Font Size
2 Petro 3:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
2 Petro 3:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwanza kabisa ni lazima muelewe hili: kwamba siku za mwisho watu wenye dhihaka watakuja kuwadhihaki wakiwa wametawaliwa na tamaa zao wenyewe. 4 Watawaambia, “Ali yeahidi atakuja yuko wapi? Tangu baba zetu walipokufa mambo yam eendelea kuwa kama yalivyokuwa tangu kuumbwa kwa dunia.” 5 Wao wameamua kusahau kwamba ni kwa neno la Mungu mbingu zilikuwepo tangu zamani, na kwamba ulimwengu uliumbwa kutokana na maji kwa njia ya maji,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica