Add parallel Print Page Options

Yesu Asafisha Eneo la Hekalu

(Mt 21:12-17; Mk 11:15-19; Yh 2:13-22)

45 Yesu aliingia katika eneo la Hekalu. Akaanza kuwafukuza watu waliokuwa wanauza vitu humo. 46 Akasema, “Maandiko yanasema, ‘Hekalu langu litakuwa nyumba ya sala.’(A) Lakini mmeligeuza kuwa ‘maficho ya wezi.’”(B)

47 Yesu aliwafundisha watu kila siku katika eneo la Hekalu. Viongozi wa makuhani, walimu wa sheria na baadhi ya viongozi wa watu walikuwa wakitafuta namna ya kumwua. 48 Lakini hawakujua namna ambavyo wangefanya, kwa sababu alikuwa anazungukwa na watu kila wakati waliokuwa wakimsikiliza. Kila mtu alifurahia yale ambayo Yesu alikuwa anasema, hawakuacha kumsikiliza.

Read full chapter

Jesus at the Temple(A)

45 When Jesus entered the temple courts, he began to drive out those who were selling. 46 “It is written,” he said to them, “‘My house will be a house of prayer’[a];(B) but you have made it ‘a den of robbers.’[b](C)

47 Every day he was teaching at the temple.(D) But the chief priests, the teachers of the law and the leaders among the people were trying to kill him.(E) 48 Yet they could not find any way to do it, because all the people hung on his words.

Read full chapter

Footnotes

  1. Luke 19:46 Isaiah 56:7
  2. Luke 19:46 Jer. 7:11