Font Size
Mathayo 10:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awatuma Kazi Mitume Wake
(Mk 3:13-19; 6:7-13; Lk 6:12-16; 9:1-6)
10 Yesu aliwaita pamoja wafuasi wake kumi na mbili. Akawapa uwezo juu ya pepo wabaya ili waweze kuwafukuza na pia kuponya kila aina ya magonjwa na maradhi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International