Font Size
Warumi 8:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 8:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Tunajua kwamba katika kila kitu Mungu[a] hufanya kazi ili kuwapa mema wale wanaompenda. Hawa ni watu aliowachagua Mungu, kwa sababu huo ndiyo ulikuwa mpango wake. 29 Mungu aliwajua kabla hajauumba ulimwengu. Na aliamua hao wangekuwa kama Mwanaye. Na Yesu angekuwa mzaliwa wa kwanza wa watoto wake wengi. 30 Mungu aliwakusudia wao wawe kama Mwanaye. Aliwachagua na kuwahesabia haki pamoja na Mungu. Na alipowahesabia haki, akawapa utukufu wake.
Read full chapterFootnotes
- 8:28 Mungu Au “Roho”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International