Font Size
Yohana 8:51-53
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 8:51-53
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
51 Nawaahidi, yeyote anayeendelea kutii mafundisho yangu, hatakufa milele.”
52 Wayahudi wakamwambia Yesu, “Sasa tunatambua kuwa una pepo ndani yako! Hata Ibrahimu na manabii walikufa. Lakini unasema, ‘Yeyote anayetii mafundisho yangu, hatakufa kamwe.’ 53 Wewe si mkuu zaidi ya baba yetu Ibrahimu! Yeye alikufa na manabii nao walikufa. Unadhani wewe ni nani?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International