1 Petro 4:18
Print
“Iwapo ni vigumu hata kwa mtu mwema kuokolewa, nini kitatokea kwa yule aliye kinyume na Mungu na amejaa dhambi?”
Na, “Kama ni vigumu kwa mtu wa haki kuokolewa, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica