Font Size
Ufunuo 3:14
Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia: Huu ni ujumbe kutoka kwa yeye aliye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, aliye chanzo cha uumbaji wa Mungu.
“Kwa malaika wa kanisa la Laodikia andika hivi: ‘Haya ni maneno yake yeye aitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa vyote alivyoumba Mungu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica