Luka 19:28
Print
Baada ya Yesu kusema mambo haya, aliendelea kusafiri kuelekea Yerusalemu.
Alipokwisha kusema haya, Yesu alikaa mbele ya msafara akielekea Yerusalemu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica