Font Size
Yohana 4:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mtoto Wa Afisa
43 Zile siku mbili zilipokwisha, Yesu aliondoka kwenda Gali laya. 44 Yesu mwenyewe alikwisha sema kwamba nabii haheshimiki nchini kwake. 45 Lakini alipofika, Wagalilaya walimpokea vizuri baada ya kuona mambo aliyofanya huko Yerusalemu wakati wa siku kuu, maana na wao walihudhuria.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica