Sheria inasema, “Usizini, usiue, usiibe, usitamani kitu cha mtu mwingine.” Amri hizo zote na zingine hakika zinajumlishwa na kuwa kanuni moja tu, “Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.”
Kwa maana amri zisemazo: Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”