撒種的比喻

13 那一天,耶穌從屋子裡出來,在湖邊[a]坐下。 有一大群人聚集到他那裡,所以他上了一條船坐下來。眾人都站在岸邊。

耶穌用比喻對他們講了很多事。他說:「看哪,有一個撒種的出去撒種。 他撒的時候,有些種子落在路邊,飛鳥來把它們吃掉了。 有些落在岩石地上,那裡沒有多少泥土,它們立刻就發芽了,因為土不深; 當太陽升起,它們被暴曬,就枯萎了,因為沒有根。 有些落進荊棘叢裡,荊棘長起來,就把它們擠住了。 但是另有落在好土壤上的,就不斷地結出果實來,有一百倍的,有六十倍的,有三十倍的。 凡是有耳的[b],就應當聽!」

用比喻的原因

10 門徒們上前來,問耶穌:「你對他們講話,為什麼用比喻呢?」

11 耶穌回答他們,說:「天國的奧祕已經賜下來讓你們知道,而沒有賜給那些人; 12 因為凡是有的,還要賜給他,使他豐足有餘;凡是沒有的,連他有的也將從他那裡被拿走。 13 我之所以用比喻對他們說,是因為他們雖然看了,卻看不見;聽了,卻聽不進,也不領悟。 14 在他們身上,正應驗了以賽亞的預言,他說:

『你們將聽了又聽,但絕不會領悟;
你們將看了又看,但絕不會明白;
15 因為這子民的心麻木了,
他們充耳不聞,眼睛閉著;
免得他們眼睛看見,耳朵聽見,心裡領悟,
回轉過來,我就使他們痊癒。』[c]

16 「但你們的眼睛是蒙福的,因為看見了;你們的耳朵是蒙福的,因為聽見了。 17 我確實地告訴你們:曾經有許多先知和義人渴望看你們所看見的,卻沒有看到;渴望聽你們所聽見的,卻沒有聽到。

解明撒種的比喻

18 「所以,你們應當聽這撒種的比喻: 19 無論誰聽了天國的話語而不領悟,那惡者就來,把那撒在他心裡的奪走;這就是那被撒上種子的『路邊之地』。 20 那被撒上種子的『岩石地』是這樣的人:他聽了這話語,立刻懷著喜樂的心接受了它; 21 只是他裡面沒有根而不能持久,一旦為這話語受患難或逼迫,他立刻就放棄[d]了。 22 那被撒進種子的『荊棘叢』是這樣的人:他聽了這話語,但今世的憂慮和財富的迷惑把話語擠住了,他就成了不結果實的。 23 那被撒上種子的『好土壤』是這樣的人:他聽了這話語,就領悟了,必然結出果實來,結出的有一百倍的、有六十倍的、有三十倍的。」

稗子的比喻

24 耶穌對他們講了另一個比喻說:「天國好比一個人把好種子撒在自己的田裡。 25 但是當人們睡覺的時候,他的仇敵來把稗子撒在麥子中間,然後離開了。 26 到了麥苗長大結穗的時候,稗子也顯出來了。 27 奴僕前來問那家的主人,說:『主人,你不是把好種子撒在你的田裡嗎?從哪裡來的這些稗子呢?』

28 「主人告訴他們:『這是仇敵做的。』

「奴僕問:『那麼,你要我們去把稗子拔掉嗎?』

29 「主人說:『不,免得你們把稗子拔掉的時候,也把麥子一同連根拔出來。 30 讓兩樣一起長吧,直到收割的季節。在收割的時候,我要吩咐收割的人先把稗子拔掉,把它們綁成一捆一捆的好去燒掉,然後把麥子收進我的倉庫裡。』」

芥菜種與麵酵

31 耶穌對他們講了另一個比喻說:「天國好比一粒芥菜種子,有人拿去種在他的田裡。 32 它雖然比所有的種子更小,長大以後,卻比各種蔬菜更大,成了一棵樹,結果天空的飛鳥來了,在它的枝子上搭窩。」

33 耶穌又對他們講了另一個比喻:「天國好比酵母,一個婦人拿去拌在[e]三斗[f]麵裡,直到整團麵都發了酵。」

使用比喻

34 耶穌用比喻向人群講了這一切;他向他們講話,沒有不用比喻的。 35 這是為要應驗那藉著先知所說的話:

「我要開口,
用比喻說出創世以來被隱藏的事。」[g]

解明稗子的比喻

36 然後,耶穌離開了人群,進了屋子。他的門徒們上前來,說:「請給我們解釋一下田裡稗子的比喻。」

37 耶穌回答說:「那撒好種子的是人子。 38 田地是這世界,這些好種子就是天國的兒女,稗子是那惡者的兒女, 39 撒稗子的仇敵是魔鬼,收割的季節是世代的終結,收割的人是天使。 40 就像稗子被拔出來用火燒掉,在這世代的終結也將是這樣。 41 人子要差派他的天使們,從他的國度裡挑出來所有絆腳的和作惡[h]的, 42 把他們丟進火爐裡。在那裡將有哀哭和切齒。 43 那時,義人會在他們父的國度裡像太陽一樣發光。凡是有耳的[i],就應當聽!

藏寶與尋珠

44 「天國好比被藏在田裡的財寶。有人發現了,就把它再藏起來,然後高高興興地去賣掉他所擁有的一切,買下了那塊地。

45 「天國又好比一個商人尋找精美的珍珠。 46 當他發現了一顆極其貴重的珍珠,就去賣掉他所擁有的一切,買下了那顆珍珠。

漁網的比喻

47 「天國又好比一張漁網撒在海裡,網到了各種魚類。 48 網一滿了,漁夫們就把它拉上岸來,然後坐下,把好的收進筐裡,把壞的丟在外面。 49 在這世代的終結也將是這樣。天使們要出去,把惡人從義人中分別出來, 50 丟進火爐裡。在那裡將有哀哭和切齒。」

真理的寶庫

51 耶穌問他們[j]「這一切你們都領悟了嗎?」

他們說:「是的,領悟了[k]。」

52 耶穌對他們說:「為此,凡是成為天國門徒的經文士,就好比一家的主人,從他的寶庫裡拿出新的和舊的東西來。」 53 當耶穌講完了這些比喻,就離開了那地方。

在拿撒勒被拒絕

54 他來到自己的家鄉,在他們的會堂裡教導人,以致他們驚嘆不已,說:「這個人的這種智慧和能力是從哪裡來的呢? 55 這不就是那木匠的兒子嗎?他的母親不是叫瑪麗亞嗎?他的弟弟們[l]不是雅各約西[m]西門猶大嗎? 56 他的妹妹們[n]不是都和我們在一起的嗎?那麼,他這一切是從哪裡來的呢?」 57 這樣,他們就對耶穌很反感[o]

耶穌對他們說:「先知除了在本鄉、本家以外,沒有不受尊重的。」 58 因為他們的不信,耶穌在那裡就沒有行很多神蹟。

Footnotes

  1. 馬太福音 13:1 湖——原文直譯「海」;指「加利利湖(海)」。
  2. 馬太福音 13:9 有耳的——有古抄本作「有耳可聽的」。
  3. 馬太福音 13:15 《以賽亞書》6:9-10。
  4. 馬太福音 13:21 放棄——原文直譯「絆倒」。
  5. 馬太福音 13:33 拌在——原文直譯「藏在」。
  6. 馬太福音 13:33 三斗——原文為「3撒頓」;容量約為22公升。1撒頓=7.3公升。
  7. 馬太福音 13:35 《詩篇》78:2。
  8. 馬太福音 13:41 惡——原文直譯「不法」。
  9. 馬太福音 13:43 有耳的——有古抄本作「有耳可聽的」。
  10. 馬太福音 13:51 有古抄本沒有「耶穌問他們」。
  11. 馬太福音 13:51 領悟了——輔助詞語。
  12. 馬太福音 13:55 弟弟——原文直譯「兄弟」。
  13. 馬太福音 13:55 約西——有古抄本作「約瑟」。
  14. 馬太福音 13:56 妹妹——原文直譯「姐妹」。
  15. 馬太福音 13:57 對耶穌很反感——原文直譯「因耶穌被絆倒」。

撒种的比喻

13 当天,耶稣离开房子,坐在湖边。 有一大群人聚集到祂周围,祂只好上船坐下,众人都站在岸上。 祂用比喻给他们讲许多道理,说:“有一个农夫出去撒种。 撒种的时候,有些种子落在路旁,被飞鸟吃掉了; 有些落在石头地上,因为泥土不深,种子很快就发芽了,然而因为没有根, 被太阳一晒,就枯萎了; 有些落在荆棘丛中,荆棘长起来便把嫩苗挤住了; 有些落在沃土里,就结出果实,收成多达三十倍、六十倍、一百倍。 有耳朵的,都应当听。”

用比喻的目的

10 门徒上前问耶稣:“你为什么要用比喻来教导他们呢?”

11 耶稣回答说:“天国的奥秘只让你们知道,不让他们知道。 12 因为凡有的,还要给他更多,他就丰富有余;凡没有的,连他仅有的也要夺去。 13 我用比喻教导他们是因为他们视而不见,听而不闻,闻而不悟。 14 以赛亚的预言正应验在他们身上,

“‘你们听了又听,却不明白;
看了又看,却不领悟。
15 因为这些人心灵麻木,
耳朵发背,眼睛昏花,
以致眼睛看不见,耳朵听不见,
心里不明白,无法回心转意,
得不到我的医治。’

16 “但你们的眼睛是有福的,因为看得见;你们的耳朵也是有福的,因为听得见。 17 我实在告诉你们,以前有许多先知和义人曾渴望看见你们所看见的,听见你们所听见的,却未能如愿。

解释比喻

18 “所以,你们应当留心这撒种的比喻。 19 种子落在路旁,是指人听了天国的道理却不明白,魔鬼乘虚而入,把撒在他心里的夺走了; 20 种子落在石头地上,是指人听了道后,立刻欢喜地接受了, 21 但因为他心里没有根基,不过是暂时接受,一旦为道遭受患难或迫害,就立刻放弃了信仰; 22 种子落在荆棘丛中,是指人虽然听过道,但生活的忧虑和钱财的迷惑把道挤住了,以致不能结出果实。 23 种子落在沃土里,是指人听了道,并明白了道,就结出果实来,有的多达一百倍,有的六十倍,有的三十倍。”

毒麦的比喻

24 耶稣又给他们讲了一个比喻,说:“天国就像一个人,将好种子撒在田里。 25 人们睡觉的时候,仇敌过来把毒麦撒在他的麦田里,就走了。 26 当麦子长苗吐穗时,毒麦也长起来了。 27 奴仆看见了就来问主人,‘主人啊!你不是把好种子撒在田里了吗?从哪里来的毒麦呢?’

28 “主人回答说,‘这是仇敌做的。’奴仆问道,‘要我们去拔掉它们吗?’

29 “主人说,‘不用了,因为拔毒麦会连麦子一起拔掉。 30 让它们跟麦子一起生长吧,到收割的时候,我会吩咐收割的工人先把毒麦收集起来,扎成捆,留着烧,然后将麦子存入谷仓。’”

芥菜种和面酵的比喻

31 耶稣又给他们讲了一个比喻:“天国就像一粒芥菜种,人把它种在田里。 32 它虽然是种子中最小的,却长得比其他蔬菜都大,并且长成一棵树,天空的飞鸟也来栖息。”

33 祂又给他们讲了个比喻:“天国就像面酵,妇人拿来掺在三斗面里,使整盆面都发起来。”

34 耶稣总是用比喻对众人讲这些事,祂每次对他们讲话时都用比喻。 35 这是要应验先知的话:“我要开口讲比喻,道出创世以来隐藏的事。”

解释毒麦的比喻

36 后来,耶稣离开人群,进到屋里。门徒也跟着进去,对耶稣说:“请为我们解释毒麦的比喻。”

37 耶稣说:“那撒下好种子的就是人子, 38 麦田代表整个世界,那些好种子就是天国的子民。毒麦就是那些属于魔鬼的人, 39 撒毒麦的仇敌就是魔鬼。收割的日子便是世界的末日,收割的工人就是天使。

40 “毒麦怎样被拔出来丢在火里烧,同样,在世界末日的时候, 41 人子也将派天使把一切引人犯罪和作孽的人从祂国里挑出来, 42 丢进火里。那时,他们将在那里哀哭切齿。 43 那时,义人要在他们天父的国度像太阳一样发出光辉。有耳朵的,都应当听。

宝藏与珍珠的比喻

44 “天国就像藏在地里的宝贝,有人发现了,就把它埋好,然后欢然变卖他所有的财产去买那块地。

45 “天国就像一个四处搜购贵重珍珠的商人。 46 他找到一颗极贵重的珍珠,就变卖了一切的产业,把它买下来。

撒网的比喻

47 “天国就像一张渔网,撒在海里捕到了各种鱼。 48 网满了,人们把网拉上岸,然后坐下来挑选,好的就收起来,不好的就丢掉。 49 世界末日的时候也是这样。天使必把恶人从义人中拣出来, 50 丢在火炉里,让恶人在那里哀哭切齿。 51 你们明白这些事了吗?”

他们回答说:“我们明白了。”

52 耶稣说:“律法教师成为天国的门徒后,就像一个家的主人,能从他的库房里拿出新的和旧的东西来。”

拿撒勒人厌弃耶稣

53 耶稣讲完了这些比喻,就离开那里, 54 回到自己的家乡拿撒勒,在会堂里教导人。人们很惊奇,说:“这个人从哪里得到如此的智慧和神奇的能力呢? 55 这不是那木匠的儿子吗?祂母亲不是玛丽亚吗?祂的弟弟不是雅各、约瑟、西门和犹大吗? 56 祂的妹妹们不也是住在我们这里吗?祂究竟从哪里得来这一身本领呢?” 57 他们就对祂很反感。

耶稣对他们说:“先知到处受人尊敬,只有在本乡本家例外。” 58 因为他们不信,耶稣就没有在那里多行神迹。

Simulizi Kuhusu Mkulima Aliyepanda Mbegu

(Mk 4:1-9; Lk 8:4-8)

13 Siku hiyo hiyo Yesu alitoka nje ya nyumba na kukaa kando ya ziwa. Kundi kubwa wakakusanyika kumzunguka. Hivyo akapanda mtumbwini na kuketi. Watu wote wakabaki ufukweni. Kisha Yesu akatumia simulizi kuwafundisha mambo mengi. Akawaambia simulizi hii:

“Mkulima alitoka kwenda kupanda mbegu. Alipokuwa anatawanya mbegu, baadhi ziliangukia njiani. Ndege wakaja na kuzila zote. Mbegu zingine ziliangukia kwenye ardhi yenye mawe, ambako hakukuwa na udongo wa kutosha. Zikakua haraka pale, kwa sababu udongo haukuwa na kina. Lakini jua lilipowaka, likaichoma mimea. Mimea ikafa kwa sababu haikuwa na mizizi mirefu. Baadhi ya mbegu ziliangukia katikati ya miiba. Miiba ikakua na kusababisha mimea mizuri kuacha kukua. Lakini baadhi ya mbegu ziliangukia kwenye udongo wenye rutuba. Hapo zikakua na kuzaa nafaka. Baadhi ya mimea ikazaa nafaka mara mia zaidi, baadhi mara sitini na baadhi mara thelathini zaidi. Ninyi watu mnaoweza kunisikia, nisikilizeni!”

Kwa nini Yesu Alitumia Simulizi Kufundisha

(Mk 4:10-12; Lk 8:9-10)

10 Wafuasi wake wakamwendea Yesu na kumuuliza, “Kwa nini unatumia simulizi hizi kuwafundisha watu?”

11 Yesu akawajibu, “Mungu amewapa ninyi ujuzi wa kuelewa siri za ufalme wa Mungu, lakini hajawapa watu hawa wengine ujuzi huu. 12 Kisha akawaambia, ‘Zingatieni kwa makini kile mnachokisikia. Kwani jinsi mnavyosikiliza kwa makini, ndivyo mtakavyoelewa na kuzidi kuelewa. Kwa kuwa kila aliye na uelewa kidogo ataongezewa zaidi. Lakini wale wasiosikiliza kwa makini watapoteza hata ule uelewa mdogo walio nao.’ 13 Ndiyo sababu ninatumia simulizi hizi kuwafundisha watu: Wanaona, lakini hakika hawaoni. Wanasikia, lakini hakika hawasikii au kuelewa. 14 Hiyo inathibitisha alichosema nabii Isaya kuhusu wao kuwa kweli:

‘Ninyi watu mtasikia na kusikia,
    lakini hamtaelewa.
Mtatazama na kutazama,
    lakini hakika hamtaona.
15 Ndiyo, akili za watu hawa sasa zimefungwa.
    Wana masikio, lakini hawasikii vizuri.
Wana macho, lakini wameyafumba.
    Iwapo akili zao zisingekuwa zimefungwa,
wangeona kwa macho yao;
    wangesikia kwa masikio yao;
Iwapo wangeelewa kwa akili zao.
    Kisha wangenigeukia na kuponywa.’(A)

16 Bahati gani mliyonayo ninyi. Mnaelewa mnachokiona kwa macho yenu. Na mnaelewa mnachosikia kwa masikio yenu. 17 Ninaweza kuwathibitishia, manabii na watakatifu wengi walitaka kuona mnayoyaona. Lakini hawakuyaona. Walitaka kusikia mnayosikia sasa. Lakini hawakuyasikia.

Yesu Afafanua Simulizi Kuhusu Mbegu

(Mk 4:13-20; Lk 8:11-15)

18 Hivyo sikilizeni maana ya simulizi hiyo kuhusu mkulima:

19 Vipi kuhusu mbegu zilizoangukia njiani? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho kuhusu ufalme wa Mungu lakini hawauelewi. Mwovu huja na kuyachukua yaliyopandwa katika mioyo yao.

20 Na vipi kuhusu mbegu zilizoangukia kwenye udongo wenye mawe? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho haraka na kwa furaha huyapokea. 21 Lakini hawaruhusu mafundisho kutawala maisha yao. Huyatunza kwa muda mfupi. Mara tatizo au mateso yanapokuja kwa sababu ya mafundisho waliyoyapokea, wanaacha kuyafuata.

22 Na vipi kuhusu mbegu zilizoanguka katikati ya miiba? Hizo zinafanana na watu wanaosikia mafundisho lakini huyaruhusu mahangaiko ya maisha na kutaka utajiri, hufanya mafundisho yasikue. Hivyo mafundisho hayazai mazao mazuri katika maisha yao.

23 Lakini vipi kuhusu mbegu zilizoanguka kwenye udongo wenye rutuba? Hizo ni sawa na watu wanaosikia mafundisho na kuyaelewa. Hukua na kuzaa mazao mazuri, wakati mwingine mara mia, wakati mwingine mara sitini, na wakati mwingine mara thelathini zaidi.”

Simulizi Kuhusu Ngano na Magugu

24 Kisha Yesu akatumia simulizi nyingine kuwafundisha. Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. 25 Usiku ule, kila mtu alipokuwa amelala, adui wa yule mtu akaja na kupanda magugu katikati ya ngano kisha akaondoka. 26 Baadaye, ngano ikakua na vichwa vya nafaka vikaota juu ya mimea. Kisha mtumishi akayaona magugu. 27 Watumwa wa mwenye shamba wakaja na akasema, ‘Bwana ulipanda mimea mizuri kwenye shamba lako. Magugu yametoka wapi?’

28 Yule mtu akajibu, ‘Adui alipanda magugu.’

Wale watumwa wakauliza, ‘Je, unataka twende na kung'oa magugu?’

29 Akajibu, ‘Hapana, kwa sababu mtakapokuwa mnang'oa magugu, mtaweza pia kung'oa ngano. 30 Yaacheni magugu na ngano vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati wa mavuno nitawaambia wafanyakazi hivi: Kwanza, yakusanyeni magugu na kuyafunga pamoja ili myachome. Kisha kusanyeni ngano na kuileta ghalani mwangu.’”

Simulizi Nyingine ya Ufalme

(Mk 4:30-34; Lk 13:18-21)

31 Kisha Yesu akawaambia watu simulizi nyingine: “Ufalme wa Mungu unafanana na mbegu ya mharadali ambayo mtu alipanda katika shamba lake. 32 Ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote. Lakini unapokua, ni kubwa kuliko mimea yote ya bustanini. Unakuwa mti mkubwa unaotosha ndege kuja na kutengeneza viota kwenye matawi yake.”

33 Kisha Yesu akawaambia simulizi nyingine: “Ufalme wa Mungu unafanana na chachu ambayo mwanamke huichanganya katika bakuli kubwa la unga ili atengeneze mkate. Chachu hufanya kinyunya chote kiumuke.”

34 Yesu alitumia simulizi akasema mambo yote haya kwa watu. Daima alitumia simulizi kuwafundisha. 35 Hii ilikuwa kuweka wazi maana halisi kama manabii walivyosema:

“Nitazungumza kwa kutumia simulizi;
    Nitayasema mambo ambayo yamekuwa siri
    tangu ulimwengu ulipoumbwa.”(B)

Yesu Afafanua Simulizi Kuhusu Magugu

36 Kisha Yesu akawaacha watu na kuingia katika nyumba. Wafuasi wake wakamwendea na akasema, “Tufafanulie maana ya simulizi kuhusu magugu ndani ya shamba.”

37 Akajibu, “Mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba ni Mwana wa Adamu. 38 Shamba ni ulimwengu. Mbegu nzuri ni watoto katika ufalme wa Mungu. Magugu ni watu wa Yule Mwovu. 39 Na adui aliyepanda mbegu mbaya ni ibilisi. Mwisho wa nyakati ndiyo wakati wa mavuno. Wafanyakazi wanaokusanya ni malaika wa Mungu.

40 Magugu hung'olewa na kuchomwa motoni. Itakuwa vivyo hivyo nyakati za mwisho. 41 Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watawatafuta watu wanaosababisha dhambi na wale wote watendao maovu. Malaika watawatoa watu hao katika ufalme wa Mungu. 42 Watawatupia katika tanuru la moto. Huko watu watakuwa wakilia na kusaga meno kwa maumivu. 43 Kisha wenye haki watang'aa kama jua. Watakuwa katika ufalme wa baba yao. Ninyi watu, mlio na masikio, sikilizeni!

Simulizi Kuhusu Hazina na Lulu

44 Ufalme wa Mungu unafanana na hazina iliyofichwa shambani. Siku moja mtu alipoiona aliificha tena; na kwa sababu alikuwa na furaha sana alikwenda kuuza kila kitu alichonacho na kulinunua shamba.

45 Pia, ufalme wa Mungu unafanana na mchuuzi anayetafuta lulu safi. 46 Siku moja alipoipata, alikwenda na akauza kila kitu alichokuwa nacho ili kuinunua.

Simulizi Kuhusu Wavu wa Kuvulia Samaki

47 Pia, ufalme wa Mungu unafanana na nyavu kubwa iliyowekwa katika ziwa. Nyavu ile ikavua aina nyingi tofauti ya samaki. 48 Ikajaa, hivyo wavuvi wakaivuta mpaka pwani. Wakakaa chini na kutoa samaki wote wazuri na kuwaweka kwenye kikapu. Kisha wakawatupa samaki wabaya. 49 Itakuwa hivyo wakati wa mwisho. Malaika watakuja na kuwatenganisha waovu na watakatifu. 50 Watawatupa waovu katika tanuru la moto. Huko watu watalia na kusaga meno yao kwa sababu ya maumivu.”

51 Kisha Yesu akawauliza wafuasi wake, “Mnaelewa mambo yote haya?”

Wakasema, “Ndiyo, tunaelewa.”

52 Kisha Yesu akawaambia wafuasi wake, “Hivyo kila mwalimu wa sheria aliyejifunza kuhusu ufalme wa Mungu ana baadhi ya vitu vizuri vya kufundisha. Ni kama mmiliki wa nyumba, aliye na vitu vipya na vya zamani nyumbani mwake. Na huvitoa nje vipya na vya zamani.”

Yesu Aenda Kwenye Mji wa Kwao

(Mk 6:1-6; Lk 4:16-30)

53 Yesu alipomaliza kufundisha kwa simulizi hizi, aliondoka pale. 54 Alikwenda katika mji wa kwao. Aliwafundisha watu katika sinagogi lao, nao walishangaa. Walisema, “Mtu huyu alipata wapi hekima na nguvu hii ya kutenda miujiza? 55 Je, yeye si mwana wa seremala tunayemfahamu? Je, jina la mamaye si Mariamu na wadogo zake ni Yakobo, Yusufu, Simoni na Yuda? 56 Na dada zake bado wanaishi hapa katika mji huu? Anawezaje kutenda mambo haya?” 57 Hivyo wakawa na mashaka kumpokea.

Lakini Yesu akawaambia, “Watu kila mahali huwaheshimu manabii, lakini katika mji wake au katika nyumba yake nabii hapati heshima yoyote.” 58 Yesu hakufanya miujiza mingi huko, kwa sababu watu hawakumwamini.

撒種的比喻

13 當天,耶穌離開房子,坐在湖邊。 有一大群人聚集到祂周圍,祂只好上船坐下,眾人都站在岸上。 祂用比喻向他們講許多道理,說:「有一個農夫出去撒種。 撒種的時候,有些種子落在路旁,被飛鳥吃掉了; 有些落在石頭地上,因為泥土不深,種子很快就發芽了,然而因為沒有根, 被太陽一曬,就枯萎了; 有些落在荊棘叢中,荊棘長起來便把嫩苗擠住了; 有些落在沃土裡,就結出果實,收成多達三十倍、六十倍、一百倍。 有耳朵的,都應當聽。」

用比喻的目的

10 門徒上前問耶穌:「你為什麼要用比喻來教導他們呢?」

11 耶穌回答說:「天國的奧祕只讓你們知道,不讓他們知道。 12 因為凡有的,還要給他更多,他就豐富有餘;凡沒有的,連他僅有的也要奪去。 13 我用比喻教導他們是因為他們視而不見,聽而不聞,聞而不悟。 14 以賽亞的預言正應驗在他們身上,

『你們聽了又聽,卻不明白;
看了又看,卻不領悟。
15 因為這些人心靈麻木,
耳朵發背,眼睛昏花,
以致眼睛看不見,耳朵聽不見,
心裡不明白,無法回心轉意,
得不到我的醫治。』

16 「但你們的眼睛是有福的,因為看得見;你們的耳朵也是有福的,因為聽得見。 17 我實在告訴你們,以前有許多先知和義人曾渴望看見你們所看見的,聽見你們所聽見的,卻未能如願。

解釋比喻

18 「所以,你們應當留心這撒種的比喻。 19 種子落在路旁,是指人聽了天國的道理卻不明白,魔鬼乘虛而入,把撒在他心裡的奪走了; 20 種子落在石頭地上,是指人聽了道後,立刻歡喜地接受了, 21 但因為他心裡沒有根基,不過是暫時接受,一旦為道遭受患難或迫害,就立刻放棄了信仰; 22 種子落在荊棘叢中,是指人雖然聽過道,但生活的憂慮和錢財的迷惑把道擠住了,以致不能結出果實; 23 種子落在沃土裡,是指人聽了道,並明白了道,就結出果實來,有的多達一百倍,有的六十倍,有的三十倍。」

毒麥的比喻

24 耶穌又給他們講了一個比喻,說:「天國就像一個人,將好種子撒在田裡。 25 人們睡覺的時候,仇敵過來把毒麥撒在他的麥田裡,就走了。 26 當麥子長苗吐穗時,毒麥也長起來了。 27 奴僕看見了就來問主人,『主人啊!你不是把好種子撒在田裡了嗎?從哪裡來的毒麥呢?』

28 「主人回答說,『這是仇敵做的。』奴僕問道,『要我們去拔掉它們嗎?』

29 「主人說,『不用了,因為拔毒麥會連麥子一起拔掉。 30 讓它們跟麥子一起生長吧,到收割的時候,我會吩咐收割的工人先把毒麥收集起來,紮成捆,留著燒,然後將麥子存入穀倉。』」

芥菜種和麵酵的比喻

31 耶穌又給他們講了一個比喻:「天國就像一粒芥菜種,人把它種在田裡。 32 它雖然是種子中最小的,卻長得比其他蔬菜都大,並且長成一棵樹,天空的飛鳥也來棲息。」

33 祂又對他們講了個比喻:「天國就像麵酵,婦人拿來摻在三斗麵裡,使整盆麵都發起來。」

34 耶穌總是用比喻對眾人講這些事,祂每次對他們講話時都用比喻。 35 這是要應驗先知的話:「我要開口講比喻,道出創世以來隱藏的事。」

解釋毒麥的比喻

36 後來,耶穌離開人群,進到屋裡。門徒也跟著進去,對耶穌說:「請為我們解釋毒麥的比喻。」

37 耶穌說:「那撒下好種子的就是人子, 38 麥田代表整個世界,那些好種子就是天國的子民。毒麥就是那些屬於魔鬼的人, 39 撒毒麥的仇敵就是魔鬼。收割的日子便是世界的末日,收割的工人就是天使。

40 「毒麥怎樣被拔出來丟在火裡燒,同樣,在世界末日的時候, 41 人子也將派天使把一切引人犯罪和作孽的人從祂國裡挑出來, 42 丟進火裡。那時,他們將在那裡哀哭切齒。 43 那時,義人要在他們天父的國度像太陽一樣發出光輝。有耳朵的,都應當聽。

寶藏與珍珠的比喻

44 「天國就像藏在地裡的寶貝,有人發現了,就把它埋好,然後歡然變賣他所有的財產去買那塊地。

45 「天國就像一個四處搜購貴重珍珠的商人。 46 他找到一顆極貴重的珍珠,就變賣了一切的產業,把它買下來。

撒網的比喻

47 「天國就像一張漁網,撒在海裡捕到了各種魚。 48 網滿了,人們把網拉上岸,然後坐下來挑選,好的就收起來,不好的就丟掉。 49 世界末日的時候也是這樣。天使必把惡人從義人中揀出來, 50 丟在火爐裡,讓惡人在那裡哀哭切齒。 51 你們明白這些事了嗎?」

他們回答說:「我們明白了。」

52 耶穌說:「律法教師成為天國的門徒後,就像一個家的主人,能從他的庫房裡拿出新的和舊的東西來。」

拿撒勒人厭棄耶穌

53 耶穌講完了這些比喻,就離開那裡, 54 回到自己的家鄉拿撒勒,在會堂裡教導人。人們很驚奇,說:「這個人從哪裡得到如此的智慧和神奇的能力呢? 55 這不是那木匠的兒子嗎?祂母親不是瑪麗亞嗎?祂的弟弟不是雅各、約瑟、西門和猶大嗎? 56 祂的妹妹們不也是住在我們這裡嗎?祂究竟從哪裡得來這一身本領呢?」 57 他們就對祂很反感。

耶穌對他們說:「先知到處受人尊敬,只有在本鄉本家例外。」 58 因為他們不信,耶穌就沒有在那裡多行神蹟。