Font Size
Yohana 8:58-59
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 8:58-59
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
58 Yesu akajibu, “Ukweli ni kwamba, kabla Ibrahimu hajazaliwa MIMI NIPO.” 59 Aliposema haya, wakachukua mawe ili wamponde. Lakini Yesu akajificha, na kisha akaondoka katika eneo la Hekalu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International