Font Size
Revised Common Lectionary (Semicontinuous) / Psalm 107:1-9 43 (Give thanks to the Most High); Hosea 8:1-14 (Israel’s stubborn apostasy); Romans 11:33-36 (God’s riches wisdom and knowledge) (Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Revised Common Lectionary (Semicontinuous)
Daily Bible readings that follow the church liturgical year, with sequential stories told across multiple weeks.
Duration: 1245 days
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Error: Book name not found: Ps for the version: Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Error: Book name not found: Ps for the version: Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Error: Book name not found: Hos for the version: Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 11:33-36
Sifa kwa Mungu
33 Ndiyo, utajiri wa Mungu ni mkuu sana! Hekima yake na ufahamu wake havina mwisho! Hakuna awezaye kuelezea yale Mungu anayoyaamua. Hayupo awezaye kuzielewa njia zake. 34 Kama Maandiko yanavyosema,
“Nani anaweza kuyajua yaliyo katika mawazo ya Bwana?
Nani anaweza kumshauri?”(A)
35 “Nani amewahi kumpa Mungu kitu chochote?
Mungu hadaiwi kitu chochote na mtu yeyote.”(B)
36 Ndiyo, Mungu ameviumba vitu vyote. Na kila kitu kinaendelea kuwepo kwa njia na kwa ajili yake. Utukufu uwe kwa Mungu milele yote! Amina.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International