Matendo 24:8
Print
Pia, alikuwa anajaribu kulinajisi Hekalu, lakini tulimsimamisha. Unaweza kuamua ikiwa haya yote ni kweli. Mwulize maswali wewe mwenyewe.”
akaamuru wanaomshtaki walete mashtaka yao mbele yako]. Wewe mwenyewe ukimwuliza maswali utathibitisha ukweli wa mashtaka yote tunayoleta mbele yako kumhusu yeye.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica