路加福音 3
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
施洗者约翰的传道
3 凯撒提庇留执政第十五年,本丢·彼拉多任犹太总督,希律做加利利的分封王,他的弟弟腓力做以土利亚和特拉可尼两地的分封王,吕撒聂做亚比利尼的分封王, 2 亚那和该亚法当大祭司。当时,撒迦利亚的儿子约翰住在旷野,上帝向他说话。 3 他就到约旦河附近宣讲悔改的洗礼,使人的罪得到赦免。 4 这正应验了以赛亚先知书上的话:“在旷野有人大声呼喊,
“‘预备主的道,
修直祂的路。
5 一切山谷将被填满,
大山小丘将被削平,
弯曲的道路要被修直,
崎岖的路径要被铺平。
6 世人都要看见上帝的救恩。’”
7 约翰对前来接受他洗礼的人群说:“你们这些毒蛇的后代!谁指示你们逃避那将临的烈怒呢? 8 你们要结出与悔改相称的果子。不要心里说,‘我们是亚伯拉罕的子孙。’我告诉你们,上帝可以从这些石头中兴起亚伯拉罕的子孙。 9 现在斧头已经放在树根上了,不结好果子的树都要被砍下丢在火里。”
10 众人问道:“那么,我们该怎么办呢?”
11 约翰回答说:“有两件衣服的,应当分一件给没有的;食物充裕的,应当分些给饥饿的。”
12 有些税吏也来受洗,并问约翰:“老师,我们该怎么办呢?”
13 约翰说:“除了规定的税以外,一分钱也不可多收。”
14 有些军人问:“我们该怎么办呢?”约翰说:“不可敲诈勒索,自己有粮饷就当知足。”
15 当时的百姓正期待着基督的来临,大家心里都在猜想,也许约翰就是基督。 16 约翰对众人说:“我是用水给你们施洗,但有一位能力比我更大的快来了,我就是给祂解鞋带也不配。祂要用圣灵和火给你们施洗。 17 祂手里拿着簸箕,要清理祂的麦场,把麦子收进仓库,用不灭的火烧尽糠秕。” 18 约翰向众人传福音,讲了许多劝勉的话。
19 分封王希律娶了自己弟弟的妻子希罗底,又做了许多恶事,因而受到约翰的指责, 20 可是他却恶上加恶,将约翰关进监牢里。
耶稣受洗
21 众人都受了洗,耶稣也接受了洗礼。祂正在祷告的时候,天开了, 22 圣灵像鸽子一样降在祂身上,又有声音从天上传来:“你是我的爱子,我甚喜悦你。”
耶稣的家谱
23 耶稣开始传道的时候,年纪约三十岁,照人的看法,
祂是约瑟的儿子,
约瑟是希里的儿子,
24 希里是玛塔的儿子,
玛塔是利未的儿子,
利未是麦基的儿子,
麦基是雅拿的儿子,
雅拿是约瑟的儿子,
25 约瑟是玛他提亚的儿子,
玛他提亚是亚摩斯的儿子,
亚摩斯是拿鸿的儿子,
拿鸿是以斯利的儿子,
以斯利是拿该的儿子,
26 拿该是玛押的儿子,
玛押是玛他提亚的儿子,
玛他提亚是西美的儿子,
西美是约瑟的儿子,
约瑟是犹大的儿子,
犹大是约亚拿的儿子,
27 约亚拿是利撒的儿子,
利撒是所罗巴伯的儿子,
所罗巴伯是撒拉铁的儿子,
撒拉铁是尼利的儿子,
尼利是麦基的儿子,
28 麦基是亚底的儿子,
亚底是哥桑的儿子,
哥桑是以摩当的儿子,
以摩当是珥的儿子,
珥是约细的儿子,
29 约细是以利以谢的儿子,
以利以谢是约令的儿子,
约令是玛塔的儿子,
玛塔是利未的儿子,
30 利未是西缅的儿子,
西缅是犹大的儿子,
犹大是约瑟的儿子,
约瑟是约南的儿子,
约南是以利亚敬的儿子,
31 以利亚敬是米利亚的儿子,
米利亚是迈南的儿子,
迈南是玛达他的儿子,
玛达他是拿单的儿子,
拿单是大卫的儿子,
32 大卫是耶西的儿子,
耶西是俄备得的儿子,
俄备得是波阿斯的儿子,
波阿斯是撒门的儿子,
撒门是拿顺的儿子,
33 拿顺是亚米拿达的儿子,
亚米拿达是兰的儿子,
兰是希斯仑的儿子,
希斯仑是法勒斯的儿子,
法勒斯是犹大的儿子,
34 犹大是雅各的儿子,
雅各是以撒的儿子,
以撒是亚伯拉罕的儿子,
亚伯拉罕是他拉的儿子,
他拉是拿鹤的儿子,
35 拿鹤是西鹿的儿子,
西鹿是拉吴的儿子,
拉吴是法勒的儿子,
法勒是希伯的儿子,
希伯是沙拉的儿子,
36 沙拉是该南的儿子,
该南是亚法撒的儿子,
亚法撒是闪的儿子,
闪是挪亚的儿子,
挪亚是拉麦的儿子,
37 拉麦是玛土撒拉的儿子,
玛土撒拉是以诺的儿子,
以诺是雅列的儿子,
雅列是玛勒列的儿子,
玛勒列是该南的儿子,
该南是以挪士的儿子,
38 以挪士是塞特的儿子,
塞特是亚当的儿子,
亚当是上帝的儿子。
Luka 3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana Atayarisha Njia kwa Ajili ya Yesu
(Mt 3:1-12; Mk 1:1-8; Yh 1:19-28)
3 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, ambapo:
Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi;
Herode alikuwa mtawala wa Galilaya;
Filipo ndugu yake Herode alikuwa mtawala wa Iturea na Trakoniti;
na Lisania, alikuwa mtawala wa Abilene.
2 Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu. Katika kipindi hiki, Yohana, mwana wa Zakaria, alikuwa akiishi jangwani na alipata ujumbe kutoka kwa Mungu. 3 Alipita katika maeneo yote yaliyo karibu na Mto Yordani akiwahubiri watu ujumbe kutoka kwa Mungu. Aliwaambia wabatizwe kuonesha kuwa wamekubali kubadili maisha yao ndipo dhambi zao zitasamehewa. 4 Hii ni kama maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya, yanayosema,
“Kuna mtu anayeipaza sauti yake kutokea nyikani:
‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana;
nyoosheni njia kwa ajili yake.
5 Kila bonde litajazwa,
na kila mlima na kilima vitasawazishwa.
Barabara zilizopinda zitanyooshwa,
na barabara zenye mashimo zitasawazishwa.
6 Na kila mtu ataona
jinsi Mungu atakavyowaokoa watu wake.’”(A)
7 Makundi ya watu walimwendea Yohana ili awabatize. Lakini aliwaambia, “Enyi nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja? 8 Badilisheni mioyo yenu! Kisha onesheni ya kuwa mmebadilika kwa namna mnavyoishi. Ninajua mtasema kuwa, ‘Ibrahimu ni baba yetu.’ Hilo halijalishi chochote. Ninawaambia Mungu anaweza kumwumbia Ibrahimu watoto kutokana na mawe haya! 9 Na sasa shoka liko tayari kukata miti,[a] kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.”
10 Watu wakamwuliza Yohana, “Tufanye nini?”
11 Akajibu, “Ukiwa na mashati mawili mpe moja asiyekuwa na shati. Kama una chakula, kigawe pia.”
12 Hata watoza ushuru walikuja kwa Yohana. Walitaka wabatizwe. Walimwambia, “Mwalimu, tufanye nini sisi?”
13 Akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi kuliko kiwango kilichoamriwa.”
14 Askari wakamwuliza, “Vipi kuhusu sisi? Tufanye nini?”
Akawaambia, “Msitumie nguvu au kutengeneza mashtaka ya uongo ili watu wawape pesa. Mtosheke na mishahara mnayopata.”
15 Kila mtu alitarajia kuja kwa Masihi,[b] na walijiuliza wakisema, “Labda Yohana ndiye Masihi.”
16 Yohana aliwajibu watu wote, akasema, “Ninawabatiza ninyi katika maji, lakini yupo mwingine ajaye baada yangu, mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, huyo atafanya mengi zaidi yangu. Nami niliye mtumwa wa chini kabisa sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake. Yeye huyo atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 17 Yuko tayari sasa kuja kusafisha nafaka. Atatenganisha nafaka nzuri na makapi, na kuiweka katika ghala yake kisha ataichoma ile isiyofaa katika moto usiozimika.” 18 Hivi ndivyo ambavyo Yohana aliwahubiri watu Habari Njema. Aliwaonya sana kuwa wanatakiwa kubadili njia zao.
Kazi ya Yohana Ilivyomalizika Baadaye
19 Yohana alimkosoa Herode kwa sababu ya mambo mabaya aliyokuwa ameyafanya na Herodia, mkewe kaka yake Herode, na pia kwa mambo mengine mabaya aliyokuwa ameyafanya. 20 Hivyo Herode aliongeza jambo jingine baya katika matendo yake maovu. Alimfunga Yohana gerezani.
Yohana Ambatiza Yesu
(Mt 3:13-17; Mk 1:9-11)
21 Watu wote walipokuwa wakibatizwa, Yesu alikuja naye akabatizwa. Na alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka, 22 na Roho Mtakatifu aliyekuwa katika umbo la njiwa akashuka juu yake. Sauti ikasikika toka mbinguni, “Wewe ni mwanangu, ninayekupenda, napendezwa nawe sana.”
Ukoo wa Yesu
(Mt 1:1-17)
23 Yesu alipoanza kufundisha, alikuwa na umri kama wa miaka thelathini. Watu walidhani kuwa Yesu alikuwa Mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Eli.
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati.
Mathati alikuwa mwana wa Lawi.
Lawi alikuwa mwana wa Melki.
Melki alikuwa mwana wa Yana.
Yana alikuwa mwana wa Yusufu.
25 Yusufu alikuwa mwana wa Matathia.
Matathia alikuwa mwana wa Amosi.
Amosi alikuwa mwana wa Nahumu.
Nahumu alikuwa mwana wa Esli.
Esli alikuwa mwana wa Nagai.
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi.
Maathi alikuwa mwana wa Matathia.
Matathia alikuwa mwana wa Semei.
Semei alikuwa mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Yoda.
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoana.
Yoana alikuwa mwana wa Resa.
Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli.
Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli.
Shealtieli alikuwa mwana wa Neri.
28 Neri alikuwa mwana wa Melki.
Melki alikuwa mwana wa Adi.
Adi alikuwa mwana wa Kosamu.
Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu,
Elmadamu alikuwa mwana wa Eri.
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua.
Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri.
Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu.
Yorimu alikuwa mwana wa Mathati.
Mathati alikuwa mwana wa Lawi.
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni.
Simeoni alikuwa mwana wa Yuda.
Yuda alikuwa mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Yonamu.
Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu.
31 Eliakimu alikuwa mwana wa Melea.
Melea alikuwa mwana wa Mena.
Mena alikuwa mwana wa Matatha.
Matatha alikuwa mwana wa Nathani.
Nathani alikuwa mwana wa Daudi.
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese.
Yese alikuwa mwana wa Obedi.
Obedi alikuwa mwana wa Boazi.
Boazi alikuwa mwana wa Salmoni.[c]
Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni.
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu.
Aminadabu alikuwa mwana wa Admini,
Admini alikuwa mwana wa Aramu.[d]
Aramu alikuwa mwana wa Hesroni.
Hesroni alikuwa mwana wa Peresi.
Peresi alikuwa mwana wa Yuda.
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo.
Yakobo alikuwa mwana wa Isaka.
Isaka alikuwa mwana wa Ibrahimu.
Ibrahimu alikuwa mwana wa Tera.
Tera alikuwa mwana wa Nahori.
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi,
Serugi alikuwa mwana wa Ragau.
Ragau alikuwa mwana wa Pelegi.
Pelegi alikuwa mwana wa Eberi,
Eberi alikuwa mwana wa Sala.
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani.
Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi.
Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu.
Shemu alikuwa mwana wa Nuhu.
Nuhu alikuwa mwana wa Lameki.
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela.
Methusela alikuwa mwana wa Henoko.
Henoko alikuwa mwana wa Yaredi.
Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli.
Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani.
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi.
Enoshi alikuwa mwana wa Sethi.
Sethi alikuwa mwana wa Adamu.
Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Footnotes
- 3:9 miti Watu wasiomtii Mungu ni kama miti itakayokatwa.
- 3:15 Masihi Ni neno la Kiebrania lililo na maana sawa na Kristo kwa Lugha ya Kiyunani (Kigiriki), maana yake ni Mpakwa Mafuta.
- 3:32 Salmoni Au “Sala”, kama ilivyo katika nakala za zamani za tafsiri ya Kiyunani ya Kale. Tazama Mt 1:4-5 na 1 Nya 2:11.
- 3:33 Aramu Baadhi ya nakala za Kiyunani zina “Arni” au “Ramu”; majina mengine ya Aramu.
路加福音 3
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
施洗者约翰的传道
3 凯撒提庇留执政第十五年,本丢·彼拉多任犹太总督,希律做加利利的分封王,他的弟弟腓力做以土利亚和特拉可尼两地的分封王,吕撒聂做亚比利尼的分封王, 2 亚那和该亚法当大祭司。当时,撒迦利亚的儿子约翰住在旷野,上帝向他说话。 3 他就到约旦河附近宣讲悔改的洗礼,使人的罪得到赦免。 4 这正应验了以赛亚先知书上的话:“在旷野有人大声呼喊,
“‘预备主的道,
修直祂的路。
5 一切山谷将被填满,
大山小丘将被削平,
弯曲的道路要被修直,
崎岖的路径要被铺平。
6 世人都要看见上帝的救恩。’”
7 约翰对前来接受他洗礼的人群说:“你们这些毒蛇的后代!谁指示你们逃避那将临的烈怒呢? 8 你们要结出与悔改相称的果子。不要心里说,‘我们是亚伯拉罕的子孙。’我告诉你们,上帝可以从这些石头中兴起亚伯拉罕的子孙。 9 现在斧头已经放在树根上了,不结好果子的树都要被砍下丢在火里。”
10 众人问道:“那么,我们该怎么办呢?”
11 约翰回答说:“有两件衣服的,应当分一件给没有的;食物充裕的,应当分些给饥饿的。”
12 有些税吏也来受洗,并问约翰:“老师,我们该怎么办呢?”
13 约翰说:“除了规定的税以外,一分钱也不可多收。”
14 有些军人问:“我们该怎么办呢?”约翰说:“不可敲诈勒索,自己有粮饷就当知足。”
15 当时的百姓正期待着基督的来临,大家心里都在猜想,也许约翰就是基督。 16 约翰对众人说:“我是用水给你们施洗,但有一位能力比我更大的快来了,我就是给祂解鞋带也不配。祂要用圣灵和火给你们施洗。 17 祂手里拿着簸箕,要清理祂的麦场,把麦子收进仓库,用不灭的火烧尽糠秕。” 18 约翰向众人传福音,讲了许多劝勉的话。
19 分封王希律娶了自己弟弟的妻子希罗底,又做了许多恶事,因而受到约翰的指责, 20 可是他却恶上加恶,将约翰关进监牢里。
耶稣受洗
21 众人都受了洗,耶稣也接受了洗礼。祂正在祷告的时候,天开了, 22 圣灵像鸽子一样降在祂身上,又有声音从天上传来:“你是我的爱子,我甚喜悦你。”
耶稣的家谱
23 耶稣开始传道的时候,年纪约三十岁,照人的看法,
祂是约瑟的儿子,
约瑟是希里的儿子,
24 希里是玛塔的儿子,
玛塔是利未的儿子,
利未是麦基的儿子,
麦基是雅拿的儿子,
雅拿是约瑟的儿子,
25 约瑟是玛他提亚的儿子,
玛他提亚是亚摩斯的儿子,
亚摩斯是拿鸿的儿子,
拿鸿是以斯利的儿子,
以斯利是拿该的儿子,
26 拿该是玛押的儿子,
玛押是玛他提亚的儿子,
玛他提亚是西美的儿子,
西美是约瑟的儿子,
约瑟是犹大的儿子,
犹大是约亚拿的儿子,
27 约亚拿是利撒的儿子,
利撒是所罗巴伯的儿子,
所罗巴伯是撒拉铁的儿子,
撒拉铁是尼利的儿子,
尼利是麦基的儿子,
28 麦基是亚底的儿子,
亚底是哥桑的儿子,
哥桑是以摩当的儿子,
以摩当是珥的儿子,
珥是约细的儿子,
29 约细是以利以谢的儿子,
以利以谢是约令的儿子,
约令是玛塔的儿子,
玛塔是利未的儿子,
30 利未是西缅的儿子,
西缅是犹大的儿子,
犹大是约瑟的儿子,
约瑟是约南的儿子,
约南是以利亚敬的儿子,
31 以利亚敬是米利亚的儿子,
米利亚是迈南的儿子,
迈南是玛达他的儿子,
玛达他是拿单的儿子,
拿单是大卫的儿子,
32 大卫是耶西的儿子,
耶西是俄备得的儿子,
俄备得是波阿斯的儿子,
波阿斯是撒门的儿子,
撒门是拿顺的儿子,
33 拿顺是亚米拿达的儿子,
亚米拿达是兰的儿子,
兰是希斯仑的儿子,
希斯仑是法勒斯的儿子,
法勒斯是犹大的儿子,
34 犹大是雅各的儿子,
雅各是以撒的儿子,
以撒是亚伯拉罕的儿子,
亚伯拉罕是他拉的儿子,
他拉是拿鹤的儿子,
35 拿鹤是西鹿的儿子,
西鹿是拉吴的儿子,
拉吴是法勒的儿子,
法勒是希伯的儿子,
希伯是沙拉的儿子,
36 沙拉是该南的儿子,
该南是亚法撒的儿子,
亚法撒是闪的儿子,
闪是挪亚的儿子,
挪亚是拉麦的儿子,
37 拉麦是玛土撒拉的儿子,
玛土撒拉是以诺的儿子,
以诺是雅列的儿子,
雅列是玛勒列的儿子,
玛勒列是该南的儿子,
该南是以挪士的儿子,
38 以挪士是塞特的儿子,
塞特是亚当的儿子,
亚当是上帝的儿子。
Luka 3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana Atayarisha Njia kwa Ajili ya Yesu
(Mt 3:1-12; Mk 1:1-8; Yh 1:19-28)
3 Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, ambapo:
Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi;
Herode alikuwa mtawala wa Galilaya;
Filipo ndugu yake Herode alikuwa mtawala wa Iturea na Trakoniti;
na Lisania, alikuwa mtawala wa Abilene.
2 Anasi na Kayafa walikuwa makuhani wakuu. Katika kipindi hiki, Yohana, mwana wa Zakaria, alikuwa akiishi jangwani na alipata ujumbe kutoka kwa Mungu. 3 Alipita katika maeneo yote yaliyo karibu na Mto Yordani akiwahubiri watu ujumbe kutoka kwa Mungu. Aliwaambia wabatizwe kuonesha kuwa wamekubali kubadili maisha yao ndipo dhambi zao zitasamehewa. 4 Hii ni kama maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya, yanayosema,
“Kuna mtu anayeipaza sauti yake kutokea nyikani:
‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana;
nyoosheni njia kwa ajili yake.
5 Kila bonde litajazwa,
na kila mlima na kilima vitasawazishwa.
Barabara zilizopinda zitanyooshwa,
na barabara zenye mashimo zitasawazishwa.
6 Na kila mtu ataona
jinsi Mungu atakavyowaokoa watu wake.’”(A)
7 Makundi ya watu walimwendea Yohana ili awabatize. Lakini aliwaambia, “Enyi nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja? 8 Badilisheni mioyo yenu! Kisha onesheni ya kuwa mmebadilika kwa namna mnavyoishi. Ninajua mtasema kuwa, ‘Ibrahimu ni baba yetu.’ Hilo halijalishi chochote. Ninawaambia Mungu anaweza kumwumbia Ibrahimu watoto kutokana na mawe haya! 9 Na sasa shoka liko tayari kukata miti,[a] kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.”
10 Watu wakamwuliza Yohana, “Tufanye nini?”
11 Akajibu, “Ukiwa na mashati mawili mpe moja asiyekuwa na shati. Kama una chakula, kigawe pia.”
12 Hata watoza ushuru walikuja kwa Yohana. Walitaka wabatizwe. Walimwambia, “Mwalimu, tufanye nini sisi?”
13 Akawaambia, “Msitoze ushuru zaidi kuliko kiwango kilichoamriwa.”
14 Askari wakamwuliza, “Vipi kuhusu sisi? Tufanye nini?”
Akawaambia, “Msitumie nguvu au kutengeneza mashtaka ya uongo ili watu wawape pesa. Mtosheke na mishahara mnayopata.”
15 Kila mtu alitarajia kuja kwa Masihi,[b] na walijiuliza wakisema, “Labda Yohana ndiye Masihi.”
16 Yohana aliwajibu watu wote, akasema, “Ninawabatiza ninyi katika maji, lakini yupo mwingine ajaye baada yangu, mwenye nguvu zaidi kuliko mimi, huyo atafanya mengi zaidi yangu. Nami niliye mtumwa wa chini kabisa sistahili hata kuinama na kufungua kamba za viatu vyake. Yeye huyo atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. 17 Yuko tayari sasa kuja kusafisha nafaka. Atatenganisha nafaka nzuri na makapi, na kuiweka katika ghala yake kisha ataichoma ile isiyofaa katika moto usiozimika.” 18 Hivi ndivyo ambavyo Yohana aliwahubiri watu Habari Njema. Aliwaonya sana kuwa wanatakiwa kubadili njia zao.
Kazi ya Yohana Ilivyomalizika Baadaye
19 Yohana alimkosoa Herode kwa sababu ya mambo mabaya aliyokuwa ameyafanya na Herodia, mkewe kaka yake Herode, na pia kwa mambo mengine mabaya aliyokuwa ameyafanya. 20 Hivyo Herode aliongeza jambo jingine baya katika matendo yake maovu. Alimfunga Yohana gerezani.
Yohana Ambatiza Yesu
(Mt 3:13-17; Mk 1:9-11)
21 Watu wote walipokuwa wakibatizwa, Yesu alikuja naye akabatizwa. Na alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka, 22 na Roho Mtakatifu aliyekuwa katika umbo la njiwa akashuka juu yake. Sauti ikasikika toka mbinguni, “Wewe ni mwanangu, ninayekupenda, napendezwa nawe sana.”
Ukoo wa Yesu
(Mt 1:1-17)
23 Yesu alipoanza kufundisha, alikuwa na umri kama wa miaka thelathini. Watu walidhani kuwa Yesu alikuwa Mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Eli.
24 Eli alikuwa mwana wa Mathati.
Mathati alikuwa mwana wa Lawi.
Lawi alikuwa mwana wa Melki.
Melki alikuwa mwana wa Yana.
Yana alikuwa mwana wa Yusufu.
25 Yusufu alikuwa mwana wa Matathia.
Matathia alikuwa mwana wa Amosi.
Amosi alikuwa mwana wa Nahumu.
Nahumu alikuwa mwana wa Esli.
Esli alikuwa mwana wa Nagai.
26 Nagai alikuwa mwana wa Maathi.
Maathi alikuwa mwana wa Matathia.
Matathia alikuwa mwana wa Semei.
Semei alikuwa mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Yoda.
27 Yoda alikuwa mwana wa Yoana.
Yoana alikuwa mwana wa Resa.
Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli.
Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli.
Shealtieli alikuwa mwana wa Neri.
28 Neri alikuwa mwana wa Melki.
Melki alikuwa mwana wa Adi.
Adi alikuwa mwana wa Kosamu.
Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu,
Elmadamu alikuwa mwana wa Eri.
29 Eri alikuwa mwana wa Yoshua.
Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri.
Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu.
Yorimu alikuwa mwana wa Mathati.
Mathati alikuwa mwana wa Lawi.
30 Lawi alikuwa mwana wa Simeoni.
Simeoni alikuwa mwana wa Yuda.
Yuda alikuwa mwana wa Yusufu.
Yusufu alikuwa mwana wa Yonamu.
Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu.
31 Eliakimu alikuwa mwana wa Melea.
Melea alikuwa mwana wa Mena.
Mena alikuwa mwana wa Matatha.
Matatha alikuwa mwana wa Nathani.
Nathani alikuwa mwana wa Daudi.
32 Daudi alikuwa mwana wa Yese.
Yese alikuwa mwana wa Obedi.
Obedi alikuwa mwana wa Boazi.
Boazi alikuwa mwana wa Salmoni.[c]
Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni.
33 Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu.
Aminadabu alikuwa mwana wa Admini,
Admini alikuwa mwana wa Aramu.[d]
Aramu alikuwa mwana wa Hesroni.
Hesroni alikuwa mwana wa Peresi.
Peresi alikuwa mwana wa Yuda.
34 Yuda alikuwa mwana wa Yakobo.
Yakobo alikuwa mwana wa Isaka.
Isaka alikuwa mwana wa Ibrahimu.
Ibrahimu alikuwa mwana wa Tera.
Tera alikuwa mwana wa Nahori.
35 Nahori alikuwa mwana wa Serugi,
Serugi alikuwa mwana wa Ragau.
Ragau alikuwa mwana wa Pelegi.
Pelegi alikuwa mwana wa Eberi,
Eberi alikuwa mwana wa Sala.
36 Sala alikuwa mwana wa Kenani.
Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi.
Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu.
Shemu alikuwa mwana wa Nuhu.
Nuhu alikuwa mwana wa Lameki.
37 Lameki alikuwa mwana wa Methusela.
Methusela alikuwa mwana wa Henoko.
Henoko alikuwa mwana wa Yaredi.
Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli.
Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani.
38 Kenani alikuwa mwana wa Enoshi.
Enoshi alikuwa mwana wa Sethi.
Sethi alikuwa mwana wa Adamu.
Adamu alikuwa mwana wa Mungu.
Footnotes
- 3:9 miti Watu wasiomtii Mungu ni kama miti itakayokatwa.
- 3:15 Masihi Ni neno la Kiebrania lililo na maana sawa na Kristo kwa Lugha ya Kiyunani (Kigiriki), maana yake ni Mpakwa Mafuta.
- 3:32 Salmoni Au “Sala”, kama ilivyo katika nakala za zamani za tafsiri ya Kiyunani ya Kale. Tazama Mt 1:4-5 na 1 Nya 2:11.
- 3:33 Aramu Baadhi ya nakala za Kiyunani zina “Arni” au “Ramu”; majina mengine ya Aramu.
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International