Font Size
                  
                
              
            
												                              Mathayo 12:20                            
                                                        
                                                  Hatavunja wala kupindisha unyasi. Hatazimisha hata mwanga hafifu. Hatashindwa mpaka ameifanya haki kuwa mshindi.
Hataponda unyasi uliochubuliwa wala hatazima mshumaa unaokaribia kuzima, mpaka atakapoifanya haki ipate ushindi;
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright ©  1989 by Biblica