Font Size
Marko 16:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 16:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Baadhi ya Wafuasi Wamwona Yesu
(Mt 28:9-10; Yh 20:11-18; Lk 24:13-35)
9 Baada ya Yesu kufufuka alfajiri na mapema siku ya Jumapili, alimtokea kwanza Maria Magdalena, ambaye awali alifukuza mashetani saba kutoka kwake. 10 Baada ya Mariamu kumwona Yesu, alienda na kuwaeleza wanafunzi wake. Walikuwa wamehuzunishwa sana na walikuwa wakilia. 11 Lakini Mariamu aliwaambia kwamba Yesu yu hai. Aliwaambia ya kwamba yeye amemwona, lakini wao hawakumwamini.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International