Ufunuo 18:13
Print
Na mdalasini, viungo, uvumba, marhamu, ubani, mvinyo, mafuta ya mzeituni, unga safi, ngano, ng'ombe, kondoo, farasi, magari na watumwa, ndiyo hata maisha ya watu. Wafanya biashara watalia na kusema:
mdalasini, hiliki, uvumba, marhamu, ubani, divai, mafuta ya mzeituni, unga mzuri, ngano, ng’ombe, kondoo, farasi na magari, na watumwa, pia na roho za wanadamu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica