Font Size
Yohana 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 9:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Baada ya kusema haya, akatema mate kwenye udongo aka tengeneza tope kwa mate yake akampaka yule kipofu machoni. 7 Kisha akamwambia, “Nenda kanawe uso katika kijito cha Siloamu.” Neno ‘Siloamu’ maana yake ni ‘aliyetumwa.’ Yule kipofu akaenda akanawa na akarudi akiwa anaona!
8 Majirani zake na wale wote waliokuwa wamemwona akiomba omba wakauliza, “Huyu si yule kipofu aliyekuwa akiketi hapa akiomba msaada?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica