Luka 3:32
Print
Daudi alikuwa mwana wa Yese. Yese alikuwa mwana wa Obedi. Obedi alikuwa mwana wa Boazi. Boazi alikuwa mwana wa Salmoni. Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni.
Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) Copyright © 2017 by Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica