Font Size
Luka 3:21-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 3:21-22
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana Ambatiza Yesu
(Mt 3:13-17; Mk 1:9-11)
21 Watu wote walipokuwa wakibatizwa, Yesu alikuja naye akabatizwa. Na alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka, 22 na Roho Mtakatifu aliyekuwa katika umbo la njiwa akashuka juu yake. Sauti ikasikika toka mbinguni, “Wewe ni mwanangu, ninayekupenda, napendezwa nawe sana.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International