Mathayo 8:17
Print
Hii ilitokea ili kutimiza maneno yaliyosemwa na nabii Isaya aliposema: “Aliyaondoa magonjwa yetu na kuyabeba madhaifu yetu.”
Miujiza hii ilitimiza yale yali yosemwa na nabii Isaya kwamba: “Alichukua udhaifu wetu, na kubeba magonjwa yetu.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica