Luka 7:32
Print
Ni kama watoto waliokaa sokoni. Kundi moja la watoto likawaita watoto wengine na kusema, ‘Tuliwapigia filimbi lakini hamkucheza. Tuliwaimba wimbo wa huzuni, lakini hamkulia.’
Wao wamefanana na watoto waliokaa sokoni wakijibizana na wenzao wakisema: ‘Tuliwaimbia nyimbo za shangwe, hamkucheza. Tuliwaimbia nyimbo za msiba, hamkuomboleza.’
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica