Marko 1:15
Print
Akasema, “Wakati umefika. Ufalme wa Mungu umewafikia. Mbadili mioyo yenu na maisha yenu, na kuiamini habari njema!”
akisema, “Wakati umefika: Ufalme wa Mungu umewasili. Tubuni, muamini Habari Njema.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica