Kisha malaika wa pili akamfuata malaika wa kwanza na kusema, “Ameteketezwa! Mji mkuu Babeli umeteketezwa! Aliwafanya mataifa yote kunywa mvinyo wa uzinzi wake na ghadhabu ya Mungu.”
Malaika wa pili akafuata akisema, “Babiloni umeanguka! Babiloni mkuu umeanguka, ule mji mkuu ambao uliwanywesha mataifa yote divai yake, divai kali ya uzinzi wake.”