘This is what I’ll do. I will tear down my barns and build bigger ones, and there I will store my surplus grain. 19 And I’ll say to myself, “You have plenty of grain laid up for many years. Take life easy; eat, drink and be merry.”’
20 “But God said to him, ‘You fool!(O) This very night your life will be demanded from you.(P) Then who will get what you have prepared for yourself?’(Q)
21 “This is how it will be with whoever stores up things for themselves but is not rich toward God.”(R)
Do Not Worry(S)
22 Then Jesus said to his disciples: “Therefore I tell you, do not worry about your life, what you will eat; or about your body, what you will wear. 23 For life is more than food, and the body more than clothes. 24 Consider the ravens: They do not sow or reap, they have no storeroom or barn; yet God feeds them.(T) And how much more valuable you are than birds! 25 Who of you by worrying can add a single hour to your life[b]? 26 Since you cannot do this very little thing, why do you worry about the rest?
27 “Consider how the wild flowers grow. They do not labor or spin. Yet I tell you, not even Solomon in all his splendor(U) was dressed like one of these. 28 If that is how God clothes the grass of the field, which is here today, and tomorrow is thrown into the fire, how much more will he clothe you—you of little faith!(V) 29 And do not set your heart on what you will eat or drink; do not worry about it. 30 For the pagan world runs after all such things, and your Father(W) knows that you need them.(X) 31 But seek his kingdom,(Y) and these things will be given to you as well.(Z)
32 “Do not be afraid,(AA) little flock, for your Father has been pleased to give you the kingdom.(AB) 33 Sell your possessions and give to the poor.(AC) Provide purses for yourselves that will not wear out, a treasure in heaven(AD) that will never fail, where no thief comes near and no moth destroys.(AE) 34 For where your treasure is, there your heart will be also.(AF)
Watchfulness(AG)(AH)
35 “Be dressed ready for service and keep your lamps burning, 36 like servants waiting for their master to return from a wedding banquet, so that when he comes and knocks they can immediately open the door for him. 37 It will be good for those servants whose master finds them watching when he comes.(AI) Truly I tell you, he will dress himself to serve, will have them recline at the table and will come and wait on them.(AJ) 38 It will be good for those servants whose master finds them ready, even if he comes in the middle of the night or toward daybreak. 39 But understand this: If the owner of the house had known at what hour the thief(AK) was coming, he would not have let his house be broken into. 40 You also must be ready,(AL) because the Son of Man will come at an hour when you do not expect him.”
41 Peter asked, “Lord, are you telling this parable to us, or to everyone?”
42 The Lord(AM) answered, “Who then is the faithful and wise manager, whom the master puts in charge of his servants to give them their food allowance at the proper time? 43 It will be good for that servant whom the master finds doing so when he returns. 44 Truly I tell you, he will put him in charge of all his possessions. 45 But suppose the servant says to himself, ‘My master is taking a long time in coming,’ and he then begins to beat the other servants, both men and women, and to eat and drink and get drunk. 46 The master of that servant will come on a day when he does not expect him and at an hour he is not aware of.(AN) He will cut him to pieces and assign him a place with the unbelievers.
47 “The servant who knows the master’s will and does not get ready or does not do what the master wants will be beaten with many blows.(AO) 48 But the one who does not know and does things deserving punishment will be beaten with few blows.(AP) From everyone who has been given much, much will be demanded; and from the one who has been entrusted with much, much more will be asked.
Not Peace but Division(AQ)
49 “I have come to bring fire on the earth, and how I wish it were already kindled! 50 But I have a baptism(AR) to undergo, and what constraint I am under until it is completed!(AS) 51 Do you think I came to bring peace on earth? No, I tell you, but division. 52 From now on there will be five in one family divided against each other, three against two and two against three. 53 They will be divided, father against son and son against father, mother against daughter and daughter against mother, mother-in-law against daughter-in-law and daughter-in-law against mother-in-law.”(AT)
Interpreting the Times
54 He said to the crowd: “When you see a cloud rising in the west, immediately you say, ‘It’s going to rain,’ and it does.(AU) 55 And when the south wind blows, you say, ‘It’s going to be hot,’ and it is. 56 Hypocrites! You know how to interpret the appearance of the earth and the sky. How is it that you don’t know how to interpret this present time?(AV)
57 “Why don’t you judge for yourselves what is right? 58 As you are going with your adversary to the magistrate, try hard to be reconciled on the way, or your adversary may drag you off to the judge, and the judge turn you over to the officer, and the officer throw you into prison.(AW) 59 I tell you, you will not get out until you have paid the last penny.”(AX)
Footnotes
- Luke 12:1 Or speak to his disciples, saying: “First of all, be
- Luke 12:25 Or single cubit to your height
Hiligaynon Bible (Ang Pulong Sang Dios) Copyright © 1996, 2006 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Copyright © 1989 by Biblica
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
