Daudi alikuwa mwana wa Yese. Yese alikuwa mwana wa Obedi. Obedi alikuwa mwana wa Boazi. Boazi alikuwa mwana wa Salmoni. Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni.
Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,