Font Size
Yohana 4:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
37 Ule msemo wa zamani kwamba , ‘Mmoja hupanda na mwingine huvuna,’ ni kweli kabisa. 38 Niliwatuma mkavune mazao ambayo hamkupanda, wengine walifanya kazi hiyo; ninyi mmefaidika kutokana na jasho lao!”
39 Wasamaria wengi walimwamini kutokana na ushuhuda wa yule mama alipowaambia kwamba, “Ameniambia mambo yote niliyowahi kutenda.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica