Font Size
Yohana 6:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 6:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
59 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sina gogi huko Kapernaumu.
Wafuasi Wengi Wamwacha Yesu
60 Wengi wa wanafunzi wake waliosikia maneno haya walisema, “Mafundisho haya ni magumu! Ni nani awezaye kukubaliana nayo?”
61 Yesu alitambua kwamba wafuasi wake walikuwa wakilalamika kuhusu mafundisho yake. Kwa hiyo akawauliza, “Mafundisho haya yanawaudhi?
Read full chapter
Yohana 6:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 6:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
59 Yesu alisema maneno haya alipokuwa akifundisha katika sina gogi huko Kapernaumu.
Wafuasi Wengi Wamwacha Yesu
60 Wengi wa wanafunzi wake waliosikia maneno haya walisema, “Mafundisho haya ni magumu! Ni nani awezaye kukubaliana nayo?”
61 Yesu alitambua kwamba wafuasi wake walikuwa wakilalamika kuhusu mafundisho yake. Kwa hiyo akawauliza, “Mafundisho haya yanawaudhi?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica