Font Size
                  
                
              
            
												                              Yohana 5:28                            
                                                        
                                                  Ninyi msishangazwe na hili. Wakati unakuja ambapo watu wote waliokufa na kuwamo makaburini mwao wataisikia sauti yake.
“Msishangae kusikia haya. Wakati unakuja ambapo wafu wataisikia sauti yake,
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright ©  1989 by Biblica